Katiba moto moto: CCM wakutana kwa dharura Protea Hotel leo

Katiba moto moto: CCM wakutana kwa dharura Protea Hotel leo

Kutokana na moto wa Katiba ambao umewashwa baada ya sheria kupitishwa kinyemela Bungeni , leo uongozi wa CCM ikiwa ni wajumbe wa SEcretariat na Mawaziri wote waliopo chini ya ofisi ya Waziri Mkuu wapo kwenye kikao tangu asubuhi kwenye hoteli ya Protea Sea view, ajenda kuu ikiwa ni kuhusu Muswada ulivyopitishwa Bungeni na moto unavyowawakia .

kutoka ofisi ya Waziri Mkuu yupo Lukuvi, Mary Nagu, na wengine ni Pamoja na mwanasheria mkuu wa serikali et al, ajenda ni Muswada ,,,,,,nitawaletea taarifa za kina baadae .

Kuna presha kubwa sana kutoka SMZ na hasa baada ya CCM kumchangia ya BALOZI Seif Idd, kwenda kutoa kauli za uongo kuwa SMZ ilishirikishwa kumbe hawa kupewa mswada wenye vifungu kumi na moja ambao ndio ulipelekewa Bungeni , wao walipewa mswada wenye vifungu 6 tu, sasa BALOZI Seif Idd, anataka kujitokeza hadharani kuwaomba radhi watz kwa kudhalilishwa kulikofanywa dhidi yake,

Aidha, presha ni kubwa sana kutoka hata kwa Mawaziri wa Bara na baadhi ya wabunge kama wakina SAmweli SItta na wengine, Lukuvi ndio alikuwa ZAnzibar anata kuwa kutoa majibu kabla Rais haja rejea nchini ,

kuhusu, sula la kuvunja Tume ya Warioba , mara baada ya kuwasilisha rasimu yake kwenye Bunge la Katiba , AG na Chikawe kila mmoja anarusha mpira kwa mwenzake , Haijulikani hoja hii ilipotokea, kwani hata Cabinet ya Muungano hawa kujadiliana kuhusu hoja hiyo, ......wait .....

waliopo kikaoni.
Zakhia Megji, Asharose, Mama Chitinka, Lukuvi, AG,SEif Khatib, CPD, Mary Nagu, Evod Mmanda......nawataja kwa uchache tuu.....ili Nnape akanushe kama kawaida yake,

mwigulu, Kinana, Nnape ,hawapo kikaoni....

Wataje basi wote waliopo kikaoni ili nijue wewe ni yupi hapo! Maana bado sipati picha uko nje ya ukumbi lakini unapata yanayoendelea huko ndani. Au wameweka vipaza sauti?
 
Salaam


Mleta hoja anataka kudanganya wasomaji na great thinkers hapa. Kwani mwenyekiti wa Sekretariete ni Ndg. Kinana ambaye tuko naye Nyamongo tukiwa na ziara nzuri ya kikazi, sasa hiyo sekretariete anayoisema ni ipi?!!!? Hii tabia ya kuleta uongo jamvini inapaswa kudhibitiwa ili kulinda heshima ya jukwaa hili.

Hapa chini je?
Naomba Ufafanuzi wa Jumuiya ya WAZAZI ya CCM

Mimi dukuduku langu ni juu ya Hii jumuiya ya WAZAZI ya CCM nina maswali ambayo najiuliza kila siku lakini sipati majibu, maswali yangu ni haya yafuatayo


Katika hii Jumuiya ili uwe mwanajumuia unatakiwa uwe na sifa zipi?
Nini hasa lengo la kuanzishwa kwa Jumuiya Hii?
Na neno WAZAZI linatumika kwa maana ipi?



Nauliza haya ni kwa sababu kama tunavyojua Jumuiya za Vijana wahusika ni Vijana, Jumuiya za wanawake wahusika ni wanawake na hata kama kungekuwa na jumuiya za wanaume wangeusika wanaume na pia kungekuwa na jumuiya za wazee wangehusika wazee, sasa hii jumuiya wahusika ni akina nani?
 
kikao cha mapanya (makokoi,vibobiri,ngayaya ...) wanapanga namna ya kula
 
Salaam
Mleta hoja anataka kudanganya wasomaji na great thinkers hapa. Kwani mwenyekiti wa Sekretariete ni Ndg. Kinana ambaye tuko naye Nyamongo tukiwa na ziara nzuri ya kikazi, sasa hiyo sekretariete anayoisema ni ipi?!!!? Hii tabia ya kuleta uongo jamvini inapaswa kudhibitiwa ili kulinda heshima ya jukwaa hili.

Kwani mawaziri waliotajwa unao hapo? Kwani ndani ya ccm kuna kufuata utaratibu? Umesahau kuwa hivi juzi mkoa wa kagera ccm waliwafukuza madiwani bila kufuata utaratibu ulioulalamikia wewe? Hujui kuwa hakuheshimu uamzi wao badala yake mkakubali kulinda ufisadi wa meya? hukumbuki kuwa juzi uliropoka kuwa balozi wa china ni sahihi kushiriki mikutano ya chama chenu kwa madai kuwa wapinzani wanaona wivu na wanatumia matatizo ya wananchi kama mtaji wa kisiasa? Hujui wewe(nyie CCM) ndo mmeshawageuza watz kama magunia ya maharage na mahindi mnawauza kwa wageni kutoka nchi za nje kwa kigezo cha uwekezaji? Kutokuwepo kinana hakuna maana kuwa kikao cha mawaziri hakiwezi kuendelea maana mambo yenu yanafanyika kigiza giza tu. Hata hiv yo kinana siyo waziri na secretariat iliyotajwa hapo siyo lazima iwe ya ccm. Take a little time to think Nape
 
Wajiulize huko waliko marekani walitengeneza katiba miaka 300 iliyopita sasa wao ccm wanayoitaka itatumika muda gani? Halafu waweke maslahi ya taifa mbele kwakeli ccm mnasikitisha
 
katiba ni ya wananchi wote na si ya chama chochote cha siasa,Ma CCM aibu ni yenu
 
Salaam
Mleta hoja anataka kudanganya wasomaji na great thinkers hapa. Kwani mwenyekiti wa Sekretariete ni Ndg. Kinana ambaye tuko naye Nyamongo tukiwa na ziara nzuri ya kikazi, sasa hiyo sekretariete anayoisema ni ipi?!!!? Hii tabia ya kuleta uongo jamvini inapaswa kudhibitiwa ili kulinda heshima ya jukwaa hili.
attachment.php


Wamemharibu Nape hivi hivi tunaona
 
kweli wameanza kuungua hahahah,moto moto choma ccm hahaha
 
Nnape, unataka kusema hajui kikao ambacho kinawashirikisha wafuatao na ambacho bado kinaendelea hapa Protea Hotel sea view? Yupo Zakhia Megji, Asharose Migiro, Lukuvi Willium, Marry Nagu, AG, CPD HUYU ni Chief PArliamentary DRafts man , na wengineo? Nataka tuu useme , ntakuletea picha ya kikao.

Kaka/ Dada, umefanya vizuri kumhakikishia NAPE NNAUYE kuwa taarifa yako ni ukweli. Zaidi, tunaomba uendelee kutupatia updates za kikao na picha zake, ikiwezekana.
 
hili jiwe limerushwa kwenye mwanga, nnashangaa wahusika wanalilia gizani
cc Nape Nnauye
 
Last edited by a moderator:
Kwani mawaziri waliotajwa unao hapo? Kwani ndani ya ccm kuna kufuata utaratibu? Umesahau kuwa hivi juzi mkoa wa kagera ccm waliwafukuza madiwani bila kufuata utaratibu ulioulalamikia wewe? Hujui kuwa hakuheshimu uamzi wao badala yake mkakubali kulinda ufisadi wa meya? hukumbuki kuwa juzi uliropoka kuwa balozi wa china ni sahihi kushiriki mikutano ya chama chenu kwa madai kuwa wapinzani wanaona wivu na wanatumia matatizo ya wananchi kama mtaji wa kisiasa? Hujui wewe(nyie CCM) ndo mmeshawageuza watz kama magunia ya maharage na mahindi mnawauza kwa wageni kutoka nchi za nje kwa kigezo cha uwekezaji? Kutokuwepo kinana hakuna maana kuwa kikao cha mawaziri hakiwezi kuendelea maana mambo yenu yanafanyika kigiza giza tu. Hata hiv yo kinana siyo waziri na secretariat iliyotajwa hapo siyo lazima iwe ya ccm. Take a little time to think Nape

Moto moto motooo..................; Halafu?? kuna sababu gani Mh Jk asaini sheria itakayoleta katiba isiyokubalika? maana waliodai katiba mpya hawaridhiki na mkipitisha ilivyo sauti za kudai katiba mpya zitaendelea na safari hii zitakuwa na nguvu zaidi. Someni alama za nyakati enyi watawala. Hivi mlidhani Wtz wanatania kudai katiba mpya?? Ama mlikuwa mnajaribu kina cha Maji.
 
Kimenuka,ni hatari hakuna kulala magamba wameshachanganyikiwa,na bado 2014 watachanganyikiwa zaidi pale vitongoji vingi na vijiji vitakapochukuliwa na wapinzani....lazima Nape na Kinana wakimbie hii nchi.....Moto moto moto choma..Ma CCM
 
Kimenuka,ni hatari hakuna kulala magamba wameshachanganyikiwa,na bado 2014 watachanganyikiwa zaidi pale vitongoji vingi na vijiji vitakapochukuliwa na wapinzani....lazima Nape na Kinana wakimbie hii nchi.....Moto moto moto choma..Ma CCM
 
Salaam
Mleta hoja anataka kudanganya wasomaji na great thinkers hapa. Kwani mwenyekiti wa Sekretariete ni Ndg. Kinana ambaye tuko naye Nyamongo tukiwa na ziara nzuri ya kikazi, sasa hiyo sekretariete anayoisema ni ipi?!!!? Hii tabia ya kuleta uongo jamvini inapaswa kudhibitiwa ili kulinda heshima ya jukwaa hili.

moto unguza kichwa cha Nape Nnauye ili ajifunze kujibu anayo ulizwa na kufikiri kwa kina kabla ya kujibu mada/hoja.

Nape Nnauye hao waliotajwa huko nao huko?
kwa nini una kichwa kigumu?
Nape Nnauye ninani kasema ni kikao cha secretarity ya chama chako?
kwanini hutulizani ukasoma vizuri?
 
Last edited by a moderator:
protea hotel ni ya mbowe...je nikitu kinachowezekana wapinzani wake wakafanyie vikao vya siri kwenye hotel ya mbaya wao? Basi uwenda hichi kikao siyo cha siri na akina ajenda za maana.
 
Mbona nape hajarudi tena au ndio anaharisha huko aliko.
 
wakae wale vya mwisho mwisho
mwisho wao umeshafika
 
Protea ni chain of hotel ni sawa nakusema kempsiky chain ni ya kikwete , wanaweza wakawa wamekodi majengo ya kina mbowe lakini si yake
 
Back
Top Bottom