Katiba moto moto: CCM wakutana kwa dharura Protea Hotel leo

Katiba moto moto: CCM wakutana kwa dharura Protea Hotel leo

Salaam
Mleta hoja anataka kudanganya wasomaji na great thinkers hapa. Kwani mwenyekiti wa Sekretariete ni Ndg. Kinana ambaye tuko naye Nyamongo tukiwa na ziara nzuri ya kikazi, sasa hiyo sekretariete anayoisema ni ipi?!!!? Hii tabia ya kuleta uongo jamvini inapaswa kudhibitiwa ili kulinda heshima ya jukwaa hili.
Tndale one
 
Salaam
Mleta hoja anataka kudanganya wasomaji na great thinkers hapa. Kwani mwenyekiti wa Sekretariete ni Ndg. Kinana ambaye tuko naye Nyamongo tukiwa na ziara nzuri ya kikazi, sasa hiyo sekretariete anayoisema ni ipi?!!!? Hii tabia ya kuleta uongo jamvini inapaswa kudhibitiwa ili kulinda heshima ya jukwaa hili.

Unamaana kuwa Kinana kila anakokwenda anabeba na wadhifa wake mgongoni?.Kwa maana hiyo bila yeye kuwepo hakuna kitakacho endelea kwa vile mwenyekiti Kinana hayupo.
 
images.jpgimages (2).jpg
nape hawezi kukanusha kaenda tukuyu kutafuta wazazi wake hawezi aka deal na mambo ya katiba toka mlipo mwambia akatafute wazazi wake ndo katokomea.
 
Back
Top Bottom