Hiram Abiff
JF-Expert Member
- Apr 14, 2013
- 896
- 676
say no kwa katiba ya chongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chenge na group lake.
swissme
hayo hayakuhusu, wewe isome na piga Ndiyooo acha kujifanya we ndo msemaji wa NECunaposema tupigie kula katiba hii inayopendekezwa,inamaana tutumie mawazo yako na utashi wako .kwa mtu anayeipenda Tanzania kulikuwa hakuna ulazima wa katiba hii kupitishwa mwaka huu, ebu tuangalie ndani ya miezi 6 tuna mambo makuu 3 yani KATIBA,DAFTALI LA KUPIGA KULA NA UCHAGUZI MKUU hivi kweli haya mambo yote yatafanyika kwa uadilifu na umakini kama siyo kulipua lipua.
AND THE VICE VERSA IS TRUE KWENU NYIE MLOTUMWA KUCHAFUA MWELEKEO HUU MZURI WA KATIBA! Mmechemsha nawaambia.Nyie hangaikenii weeee, mtukanane weee, mjidanganye weee ila mwisho wa siku ni KURA YA HAPANA TU
We mwenyewe chongo hapo ulipo.say no kwa katiba ya chongo
Kwako wewe ndo unaona hivyo ila kwa wazalendo na wapenda amani hilo halipo, wsubiri tu kuipigia kubwa ya NDIYOOOOO.katiba inayopandikizwa haina nafasi kwa watanzania.