Katiba Inayopendekezwa imekujali hata wewe unayekaidi na kuipinga.

Katiba Inayopendekezwa imekujali hata wewe unayekaidi na kuipinga.

Ni kweli kwamba jambo la msingi hapa ni kwetu watanzania kuisoma na kuielewa vzr katiba inayopendekezwa kwa kuwa hiyo ndiyo itakayosaidia katika kulijenga taifa hili na ndio mustakabali wetu kama watanzania hivyo ni lazima tuielewe na wakati ukifika tuipigie kura ya Ndio
 
Ni kweli kwamba jambo la msingi hapa ni kwetu watanzania kuisoma na kuielewa vzr katiba inayopendekezwa kwa kuwa hiyo ndiyo itakayosaidia katika kulijenga taifa hili na ndio mustakabali wetu kama watanzania hivyo ni lazima tuielewe na wakati ukifika tuipigie kura ya Ndio 
 
Ni kweli kwamba jambo la msingi hapa ni kwetu watanzania kuisoma na kuielewa vzr katiba inayopendekezwa kwa kuwa hiyo ndiyo itakayosaidia katika kulijenga taifa hili na ndio mustakabali wetu kama watanzania hivyo ni lazima tuielewe na wakati ukifika tuipigie kura ya Ndio 
 
Tuisome na kuielewa na siku ikifika tuipigie kura kadri ya uelewa wetu na nyie hapo juu hamna haki hata ya kunishauri aina ya kura ya kupiga
 
Watanzani baadhi wamekuwa wavivu wa kusoma na hili ni janga ktk taifa letu, maaana kusoma hawataki lkn wanaamini tu kwa yale wanayoambiwa na watu wa pembeni jambo ambalo si zuri hususani katka suala hili muhimu la katiba, mtu kama hukuisoma vema katiba hii basi isiwe kero humu kukaidi na kujigamba kuwa wewe utapiga hapana, kuwa na busara tafuta muda isome vema na utagundua kuwa asilimia ya watu wengi wanaoipinga na kuikejeli hawajaisoma na ndo walioko mstari wa mbele ktika kuipinga, je watu hawa tuwaite Wazalendo au Wasaliti?

Tukumbuke ya kuwa Katiba Inayopendekezwa imewajali watu wote pasipo upendeleo wowote na hilo halina ubishi, hata wewe unayekaidi na kuipinga jua ya kwamba imekujali uwe mtoto, kijana, mzee n.k ujue kuwa haki zako zimo mule ndani, sasa kama kila kilichokizuri kimo iweje sasa uipinge tena kwa kusikiliza maneno ya watu? Huko ni kukosa uzalendo kwa nchi yako ukiwa kama Mtanzania.


Wito wangu kwako ewe mtanzania ni kwamba tuweni wazalendo, tuijenge nchi yetu kwa kuhakikisha kuwa katiba hii inapita kwa kura nyingi za Ndiyo hapo muda utakapowadia, maendeleo ya nchi hii huletwa na mimi pamoja na wewe na sio kwa kubisha bisha na kupotosha wengine kuichukia hii katiba, haitakuwa na maana kuendelea kuitumia hii ya 1977 kwani tumeshaona kuwa ina mapungufu kibao.


Kwa mfano mzuri, Katiba Inayopendekezwa imewajali Wasanii kwa mara ya kwanza katika ibara ile ya 59, pia tumeona kuwa PCCB kwa mara ya kwanza imewekwa katika ibara ya 249 pamoja na mambo mengine mengi ambayo kwenye hii ya 1977 hayakuwepo.


Nahitimisha kwa kusisitiza watanzania wote kuisoma katiba hii kwa makini na mwisho wa siku tuipigie kura nyingi za NDIYOOOOOO!


MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA, Long live KATIBA INAYOPENDEKEZWA.

Kama umetumwa kawaambie umetukosa hakuna mjinga mwenzako humu wa kula pumba zako,katiba iliyosimamiwa na mtuhumiwa mkubwa wa wizi unathubutuje kusema imejali watu? Kama walikusudia kuwajali watu kwanini waliondoa maoni ya wananchi?Hapa chini ngoja nikudondolee kidogo tu kasehemu kanakoonesha usanii uliomo kwenye kitabu cha mafisadi ambacho wewe unakiita katiba iliyowajali watu.
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>

KATIBA PENDEKEZWA INATUCHEZESHA SHERE




Ukiisoma kwa makini hakika utabaini usanii uliojaa ndani ya katiba hii,haki inatolewa kwa mkono wa kulia na kupokonywa kwa mkono wa kushoto.Mathalan ukisoma;




SURA YA NANE


Ibara ya 90 (1-4) inayohusu Malalamiko kuhusu uhalali wa uchaguzi wa Rais utabaini wazi jinsi mchezo wa maneno ulivyotumika kuhadaa umma kuwa haki imetolewa wakati kiuhalisia haki hiyo haiko.Twende pamoja




IBARA YA 90 (1) Kwa kuzingatia masharti ya ibara ndogo ya (2), endapo mtu yeyote


aliyeshiriki kama mgombea katika nafasi ya madaraka ya Rais


katika uchaguzi wa Rais hakuridhika na matokeo ya uchaguzi


huo,anaweza kuwasilisha malalamiko katika Mahakama ya Juu


kupinga matokeo ya uchaguzi wa Rais yaliyotangazwa na Tume


Huru ya Uchaguzi.


kwa maelezo hayo ni dhahiri kuwa haki ya kupinga matokeo ya Urais imetolewa kwa yule aliyeshiriki na kama hakuridhika.




(2) Malalamiko ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa Rais


yatawasilishwa Mahakama ya Juu ndani ya muda wa siku saba


baada ya siku ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi wa Rais.




(3) Mahakama ya Juu itasikiliza na kutoa uamuzi wa shauri la kupinga


matokeo ya uchaguzi wa Rais ndani ya siku kumi na nne tangu


kupokea malalamiko yaliyowasilishwa kwa mujibu wa ibara


ndogo ya (2) na uamuzi huo utakuwa wa mwisho.




Kama inavyosomeka katika ibara ya tatu hapo juu ni kuwa uamuzi wa Mahakama ya Juu ndio wa mwisho. Sasa twende ibara ya (4) ambayo ndio yenye utata.




(4) Kwa madhumuni ya ibara ndogo ya (3), Mahakama ya Juu


inaweza kutoa uamuzi wa kumthibitisha Rais bila kutoa sababu


za uamuzi na sababu hizo zitatolewa ndani ya kipindi kisichozidi


siku thelathini tangu siku ya kutoa uamuzi.




Hivi kama kwa mujibu wa ibara hiyo ndogo ya (4) Mahakama ya Juu ambayo uamuzi wake ndio wa mwisho inao uwezo wa kutoa maamuzi yasiyohojiwa popote bila kutoa sababu za kuamua hivyo hadi hapo itakapojisikia kuna sababu gani basi ya kulalamika na kupinga matokeo ambayo waamuzi wanao uwezo na mamlaka ya kuamua watakavyo?

>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Kwa taarifa yako sasa watu wanasoma hiyo katiba feki ya mafisadi na wanailewa
 
Kama umetumwa kawaambie umetukosa hakuna mjinga mwenzako humu wa kula pumba zako,katiba iliyosimamiwa na mtuhumiwa mkubwa wa wizi unathubutuje kusema imejali watu? Kama walikusudia kuwajali watu kwanini waliondoa maoni ya wananchi?Hapa chini ngoja nikudondolee kidogo tu kasehemu kanakoonesha usanii uliomo kwenye kitabu cha mafisadi ambacho wewe unakiita katiba iliyowajali watu.
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>

KATIBA PENDEKEZWA INATUCHEZESHA SHERE




Ukiisoma kwa makini hakika utabaini usanii uliojaa ndani ya katiba hii,haki inatolewa kwa mkono wa kulia na kupokonywa kwa mkono wa kushoto.Mathalan ukisoma;




SURA YA NANE


Ibara ya 90 (1-4) inayohusu Malalamiko kuhusu uhalali wa uchaguzi wa Rais utabaini wazi jinsi mchezo wa maneno ulivyotumika kuhadaa umma kuwa haki imetolewa wakati kiuhalisia haki hiyo haiko.Twende pamoja




IBARA YA 90 (1) Kwa kuzingatia masharti ya ibara ndogo ya (2), endapo mtu yeyote


aliyeshiriki kama mgombea katika nafasi ya madaraka ya Rais


katika uchaguzi wa Rais hakuridhika na matokeo ya uchaguzi


huo,anaweza kuwasilisha malalamiko katika Mahakama ya Juu


kupinga matokeo ya uchaguzi wa Rais yaliyotangazwa na Tume


Huru ya Uchaguzi.


kwa maelezo hayo ni dhahiri kuwa haki ya kupinga matokeo ya Urais imetolewa kwa yule aliyeshiriki na kama hakuridhika.




(2) Malalamiko ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa Rais


yatawasilishwa Mahakama ya Juu ndani ya muda wa siku saba


baada ya siku ya kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi wa Rais.




(3) Mahakama ya Juu itasikiliza na kutoa uamuzi wa shauri la kupinga


matokeo ya uchaguzi wa Rais ndani ya siku kumi na nne tangu


kupokea malalamiko yaliyowasilishwa kwa mujibu wa ibara


ndogo ya (2) na uamuzi huo utakuwa wa mwisho.




Kama inavyosomeka katika ibara ya tatu hapo juu ni kuwa uamuzi wa Mahakama ya Juu ndio wa mwisho. Sasa twende ibara ya (4) ambayo ndio yenye utata.




(4) Kwa madhumuni ya ibara ndogo ya (3), Mahakama ya Juu


inaweza kutoa uamuzi wa kumthibitisha Rais bila kutoa sababu


za uamuzi na sababu hizo zitatolewa ndani ya kipindi kisichozidi


siku thelathini tangu siku ya kutoa uamuzi.




Hivi kama kwa mujibu wa ibara hiyo ndogo ya (4) Mahakama ya Juu ambayo uamuzi wake ndio wa mwisho inao uwezo wa kutoa maamuzi yasiyohojiwa popote bila kutoa sababu za kuamua hivyo hadi hapo itakapojisikia kuna sababu gani basi ya kulalamika na kupinga matokeo ambayo waamuzi wanao uwezo na mamlaka ya kuamua watakavyo?

>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Kwa taarifa yako sasa watu wanasoma hiyo katiba feki ya mafisadi na wanailewa

Hujielewi tu na ni wewe peke yako,umeisoma kama kasuku aliyekosa maji ndo maana hujaielewa afu unakimbilia humu JF we vp? Nenda kasome Ibara ya 167-207 utaona utendaji na madaraka ya Mahakama acha kusoma mstari mmoja.

View attachment 241942
 
Chenge na group lake.

swissme

Watanzania na utaifa wetu. Sisi wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tumeamua rasmi na kwa dhati kujenga katika nchi yetu jamii inayoheshimu na kuzingatia misingi ya utu na udugu, uhuru, kujitegemea, haki, usawa, amani na utulivu, umoja na mshikamano katika nyanja zote za maisha yetu. Hivyo wenye macho ya husda washindwe na walegee kwani wao wapo kwa manufaaa yao binafsi na matumbo yao wasiwahadae Watanzania.
 
Unajua maana ya MTK? kirefu chake ni M=MA, T=TA, K=KO hahahahw inamana wewe umeamua kujipa jina hilo chafu kijana, lkn ckushangai ndo maana akili zako zimekaa kimatakomatako.

Sikulaumu; sio makosa yako. lakini nina hakika wanajamvi wanaopita kwenye uzi wetu wameshaona Mchele ni upi na Chuya ni zipi! sina muda mchafu wa kulumbana na mtu kama wewe! issue closed. OUT!
 
Sikulaumu; sio makosa yako. lakini nina hakika wanajamvi wanaopita kwenye uzi wetu wameshaona Mchele ni upi na Chuya ni zipi! sina muda mchafu wa kulumbana na mtu kama wewe! issue closed. OUT!
Umeamua we mwenyewe kujipa hilo jina sasa unamlalamikia nani? wee si ndo unajiita MTK a.k.a MATAKO? Hahahahha
 
Ebola Hatari
We jamaa naye umekuja JF juzi tu unatupia wenzako matusi utasema umekua invisible...
Unamla bango aliyejiunga juzi huku wewe mwenyewe wamwezi uliopita tu... Enjoy JF kama ulivoikuta sio unajifanya mnyoshaji
 
Last edited by a moderator:
Ebola Hatari
We jamaa naye umekuja JF juzi tu unatupia wenzako matusi utasema umekua invisible...
Unamla bango aliyejiunga juzi huku wewe mwenyewe wamwezi uliopita tu... Enjoy JF kama ulivoikuta sio unajifanya mnyoshaji
Kichwa chako cha simba ndo kwamba tukuogope? hahahah au huyo unayemtetea ni mmeo? mbna unaongea matapishi humu kwani hii JF ya baba yako? fungua JF yako uweke huo uharo wako!!
 
Ebola Hatari
We jamaa naye umekuja JF juzi tu unatupia wenzako matusi utasema umekua invisible...
Unamla bango aliyejiunga juzi huku wewe mwenyewe wamwezi uliopita tu... Enjoy JF kama ulivoikuta sio unajifanya mnyoshaji

Ebola Hatari, Huyo jamaa hana nyimbo.
 
Kichwa chako cha simba ndo kwamba tukuogope? hahahah au huyo unayemtetea ni mmeo? mbna unaongea matapishi humu kwani hii JF ya baba yako? fungua JF yako uweke huo uharo wako!!

Sasa namjibu jamaa mwingine na wewe unarukia, umekosa kazi we jamaa?? au kwa kua imekuuma na wewe sababu umejiunga mwezi uliopita?? Only a stupid guy will see a good idea n kuita uharo, coz he doesn't even understand the meaning behind. Take a book n study wacha kelele unamtetea hajakuoa, unless ni the same guy with two IDs
 
Watanzania wazelendo na wle woote was ACT Wazalendo watapiga kura ya HAPANA . Hakuna nfasi tena kuchakachua kwetu. Nyie tulieni. ACHA KUPIGA MAYOWE ACHA WAYAONE WENYEWE
 
Wewe! kazi hiyo ya usimamizi na usajili JF kakupa nani? Wewe toa hoja yako, au wewe ni simba mtu? maana inawezekana ukawa kikwazo na tishio humu jamvini. Soma, andika na toa maoni yenye tija kwa wasomaji na sio kuangalia tu nani kaingia na kaingia lini.

Em kasome katiba kama signature yako inavosema maana naona umekosa la kufanya.... Haha afu kumbe na wewe imekuuma, nyie mliojiunga mwezi uliopita mna matatizo gani??? I seriously doubt kama ni watu tofauti, i really think ni mtu moja ana multiple IDs
 
Sasa namjibu jamaa mwingine na wewe unarukia, umekosa kazi we jamaa?? au kwa kua imekuuma na wewe sababu umejiunga mwezi uliopita?? Only a stupid guy will see a good idea n kuita uharo, coz he doesn't even understand the meaning behind. Take a book n study wacha kelele unamtetea hajakuoa, unless ni the same guy with two IDs

Wewe! Kazi hiyo ya usimamizi na usajili JF kakupa nani? Wewe toa hoja yako, au wewe ni simba mtu? maana inawezekana ukawa kikwazo na tishio humu jamvini. Soma, andika na toa maoni yenye tija kwa wasomaji na sio kuangalia tu nani kaingia na kaingia lini.
 
Back
Top Bottom