Katiba moto moto: CCM wakutana kwa dharura Protea Hotel leo

Katiba moto moto: CCM wakutana kwa dharura Protea Hotel leo

waacheni wahangaike endapo rais JK atasaini muswada "aaaah kumbe ilikuwa danganya totooo" Mch. Zakaria Kakobe
 
Nnape, unataka kusema hajui kikao ambacho kinawashirikisha wafuatao na ambacho bado kinaendelea hapa Protea Hotel sea view? Yupo Zakhia Megji, Asharose Migiro, Lukuvi Willium, Marry Nagu, AG, CPD HUYU ni Chief PArliamentary DRafts man , na wengineo? Nataka tuu useme , ntakuletea picha ya kikao.

Wewe Nape kwani ni nani sisiemu ww ni msukule wa Chama kama hujijui, ndo maana wanakupotezea kwa uropokaji wapo....
 
Hao ni Green Devils. Bosi wao anatalii Marekani. Hoa ndio watakaoipeleka nchi hii kwenye machafuko kutokana na akili zao finyu na ulafi wa madaraka!
 
Mbona mtonya habari yumo humo humo kwenye kikao,kupata habari za ndani ni rahisi mno,anaweza kujifanya amebanwa choo kubwa akaingia toilet na kuturushia data huku jf.usifikiri wote wana mawazo ya pamoja.wengine huwa wanaburuzwa tu ndg yangu.Ww subiri data tu.

Labda kuna anayetaka kuharibu ili dakika za mwisho ajitoe akagombee binafsi kama EL anavyojiandaa.
 
Kutokana na moto wa Katiba ambao umewashwa baada ya sheria kupitishwa kinyemela Bungeni , leo uongozi wa CCM ikiwa ni wajumbe wa SEcretariat na Mawaziri wote waliopo chini ya ofisi ya Waziri Mkuu wapo kwenye kikao tangu asubuhi kwenye hoteli ya Protea Sea view, ajenda kuu ikiwa ni kuhusu Muswada ulivyopitishwa Bungeni na moto unavyowawakia .

kutoka ofisi ya Waziri Mkuu yupo Lukuvi, Mary Nagu, na wengine ni Pamoja na mwanasheria mkuu wa serikali et al, ajenda ni Muswada ,,,,,,nitawaletea taarifa za kina baadae .

Kuna presha kubwa sana kutoka SMZ na hasa baada ya CCM kumchangia ya BALOZI Seif Idd, kwenda kutoa kauli za uongo kuwa SMZ ilishirikishwa kumbe hawa kupewa mswada wenye vifungu kumi na moja ambao ndio ulipelekewa Bungeni , wao walipewa mswada wenye vifungu 6 tu, sasa BALOZI Seif Idd, anataka kujitokeza hadharani kuwaomba radhi watz kwa kudhalilishwa kulikofanywa dhidi yake,

Aidha, presha ni kubwa sana kutoka hata kwa Mawaziri wa Bara na baadhi ya wabunge kama wakina SAmweli SItta na wengine, Lukuvi ndio alikuwa ZAnzibar anata kuwa kutoa majibu kabla Rais haja rejea nchini ,

kuhusu, sula la kuvunja Tume ya Warioba , mara baada ya kuwasilisha rasimu yake kwenye Bunge la Katiba , AG na Chikawe kila mmoja anarusha mpira kwa mwenzake , Haijulikani hoja hii ilipotokea, kwani hata Cabinet ya Muungano hawa kujadiliana kuhusu hoja hiyo, ......wait .....

waliopo kikaoni.
Zakhia Megji, Asharose, Mama Chitinka, Lukuvi, AG,SEif Khatib, CPD, Mary Nagu, Evod Mmanda......nawataja kwa uchache tuu.....ili Nnape akanushe kama kawaida yake,

mwigulu, Kinana, Nnape ,hawapo kikaoni....

Hizi ni habari njema kwa wafuasi wa upepo. Otherwise kwa wenye akili tumeshajua kuwa ni uongo kwa sababu CCM hawawezi kufanyia vikao kwenye Hotel ya Mbowe.
 
...sasaivi utasikia serikali sikivu,hahahaaa...!
 
We nape ndio huaminiki kabisa umekuwa muongo matamko yako ni double standard hata sisi wanaccm wenzako unatukera kuwa realistic wewe ni mtu muhimu suala la balozi wa china limetuchafua kwa ajili ya uropokaji wako ni kweli hawa watu wameingia protea wamekuaga.acha mbwembwe dogo.
 
Ngoma wacheze wao, kucheza wacheze wao na kukaa mlangoni wakae wao. Misisiem. Shame!!!!!!!! Kikao cha wachawi.
 
kuna uzi kauleta Tandale one , anakanusha , nani mkweli ?

Huyo Tandale one inaonekana ndiye Nape mwenyewe. Alionoa posting yake inapigwa vishoka huku akaamua kuja na uzi wake. Sijui kwa nini wana CCM wanapenda sana kutumia ID fake tofauti na wana CDM wengi tunaowafahamu humu jamvini??
 
Nnape, unataka kusema hajui kikao ambacho kinawashirikisha wafuatao na ambacho bado kinaendelea hapa Protea Hotel sea view? Yupo Zakhia Megji, Asharose Migiro, Lukuvi Willium, Marry Nagu, AG, CPD HUYU ni Chief PArliamentary DRafts man , na wengineo? Nataka tuu useme , ntakuletea picha ya kikao.

Mkuu achana na nape mzee wa kuropoka,hicho kikao cha siri hawajamshirikisha kwa sababu hakawii kuropoka wameshamjua
 
Salaam
Mleta hoja anataka kudanganya wasomaji na great thinkers hapa. Kwani mwenyekiti wa Sekretariete ni Ndg. Kinana ambaye tuko naye Nyamongo tukiwa na ziara nzuri ya kikazi, sasa hiyo sekretariete anayoisema ni ipi?!!!? Hii tabia ya kuleta uongo jamvini inapaswa kudhibitiwa ili kulinda heshima ya jukwaa hili.

Ah jamaa wapo kwenye kikao, hawajakuaga tu mkuu wa propaganda, unajua wenzio wanakuogopaga na mdomo huo, na wewe itabidi usikilizie kama mgeni. We usikae mbali na hapa, utajua tu kinachoendelea, mradi watu werevu wako standby-uskae mbali unga robo
 
wahuni wakikutana, ujue kuna mimba zisizotarajiwa zitatokea, TV=Tusubiri Vitu
 
Kutokana na moto wa Katiba ambao umewashwa baada ya sheria kupitishwa kinyemela Bungeni , leo uongozi wa CCM ikiwa ni wajumbe wa SEcretariat na Mawaziri wote waliopo chini ya ofisi ya Waziri Mkuu wapo kwenye kikao tangu asubuhi kwenye hoteli ya Protea Sea view, ajenda kuu ikiwa ni kuhusu Muswada ulivyopitishwa Bungeni na moto unavyowawakia .

kutoka ofisi ya Waziri Mkuu yupo Lukuvi, Mary Nagu, na wengine ni Pamoja na mwanasheria mkuu wa serikali et al, ajenda ni Muswada ,,,,,,nitawaletea taarifa za kina baadae .

Kuna presha kubwa sana kutoka SMZ na hasa baada ya CCM kumchangia ya BALOZI Seif Idd, kwenda kutoa kauli za uongo kuwa SMZ ilishirikishwa kumbe hawa kupewa mswada wenye vifungu kumi na moja ambao ndio ulipelekewa Bungeni , wao walipewa mswada wenye vifungu 6 tu, sasa BALOZI Seif Idd, anataka kujitokeza hadharani kuwaomba radhi watz kwa kudhalilishwa kulikofanywa dhidi yake,

Aidha, presha ni kubwa sana kutoka hata kwa Mawaziri wa Bara na baadhi ya wabunge kama wakina SAmweli SItta na wengine, Lukuvi ndio alikuwa ZAnzibar anata kuwa kutoa majibu kabla Rais haja rejea nchini ,

kuhusu, sula la kuvunja Tume ya Warioba , mara baada ya kuwasilisha rasimu yake kwenye Bunge la Katiba , AG na Chikawe kila mmoja anarusha mpira kwa mwenzake , Haijulikani hoja hii ilipotokea, kwani hata Cabinet ya Muungano hawa kujadiliana kuhusu hoja hiyo, ......wait .....

waliopo kikaoni.
Zakhia Megji, Asharose, Mama Chitinka, Lukuvi, AG,SEif Khatib, CPD, Mary Nagu, Evod Mmanda......nawataja kwa uchache tuu.....ili Nnape akanushe kama kawaida yake,

mwigulu, Kinana, Nnape ,hawapo kikaoni....

Mkuu unataka kuniambia hivi ndo vichwa tunavyotegemea kutoka na majibu ya kina kwenye hili swala?
 
Nape Nauye tumekuzoea kuropoka hata tulipokwambia Balozi wachina amekiuka misingi ya kibalozi ukaja hapa na kwenye vyombo vya habari na kutetea huku ukijua unadanganya umma wa Watanzania kuwa balozi alikuwa sahihi. Sasa na leo unakuja bila hata aibu unasema Mzee wa pembe za ndovu mpo nae kwani sisi hatujui? Sijui kwanini ccm hawapendi kuchukua watu makini wanaweka watu kama wewe ambaye ni mbabaishaji na muongo kila siku unazusha mambo ya uongo na aibu.....Jirekebishe bwana tumekuchoka
 
Back
Top Bottom