Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
mbona gambaz mnaweweseka sn na mda bado! kwani hizo randama 2 si maoni ya cdm? hayo mabox ni ushahidi tu wa hzo randama
Mkuu magamba akili zao wameka makalioni..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona gambaz mnaweweseka sn na mda bado! kwani hizo randama 2 si maoni ya cdm? hayo mabox ni ushahidi tu wa hzo randama
Wakati mwingine unashindwa kufahamu uelewa wa hawa viongozi wa Chadema.
Mabox ya maoni Dr.Slaa, kayatoa wapi wakati kazi kubwa aliyokuwa akiifanya ni kuzunguka na Chopa akifika sehemu Dr. Slaa yeye ndiyo alikuwa anawahutubia wananchi.
Hayo ni maoni yake binafsi pamoja na wenzake kina Mnyika, na Mbowe.
Kuna utaratibu wa kukusanya maoni kwa hiyo hayo maoni alikuwa anayabeba vipi na Chopa.
kweli kabisa mkuu,tena ikiwa ile iliyonyeshewa na mvua kisha ivutwe ukiwa ndani ya chopa,ni hatari sana.
Watanzania msihofu,2016 tutatengeneza katiba ya Watz na si ya ccm
Zanzibar mlifika lakini?sipendi ushabiki
#Ex Tanzania Simper aliquid novi#
Yaani Slaa anamwambi age-mate wake kuwa amechoka!!!
Naona Slaa anajitahidi kupoliticize zoezi zima la Katiba Mpya. Katiba mpya isitumiwe kama political capital...
Hivi kumbe kwa kuwa kuna tatizo la madawa ya kulevya basi ndio tujipige marufuku kujadili mambo mengine kwenye jamii zetu?
Usiniambie kuwa wewe uwa hauli, haunywi wala haulali, bali uwa unakomaa na madawa ya kulevya tu?
Wewe kweli wakuhurumiwa!