Katiba Inayopendekezwa si ya CCM

Katiba Inayopendekezwa si ya CCM

acha kupumua povu umeshindwa mwenyewe,kura lazima ipigwe!! Na kitaeleweka tu Ndiyooo!!!
Read between the lines. Nani alikuambia kuwa kura hazitapigwa, nilisema April 30, 2015 haiwezekani ila ww na wajinga wenzako mkanikomalia, ooohh!!! ooohhh!!! zitapigwa tarehe 30/04/2015. Sasa yako wapi majigambo yenu. Mnashindwa hata kusoma hali ya hewa kwenye jambo ambalo liko wazi kabisa. Wasomi wazima mnawaaga wanasiasa kusema uongo. Wanasiasa wapige porojo nanyi mpige porojo, ninyi mnatakiwa msimame kwenye kweli.

Linalowezekana semeni haliwezekani. Watu wameharibu mmekaa kushangalia kama mazuzu vile, Inasikitisha kweli
 
Read between the lines. Nani alikuambia kuwa kura hazitapigwa, nilisema April 30, 2015 haiwezekani ila ww na wajinga wenzako mkanikomalia, ooohh!!! ooohhh!!! zitapigwa tarehe 30/04/2015. Sasa yako wapi majigambo yenu. Mnashindwa hata kusoma hali ya hewa kwenye jambo ambalo liko wazi kabisa. Wasomi wazima mnawaaga wanasiasa kusema uongo. Wanasiasa wapige porojo nanyi mpige porojo, ninyi mnatakiwa msimame kwenye kweli.

Linalowezekana semeni haliwezekani. Watu wameharibu mmekaa kushangalia kama mazuzu vile, Inasikitisha kweli

Kwani Mwakaboko alokwambia mchakato wa kuhailisha kura ya maoni ndo mwisho wa kura za maoni nani? kura zitakuwepo pale pale na Katiba hii itapigiwa kura nyingi za NDIYO wewe jifurahishe tu lakini hakika nakuambia hii itapita tuuuu.
 
Kwani Mwakaboko alokwambia mchakato wa kuhailisha kura ya maoni ndo mwisho wa kura za maoni nani? kura zitakuwepo pale pale na Katiba hii itapigiwa kura nyingi za NDIYO wewe jifurahishe tu lakini hakika nakuambia hii itapita tuuuu.
Nawe pia umo kwenye orodha ya wasomi wa TANZANIA wanaabuse taaluma zao. Wapi nimeandika kuwa kuahirishwa ndiyo mwisho wa mchakato? wapi? onesha, you mother/father of lies!!!! kuhusu kupita au kutopita, mbona hilo nilishaliweka wazi kabla yako, Katiba Pendekezwa itapita, utake usitake itapita, kila mwenye akili anajua hilo, hata huna haja ya kupigia debe hilo
 
Nawe pia umo kwenye orodha ya wasomi wa TANZANIA wanaabuse taaluma zao. Wapi nimeandika kuwa kuahirishwa ndiyo mwisho wa mchakato? wapi? onesha, you mother/father of lies!!!! kuhusu kupita au kutopita, mbona hilo nilishaliweka wazi kabla yako, Katiba Pendekezwa itapita, utake usitake itapita, kila mwenye akili anajua hilo, hata huna haja ya kupigia debe hilo

Hivi wewe umelelewa katika familia yenye matuc eeeh? kwani huwezi kumuelewesha mtu bila kuweka tuc? kuwa mstaarabu bhana watu wanakuchoka humu kwa hiyo lugha, mi nimekujibu pasipo kuweka tuc lakini wewe umeweka maneno ya ajabu ajabu. dah samaki mkunje angali mbichi kweli nimeamini.
 
Hivi wewe umelelewa katika familia yenye matuc eeeh? kwani huwezi kumuelewesha mtu bila kuweka tuc? kuwa mstaarabu bhana watu wanakuchoka humu kwa hiyo lugha, mi nimekujibu pasipo kuweka tuc lakini wewe umeweka maneno ya ajabu ajabu. dah samaki mkunje angali mbichi kweli nimeamini.
Your name is a disgrace to our beautiful nation, Can you show to the public any posted insults in my post? Do you think the sons of darkness shall rule forever?
 
NTALETA Mahali kwenu muda c mrefu kwaajili ya kuuoa maana uanishobokea sana.

Eliasmushi tuliza mawenge hujui unalolifanya,usikimbize kivuli chako mwenyewe!!!

Mabusu we mwenyewe Chenge ndio maana unamkumbatia sana na unamtaja kama mfadhili wako!acha kuwa kibaraka wa kumpigia kampeni, kwa taarifa yako hana katiba hapa Katiba ni ya wananchi.

Hivi wewe ndugu Mwakaboko huwa unalala shimoni kama mchwa na unaamka na kukurupuka na maneno matupu maana nashindwa kuziita hoja. Kama ni pombe unazokunywa ndo zinakufanya hivyo hunabudi kuziacha kwani zimesha kukataa. Kama huwezi kuongea kama mtu mzima na mwenye akili timamu kaa kimya. Kama umezeeka kacheze na wajukuu.

Hiyo mitusi mezeni wenyewe afu sisi tunaendelea na Katiba mpya mtaendelea kutukanana weee sisi tunajipanga kuipigia kura kibao za ndiyoooo!

enyi rookie wa jf aka wazee wa march madness aka wachumia tumbo aka vibaraka aka wakosa uzalendo....kama kweli mngekuwa mnajitambua mngestick to your mission...elimisheni watu bila kuwa distracted ya wapinzani wa ''the so called referendum''....ila kwa kuwa hamjitambui,ugeni na ulimbukeni wa hapa jf,mnabaki kujibizana kwa matusi na hamaki..hiki ni kiwango kikubwa cha ukilaza na kutotambua unapigania nini....sitahangaika hata siku moja kuanzisha mada ya kupinga katiba lakini kwenye humu humu nyuzi zenu mnahadaika kirahisi na kujikuta mnaonesha udhaifu.Badala ya kutueleza kitabu cha chenge walau mconvince watu,mnabaki kuwa distracted.So far ni mmchumia tumbo mmoja naonaamejaribu kustick na anachohubiri..wengine nyote hamjielewi mnafanya nini..ni utumbo tu.na utumbo hauwezi kukonvince mtu kupiga kura ya ndiyo.Najua baada ya kusema haya mtajibu kwa hamaki na matusi kama kawaida yenu to prove my point(NINA UHAKIKA 101%..YOU ARE EASILY DISTRACTED)....poor recruits...
profilepic44327_13.gif
 
Your name is a disgrace to our beautiful nation, Can you show to the public any posted insults in my post? Do you think the sons of darkness shall rule forever?
Mwakaboko who are the sons of darkness if not you who has got dark mind. Mind your words kijana in case you are! Why can't you come up with a valid or substantive argument. Come back to your senses my dear!
 
The post aimed at Mr. Ebola ni hatari, Are you mr ebola, By the way every wise man / woman knows, who are sons of darkness wengine wamejiita kuwa ni nyoka wenye makengeza, wengine wakasema kuwa they can do anything on earth and nothing gona happen to them because they are holding and running the governing system, wengine wakasema 10 Million ni pesa za mboga, wengine wakasema tunazo nyingi zaidi ya hizo, msitusumbue. It is a very long list. Even our head of state had acknowledged to know them, He is now looking just for timing to nab them. Are you satisfied now?
Mwakaboko who are the sons of darkness if not you who has got dark mind. Mind your words kijana in case you are! Why can't you come up with a valid or substantive argument. Come back to your senses my dear!
make a comeback if not satisfied, you mother/father of lies!!!
 
Kiingereza chenyewe ni cha kuunga unga. Articulate what you want to say. Don't just memorise some phrases and bring them to the forum. Go to English course or rather join QT.
 
enyi rookie wa jf aka wazee wa march madness aka wachumia tumbo aka vibaraka aka wakosa uzalendo....kama kweli mngekuwa mnajitambua mngestick to your mission...elimisheni watu bila kuwa distracted ya wapinzani wa ''the so called referendum''....ila kwa kuwa hamjitambui,ugeni na ulimbukeni wa hapa jf,mnabaki kujibizana kwa matusi na hamaki..hiki ni kiwango kikubwa cha ukilaza na kutotambua unapigania nini....sitahangaika hata siku moja kuanzisha mada ya kupinga katiba lakini kwenye humu humu nyuzi zenu mnahadaika kirahisi na kujikuta mnaonesha udhaifu.badala ya kutueleza kitabu cha chenge walau mconvince watu,mnabaki kuwa distracted.so far ni mmchumia tumbo mmoja naonaamejaribu kustick na anachohubiri..wengine nyote hamjielewi mnafanya nini..ni utumbo tu.na utumbo hauwezi kukonvince mtu kupiga kura ya ndiyo.najua baada ya kusema haya mtajibu kwa hamaki na matusi kama kawaida yenu to prove my point(nina uhakika 101%..you are easily distracted)....poor recruits...
profilepic44327_13.gif
umeamua kuweka avatar unayotumia kwenye id yako ile ya tetty! Hahahh watu walishakufatilia wewe ukishindwaga kujibu hoja unakimbilia vibonzo! Mi nliona posts za watu wakikutaja kuwa unatumia id mbili nkakufatilia na leo nimekubamba live kwa hiyo post uloweka ya picha yenye avatar? Huna akili timamu wewe
 
enyi rookie wa jf aka wazee wa march madness aka wachumia tumbo aka vibaraka aka wakosa uzalendo....kama kweli mngekuwa mnajitambua mngestick to your mission...elimisheni watu bila kuwa distracted ya wapinzani wa ''the so called referendum''....ila kwa kuwa hamjitambui,ugeni na ulimbukeni wa hapa jf,mnabaki kujibizana kwa matusi na hamaki..hiki ni kiwango kikubwa cha ukilaza na kutotambua unapigania nini....sitahangaika hata siku moja kuanzisha mada ya kupinga katiba lakini kwenye humu humu nyuzi zenu mnahadaika kirahisi na kujikuta mnaonesha udhaifu.badala ya kutueleza kitabu cha chenge walau mconvince watu,mnabaki kuwa distracted.so far ni mmchumia tumbo mmoja naonaamejaribu kustick na anachohubiri..wengine nyote hamjielewi mnafanya nini..ni utumbo tu.na utumbo hauwezi kukonvince mtu kupiga kura ya ndiyo.najua baada ya kusema haya mtajibu kwa hamaki na matusi kama kawaida yenu to prove my point(nina uhakika 101%..you are easily distracted)....poor recruits...
profilepic44327_13.gif
wewe ni hanisi mkubwa humu ndani
 
the post aimed at mr. Ebola ni hatari, are you mr ebola, by the way every wise man / woman knows, who are sons of darkness wengine wamejiita kuwa ni nyoka wenye makengeza, wengine wakasema kuwa they can do anything on earth and nothing gona happen to them because they are holding and running the governing system, wengine wakasema 10 million ni pesa za mboga, wengine wakasema tunazo nyingi zaidi ya hizo, msitusumbue. It is a very long list. Even our head of state had acknowledged to know them, he is now looking just for timing to nab them. Are you satisfied now? Make a comeback if not satisfied, you mother/father of lies!!!
kiingereza chenyewe ulipata zero iweje keo unaanza kujitamba humu ndani ili akisifie nani au umechanganyikiwa?
 
your name is a disgrace to our beautiful nation, can you show to the public any posted insults in my post? Do you think the sons of darkness shall rule forever?
wewe hujaelewa hiyo avatar yake inamaanisha nini! Ngoja nkusaide! Ebola hatari anamaanisha kuwa muwe makini kwasababu ebola ni ugonjwa hatari! Kama unavyosikiaga ukimwi ni kifo! Mwenzetu wewe unaonekana hata kwenye mitihani ulikuwa ukitafsiri maswali kinyume na ndo maana form four ukachemsha?
 
Kiingereza chenyewe ni cha kuunga unga. Articulate what you want to say. Don't just memorise some phrases and bring them to the forum. Go to English course or rather join QT.
vumilia tu, najua maumivu ni makali sana ila vumilia, ndiyo changamoto za ofisini kwako. Unakutana na waliosomi kuliko ww, unakosa hata useme nini, pole. NIMESOMA ENZI ZILE KUSOMA PRIVATE SCHOOL UNAONEKANA WW NI ZIRO, Sijui wakati huo ulikuwa umezaliwa au bado? enzi za mwalimu wakati huo, nadhani umenipata mpaka hapo
 
wewe hujaelewa hiyo avatar yake inamaanisha nini! Ngoja nkusaide! Ebola hatari anamaanisha kuwa muwe makini kwasababu ebola ni ugonjwa hatari! Kama unavyosikiaga ukimwi ni kifo! Mwenzetu wewe unaonekana hata kwenye mitihani ulikuwa ukitafsiri maswali kinyume na ndo maana form four ukachemsha?
kwani wewe ni msemaji wake?
 
Ni ya CCM na ndio wao walioipitisha bungeni na mamruki wao waliochaguliwa na Mwenyekiti wao.
 
wewe hujaelewa hiyo avatar yake inamaanisha nini! Ngoja nkusaide! Ebola hatari anamaanisha kuwa muwe makini kwasababu ebola ni ugonjwa hatari! Kama unavyosikiaga ukimwi ni kifo! Mwenzetu wewe unaonekana hata kwenye mitihani ulikuwa ukitafsiri maswali kinyume na ndo maana form four ukachemsha?
Yaani mpaka leo umeshikilia kuwa UKIMWI ni kifo, ndiyo nyie mnaopotosha jamii. Anyway forget about that, I know you know nothing about HIV/AIDS. Something they don't want you to know, aaaahhhh!!!!
 
umeamua kuweka avatar unayotumia kwenye id yako ile ya tetty! Hahahh watu walishakufatilia wewe ukishindwaga kujibu hoja unakimbilia vibonzo! Mi nliona posts za watu wakikutaja kuwa unatumia id mbili nkakufatilia na leo nimekubamba live kwa hiyo post uloweka ya picha yenye avatar? Huna akili timamu wewe

...Get back to your sense.There is nothing you couldn't do better than that?Such a disgrace to society...The vote is No.
 
...Get back to your sense.There is nothing you couldn't do better than that?Such a disgrace to society...The vote is No.

Mchumia tumbo wewe unatumia ID nyingi watu mi nlidhani wanakusingizia kumbe kweli na sikuhizi umeamua kutoitumia hiyo ya Tetty, tumia tu kwani wameshakujua.
 
Back
Top Bottom