Ni wazi kuwa mtu kubeza kupatikana kwa katiba mpya ni matokeo ya kuwa na:
1. uelewa usio sahihi, au
2. maslahi kwenye katiba iliyopo.
Hapa chini ni ushuhuda wake bwana Extrovert. Heshima kwako sana mkuu: (comment #95)
Uzi: CHADEMA haya mnayoyafanya ndio yalipelekea tukaletewa Hayati Magufuli
Hii ni hatua njema tunapoendelea kupigania kupata kurejelewa kwa katiba ya wananchi iliyo boreshwa.
Tulianzia hapa, tokea kwake mheshimiwa huyu: (Comment #7)
Akafuatiwa na majibu haya: (comment #9)
Comments mbili hizi, kutokea uzi huu:
Wanufaika wa Katiba Iliyopo hawahitaji elimu
Nilileta ushuhuda mwingine mapema tokea kwake Nigrastratatract katika uzi huu:
www.jamiiforums.com
-------
My take:
Tujikite kubadilishana mawazo na watu #1.
Hawa #2 yaani kina jingalao, Wakudadavuwa, Magonjwa Mtambuka na binamu zao; "they can go to hell and stay there.
Cc: BAK The Boss Salary Slip Mamy K
1. uelewa usio sahihi, au
2. maslahi kwenye katiba iliyopo.
Hapa chini ni ushuhuda wake bwana Extrovert. Heshima kwako sana mkuu: (comment #95)
Uzi: CHADEMA haya mnayoyafanya ndio yalipelekea tukaletewa Hayati Magufuli
Hii ni hatua njema tunapoendelea kupigania kupata kurejelewa kwa katiba ya wananchi iliyo boreshwa.
Tulianzia hapa, tokea kwake mheshimiwa huyu: (Comment #7)
Akafuatiwa na majibu haya: (comment #9)
Comments mbili hizi, kutokea uzi huu:
Wanufaika wa Katiba Iliyopo hawahitaji elimu
Nilileta ushuhuda mwingine mapema tokea kwake Nigrastratatract katika uzi huu:
Vita Mitandaoni: Kuitishwe Poo tatizo ni mitizamo tu, tunajenga nyumba moja
Mabibi na mabwana kumekuwa na vita vikali vya mitandaoni. CCM, Chadema, Corona, Legacy, tuzo za BET nk. Kwa hakika imekuwa ni patashika nguo kuchanika. Hata hivyo pana haja ya kufanyika tathmini za msingi. Kuna uwezekano mkubwa kuwa waungwana, letu sote ni moja. Yawezekana ni kwa sababu ya...
My take:
Tujikite kubadilishana mawazo na watu #1.
Hawa #2 yaani kina jingalao, Wakudadavuwa, Magonjwa Mtambuka na binamu zao; "they can go to hell and stay there.
Cc: BAK The Boss Salary Slip Mamy K