KATIBA Mpya haitamruhusu Profesa Ibrahim Haruna Lipumba kugombea urais, CUF mwafa

KATIBA Mpya haitamruhusu Profesa Ibrahim Haruna Lipumba kugombea urais, CUF mwafa

huna lolote CCM na CHadema wote ni wamoja wapo kwa ajili ya Mfumo kristo basi. Chadema ni backup ya CCM siku ikiwa haina tena maslahi na kanisa nchi atapewa Chadema hebu sema Tume ya uchaguzi ni wakristo watupu hapo vipi! usalama wa taifa ni wakristo watupu !! majaji ni wakristo watupu!! Jeshi ndio hakusemeki wakuu wa mikowa ni mkristo tu wakubwa ni kristo mtupu halafu tuletee porojo zako ni kanisa mpaka kufa au watanzania waamke kwenye usingizi mzito wa mfumo kristo
 
Kama hujui siasa za bongo zinavyokwenda nibora ukafyata mkia. Leohii ukimwambia mtu wa pwani na kusini kwa ujumla kuhusu CDM atakujibu "hao ni makafili na siwapi kurayangu" alkadhalika kwa wakaskazini hamuwezi ungamkono harakati zozote zifanywazo na CUF.

Illusions!

CDM ilisemwa na mume wenu CCM vibaya lkn sasa hao hao watu wa kusini wameikubali na ushahidi utaupata 2015. CDM haijawahi katika wakati wowote ule kujihusisha na mambo ya kidini kama ambavyo CUF inafanya siasa misikitini. Kwa taarifa yako, si kila Muislam anapenda chuki kwa hiyo mnapopeleka siasa zenu za chuki misikitini zitapata tu watu wa kuzisema nje.

Msikiti wa Ubungo Darajani mwaka 1995 kuliwaka moto sababu ya CUF kupeleka siasa msikitini. Waasisi wa msikiti makada wa CCM, imamu ni pro-Liberal, kazi ikawa hapo.

CUF ina kila element ya udini na viongozi wake wanalisema hilo kila wanapoloose control ya midomo yao. Nikukumbushe kuwa Ismail Jusa alishatamka wazi hilo baada ya uchaguzi wa Uzini Zanzibar
 
Kuna watu wanataka kuharibu hoja hapa. Warudie kusoma vizuri.

1. Umamluki wa CUF kutumika kama...kuibeba CCM (kwa misingi ya udini, badala ya hoja au sera) kisha inaishia kutupwa. Huu ni umamluki wa kiwango cha juu. Ni usaliti kwa Watanzania.

2. Profesa Lipumba (je anawakilisha mawazo ya wengi ndani ya CUF?) kutumia udini kutaka kuligawa taifa ili yeye eti tena awe kiongozi wa watu wote ambao tayari amewagawa. Akili gani hii. Hata chekechea atadharau hili na kumdharau mtu mzima huyo.

3. Ibara yetu hiyo ya rasimu ya katiba inavyowabana hao wanaotaka kuligawa taifa.

Msitoke mapovu jamani au aliyosema Profesa ni ya kweli. Maana hoja zinawaishia sasa.
 
Kwenye safari za Wafalme na wajakazi wao nao wapo. Yeye hagombei, anaokoa tu jahazi la CCM

Dovutwa pamoja na kampeni za kilevi levi na kuonyesha umahili wa kucheza ndombolo majukwani, alikabidhi zake mapema ili kuokoa jahazi la arabuni?
 
Wenzangu wanabodi, hususan wale waliberali, turudini kwenye ile hoja nyingine, maana mntaka kutumia 'kombora' la uliberali kama exit ya zile tuhuma nyeti zinazowakabili CUF na hasa mwenyekiti wenu na mgombea urais wa maisha, Profesa Ibrahim Haruna Lipumba, kuwa;

1. Ni washirika wakubwa wa CCM kiasi mlijitoa mhanga, mkaligawanya taifa kwa misingi ya udini, ili CCM inusurike kuondoka madarakani iendelee kutawala.

2. Profesa Lipumba ni kati ya viongozi wa siasa wanaopaswa kuogopwa kama ukoma hapa nchini kutokana na kuwa na malengo ya kuwagawa Watanzania (wanaopendana kama ndugu) katika misingi ya imani za dini, hasa uislamu na ukristo. Inaonekana hata hatambui haki za watu wenye imani za dini zingine tofauti na hizo mbili na wapagani.

Ni mtu hatari sana huyu!

Lakini katika hali inayoonesha au kudhihirisha kumkoma nyani gidari...Tume ya Katiba Mpya, kupitia rasimu yake ya juzi, imepigilia msumari, hasa katika ibara ya 75(h)...

Ibara hiyo inayozungumzia sifa za mtu kuwa rais inasema;

Mtu atakuwa na sifa ya kuchaguliwa kushika nafasi ya kushika madaraka ya Rais wa Jamhuri ya Muungano, ikiwa;

(h) Sera ZAKE au sera za CHAMA CHAKE, si za mrengo wa kuligawa taifa kwa misingi ya ukabila, udini, rangi au jinsia.


Wandugu wangu, hapo kwenye herufi kubwa msisitizo ni wa kwangu. Lakini hapa CUF ambao siku za hivi karibuni wameskikika wakililia 'utamu' wa kuwa mojawapo ya vyama vya upinzani, wakati keki yao walishaila baada ya kuamua kuungana na CCM kisirisiri kwenye uchaguzi mkuu kama alivyotoboa Profesa Lipumba kwenye ule mkanda wake wa udini na wakaungana na CCM kwanza sirini, kisha hadharani huko Zanzibar, hawachomoki.

Hadi tunavyozungumza hapa, si CUF wala Profesa Lipumba waliotoa hoja za maana juu ya ule mkanda wa video unaomuonesha Prof mzima akifanya kazi ambayo hata mtoto wa chekechea, akisimuliwa atasema 'hakuna maana ya kwenda shule, kama elimu haijamsaidia hata huyu profesa...kuwagawa watu...kwa udini'.

Atashindwa nini kutugawa kwa ushia, sunni, ukabila, kisha maeneo!

Tunashukuru watu wa tume, katika eneo hili, hakuna Mtanzania mpenda nchi yake, atapingana nanyi hapo. Ingawa kunasikika minong'oni kuwa Profesa na watu wake watakataa, maana ndiyo uchochoro wanaotaka tena kuutumia kuibakisha CCM madarakani, maana wao kama wao, hawawezi kushinda. Wanajua.

Watanzania wote, bila kujali tofauti zetu zingine tuiunge mkono hii ibara hasa hicho kipengele.

Wote wataanguka anguko moja, maana wako pamoja.

Kwenye red humo.
Ukianzia neno la kwanza,inaonyesha ni jinsi gani ata wewe ulivyomdini na moja kwa moja sipati tabu kuijua dini yako.

Huko kwingine binafsi sijaona chama chochote cha upinzani tanzania chenye mlengo tofauti na unachokiongea.

Labda 'TLP'PONA,UDP'
 
mkia upi lakini.

Namaanisha jeuri yako kwa Professor. Hao wanao piga propaganda hiyo wanajua hawawezi ingia ikulu bila kura za Abdallah na khadija, kwahiyo wako hapa kuomba msamaha kwa Müslim kitu kisicho wezekana. Mumejipanga kwa muda mrefu mukatuletea mgombea Urais ambaye ni Padre, kwahiyo nasisi (kama mulivyo elewa) wacha tujipange, nabila kificho mtu pekee ni Professor Ibrahim Harun Lipumba.
 
Kitoabu

Hoja iliyopo ni hawa jamaa au huyo jamaa kuwa hatari kwa kueneza udini, badala ya siasa. Tena kwa kuibeba CCM na mkuu wao anakiri kabisa kuwa wao na CCM ni damu damu. Maana yake hapo ni kwamba wako kinyume na Watanzania. Nani Mtanzania makini anataka chama mamluki kinachotumiwa na CCM kuendeleza mambo yale yale. Labda wewe! Watanzania makini wanataka upinzani makini ili CCM iondoke madarakani.

Vyama vyote vikifanya siasa safi vitapata mashabiki, wafuasi na wanachama kila mahali. Au unataka kuibua lingine tena la ukabila na ukanda, baada ya kuona hili la udini, limesanuka. Waislamu wajanja na makini wamelikataa.

Naona nawe unazo fikra kama za Profesa, vipi wamoja nini au ndiyo yale mambo ya "Wastara hazumbuki, wa mbili havai moja".

Jamani tunashukuru rasimu ya katiba katika kipengele hicho imetuokoa taifa zima...maana ule mkanda ni hatari

Mods mnaweza kutusaidia kuuweka tena hapa...hatari ile du!
Me, naona unapiga tantalila tu, ila unajua kua alicho kifanya Professor sio makosa na sio wakwanza kufanya hivyo kwa hawa wanasiasa wetu, sasa kama wewe ungekua mkereketwa wa hayo basi ungeanza na Edward Lowasa, kilasiku anashinda makanisani akifanya harambe. Harambe ambazo zinaambatana na kuomba uungwaji mkono ktk harakati zake za Urais, chaajabu nakuona unaenda lase na Professor na kuanza kumdhi, kwatarifa yako Professor kajaa nyoyoni mwetu sisi tulie kosa haki sawa, kwahiyo propaganda zenu haziwezi kumchafua.
 
Hivi JF hatuwezi kuunda tume ya kuchunguza kwa nini prof. Lipumba hajaoa?
 
mkuu, hiyo katiba mpya ni mwiba kwa watu wengi sana hasa CUF na CHADEMA kwani vyote vina mwelekeo wa kidini. mbaya zaidi kwa chadema ni kuwa sera yao ya majimbo ambayo waliwadanganya watanzania kuwa ni kuharakisha maendeleo, imebainika kuwa itachochea uasi, itawagawa watu kwa misingi ya dini na ukabila. tume imekataa kata kata na kwa hali hiyo, chadema inabidi wajitathmini upya

Vipi ile sera CCM ambao wako pamoja na CUF, ile ya kugawanya wilaya kwa makabila ni nzuri eeeeh! Ndiyo maana mko pamoja, eti Wilaya ya Iramba (Wanyiramba), Wilaya ya Ukerewe (Wakerewe) Wilaya ya....malizia ziko kibao tu. Mnawagawa watu kwa makabila yao.

Sasa sera ya hao jamaa wa chadema unaowaponda mfano, Kanda yao ya Kaskazini inajumuisha mikoa ya Manyara, Tanga, Kilimanjaro na Arusha, hebu tuambie yote hiyo ni kabila na dini moja.

Usiwe mfuasi tu wa profesa kuibeba CCM kwenye uchaguzi kwa misingi ya dini. Yaani watu wanatumia dini kuabudu, kwenda peponi, ninyi kwa fikra za akina Profesa Lipumba mnaitumia kuibeba CCM.

Aisee kizazi hiki na vijavyo vitawalaani. Hata Mwenyezi Mungu hawezi kukubali.

Sera ya majimbo Watanganyika wenyewe wataamua. Mbona mnakuwa wasahaulifu sana.

Utawala wa majimbo hapa nchini si mgeni. Hivi umesahau hata 'madaraka mikoani'. Au ni kwamba umelipwa ile buku saba fasta fasta hukutaka hata kujua utakuja kuzungumza nini hasa hapa. Watakudai, ohoooo!
 
Me, naona unapiga tantalila tu, ila unajua kua alicho kifanya Professor sio makosa na sio wakwanza kufanya hivyo kwa hawa wanasiasa wetu, sasa kama wewe ungekua mkereketwa wa hayo basi ungeanza na Edward Lowasa, kilasiku anashinda makanisani akifanya harambe. Harambe ambazo zinaambatana na kuomba uungwaji mkono ktk harakati zake za Urais, chaajabu nakuona unaenda lase na Professor na kuanza kumdhi, kwatarifa yako Professor kajaa nyoyoni mwetu sisi tulie kosa haki sawa, kwahiyo propaganda zenu haziwezi kumchafua.

Alas. Kumbe Profesa na Mamvi yule aliyejiuzulu lao ni moja eeeh! Kwa hiyo kumbe umeamua kumlinganisha profesa na mamvi, kwa hiyo mamvi akifanya hivi, profesa naye atafanya hivyo hivyo. Haya sasa iga ufe. Mwenzenu ndiyo kwisha habari yake.

Hebu tusaidie pia ya huyo mamvi naye tumchane chane hapa. Lakini hata hivyo wote ni wamoja, CCM A na CCM B, wapi tofauti bhana.

Hiyo iko dugu moja. Iko juana bhana.

Ndiyo maana nilisema mwanzo madam ni wamoja, watapigwa na kuanguliwa kwa pigo moja hilo hilo.

Maana Profesa Lipumba aliposaidia CCM maana yake alisaidia mafisadi kama Mamvi leo hii kuendelea kutamba uraiani, wakati alipaswa kuwa 'behind bars'. Aisee profesa alisaidia ufisadi na mafisadi kuendelea kutamba, jamani jamani jamani, chonde chonde, msinitie machungu zaidi mie mwenzenu!

Lakini mwakumbuka ile issue ya Profesa Lipumba na yule kijana wa Maalim Seif na mkutano wao na yule fisadi aliyekimbia siasa uchwara CCM. Walikuwa wakizungumza nini vile pale hotelini...au umamluki na uwakala ulianxa siku nyingi. Du!
 
mkuu, katiba mpya haitoi mwanya kwa watu kama akina slaa kugombea. Mtahangaika sana lakini hamtaweza

Vipi uwakala na umamluki wa CUF na Profesa kwa CCM, mtaacha lini. Tunamtaka mwenyewe aje hapa atuambie hiyo biashara yao itakwisha lini, maana inatesa taifa hili kuendelea kuibakiza CCM madarakani.
 
Lipumba na Seif lazima tuwaogope kama tunavyoogopa CCM. Wapo tayari kwa lolote, ili wao na familia zao waishi maisha mazuri.
 
Vipi uwakala na umamluki wa CUF na Profesa kwa CCM, mtaacha lini. Tunamtaka mwenyewe aje hapa atuambie hiyo biashara yao itakwisha lini, maana inatesa taifa hili kuendelea kuibakiza CCM madarakani.

hata dr slaa, marando na wengine kibao ni mamluki wa ccm. ndo maana dr slaa hajakana kumiliki na kuilipia kadi ya ccm
 
hata dr slaa, marando na wengine kibao ni mamluki wa ccm. ndo maana dr slaa hajakana kumiliki na kuilipia kadi ya ccm

Vipi hebu tudondoshee kaushahidi ka video mwanangu akikiri naye alimbeba Kikwete na CCM baada ya jahazi kuelekea kuzama kama tulivyomuona Lipumba akikiri na kama tulivyoona ndoa ya mkeka kule visiwani.

Hivi Lipumba aliposema jahazi lilikuwa linaelekea kuzama na CCM na Kikwete wangeshindwa si alikuwa anamaanisha kushindwa na Dkt. Slaa na CHADEMA!

Sasa mbona unapingana na profesa majalala anayetumika na CCM bhana, acha hizo bhana, usiende kinyume na mafunzo ya profesa, kutumika na CCM.
 
Vipi hebu tudondoshee kaushahidi ka video mwanangu akikiri naye alimbeba Kikwete na CCM baada ya jahazi kuelekea kuzama kama tulivyomuona Lipumba akikiri na kama tulivyoona ndoa ya mkeka kule visiwani.

Hivi Lipumba aliposema jahazi lilikuwa linaelekea kuzama na CCM na Kikwete wangeshindwa si alikuwa anamaanisha kushindwa na Dkt. Slaa na CHADEMA!

Sasa mbona unapingana na profesa majalala anayetumika na CCM bhana, acha hizo bhana, usiende kinyume na mafunzo ya profesa, kutumika na CCM.

anajishaua tu lipumba. ccm ilisimama kwa miguu yake wala haikuhitaji mbeleko za mtu yeyote. zile ni siasa za maji taka ili waislam wamwonee huruma. kwanza hata elimu ya dini ya kiislam haijui
 
Back
Top Bottom