Mhariri wa Majira si mzalendo, mtizamo wa CDM?? :tape::tape::tape::tape::tape::tape:
Wewe unasemaje? mtazamo wako ukoje maana maoni yaliyokusanywa niyawatanzania sio chadema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhariri wa Majira si mzalendo, mtizamo wa CDM?? :tape::tape::tape::tape::tape::tape:
Nimesikitishwa na kushangazwa na kichwa cha habari cha gazeti la Majira la leo jumapili tarehe 01/09/2013 kinachosomeka "Chadema yakwama".Hii habari inahusu uamuzi wa tume ya kukusanya maoni ya katba kukataa mapendekezo ya CHADEMA ambayo kimsingi ni maoni ya wananchi na si maoni ya CHADEMA kama chama cha siasa.
Mimi naomba kumuuliza mhariri atuambie katika uamuzi huo wa tume ni CHADEMA au ni Demokrasia ndio imekwama?Katika hali akili ya kawaida tu(commonsense) ukweli hapa waliokwamishwa ni wananchi waliotoa maoni yao na si CHADEMA.Kwa maneno mengine wananchi waliotoa maoni yao "wamepuuzwa" na si CHADEMA.Pia ikumbukwe kuwa idadi ya wananchi waliotoa maoni hayo yaliyokuwa kwenye maboksi 17 ni takribani watu milioni 3.5.K
Kwa kuzingatia ukweli huu, ndio napohoji uwezo na uzalendo wa huyu mhariri.Lakini pia inawezekana ndio ule mwendelezo wa waandishi wa habari kutumika kisiasa kwa malengo ya wanasiasa na vyama vyao.Haiingii akilini kwa mwandishi mzalendo kuandika habari ile "kishabiki" kiasi kile!
Waandishi wa habari mtende haki na mjue mna mchango mkubwa katika maendeleo na ustawi wa hii nchi katika kila nyanja iwe siasa,uchumi,elimu,jamii n.k.
Acha kukimbia mada, Dr Slaa amepata pigo, so do you!

Yaani Slaa anamwambi age-mate wake kuwa amechoka!!!
Naona Slaa anajitahidi kupoliticize zoezi zima la Katiba Mpya. Katiba mpya isitumiwe kama political capital...
jadili mada mkuu huku kwingine unapoteza muda.Chadema mnafuja ruzuku ya chama kwa matumizi ya ya ovyoo
Mijitu ya magamba inauzi mno...haijitambui...we kweli zuzu uzi umeletwa tena na mdaku mkuu wa jf hata haieleweki chanzo cha habari nichangie tu bila kuhoji? Hivi nyie mijitu ya ccm mpoje lakini?
Tena alikua akimaliza kuhutubia anapanda chopa huyoo ,mkutano unaishia hapo watu wanatawanyika,saa ngapi watu walikua wanapewa makaratasi na kuandika maoni?Mhariri wa gaziti la Majira ni mzalendo tena ni mtu makini mwenye kuitakia mema nchi yake.
Kimsingi maoni ya Chadema ni maoni ya Dr. Slaa hata ukiangalia huo ukusanyaji utamuona Dr.Slaa akiwahutubia wananchi.
Tafsiri ya uzalendo mpaka uisifie Chadema.
Hilo la mabox kukataliwa lilitarajiwa na CHADEMA.Nadhani watu hamjaelewa sawasawa.Kazi waliyofanya CHADEMA ya kutoa Elimu kwa wananchi ni KUBWA kuliko ama KUKUBALIWA au KUKATALIWA.Chadema imefanya kazi kazi yake ya siasa vizuri sana.Kwenye mikutano watu WAMEZALIWA upya.Ni kasi ya ajabu sana inayokwenda nayo Chadema.Walichofanya chadema ni KU-JUSIFY kazi waliyofanya na walioimbia serikali ya CCM kuwa wanakwenda kuifanya.Hivyo CCM wsmepigwa changa la macho!!!Tufuatilie mambo kwa makini!!!
Kwa mjibu wa gazeti la majira yale maoni ya dr slaa aliyowasilisha tume ya katiba yamekutana na kigingi na hivyo kurudi nayo.
Inasemekana ni yale maoni ya helicopter.
kweli kabisa mkuu,tena ikiwa ile iliyonyeshewa na mvua kisha ivutwe ukiwa ndani ya chopa,ni hatari sana.Bangi na madawa ya kulevya ni hatari kwa ubongo....