KATIBA Mpya haitamruhusu Profesa Ibrahim Haruna Lipumba kugombea urais, CUF mwafa

KATIBA Mpya haitamruhusu Profesa Ibrahim Haruna Lipumba kugombea urais, CUF mwafa

Mi naona nyinyi muna visa na lipumba nani asiyemjua kuwa ni bingwa wa uchui duniani,na hakuna asiyejua kuwa hana sifa zote ambazo kiongozi mwadilifu,bila shaka nyinyi ni WAKIRISTO WENYE NIA MBAYA NA NCHI HII
 
Wenzangu wanabodi, hususan wale waliberali, turudini kwenye ile hoja nyingine, maana mntaka kutumia 'kombora' la uliberali kama exit ya zile tuhuma nyeti zinazowakabili CUF na hasa mwenyekiti wenu na mgombea urais wa maisha, Profesa Ibrahim Haruna Lipumba, kuwa;

1. Ni washirika wakubwa wa CCM kiasi mlijitoa mhanga, mkaligawanya taifa kwa misingi ya udini, ili CCM inusurike kuondoka madarakani iendelee kutawala.

2. Profesa Lipumba ni kati ya viongozi wa siasa wanaopaswa kuogopwa kama ukoma hapa nchini kutokana na kuwa na malengo ya kuwagawa Watanzania (wanaopendana kama ndugu) katika misingi ya imani za dini, hasa uislamu na ukristo. Inaonekana hata hatambui haki za watu wenye imani za dini zingine tofauti na hizo mbili na wapagani.

Ni mtu hatari sana huyu!

Lakini katika hali inayoonesha au kudhihirisha kumkoma nyani gidari...Tume ya Katiba Mpya, kupitia rasimu yake ya juzi, imepigilia msumari, hasa katika ibara ya 75(h)...

Ibara hiyo inayozungumzia sifa za mtu kuwa rais inasema;

Mtu atakuwa na sifa ya kuchaguliwa kushika nafasi ya kushika madaraka ya Rais wa Jamhuri ya Muungano, ikiwa;

( h) Sera ZAKE au sera za CHAMA CHAKE, si za mrengo wa kuligawa taifa kwa misingi ya ukabila, udini, rangi au jinsia.


Wandugu wangu, hapo kwenye herufi kubwa msisitizo ni wa kwangu. Lakini hapa CUF ambao siku za hivi karibuni wameskikika wakililia 'utamu' wa kuwa mojawapo ya vyama vya upinzani, wakati keki yao walishaila baada ya kuamua kuungana na CCM kisirisiri kwenye uchaguzi mkuu kama alivyotoboa Profesa Lipumba kwenye ule mkanda wake wa udini na wakaungana na CCM kwanza sirini, kisha hadharani huko Zanzibar, hawachomoki.

Hadi tunavyozungumza hapa, si CUF wala Profesa Lipumba waliotoa hoja za maana juu ya ule mkanda wa video unaomuonesha Prof mzima akifanya kazi ambayo hata mtoto wa chekechea, akisimuliwa atasema 'hakuna maana ya kwenda shule, kama elimu haijamsaidia hata huyu profesa...kuwagawa watu...kwa udini'.

Atashindwa nini kutugawa kwa ushia, sunni, ukabila, kisha maeneo!

Tunashukuru watu wa tume, katika eneo hili, hakuna Mtanzania mpenda nchi yake, atapingana nanyi hapo. Ingawa kunasikika minong'oni kuwa Profesa na watu wake watakataa, maana ndiyo uchochoro wanaotaka tena kuutumia kuibakisha CCM madarakani, maana wao kama wao, hawawezi kushinda. Wanajua.

Watanzania wote, bila kujali tofauti zetu zingine tuiunge mkono hii ibara hasa hicho kipengele.

Wote wataanguka anguko moja, maana wako pamoja.
hapo kwenye underlined chadema wamekwama kwani
ukabila ndio jadi yao...wao ni wakaskazini na moshi zaidi , kwao uchaga ndio sera .udini ndio sera yao pia inajulikna na kila mtanzania .rangi pia inajulikana wazi wana chuki mbaya na watanzania wenye asili ya asia na kiarabu.kuhusu jinsia tunajua namna walivomdhalilisha mkuu wa wilaya kule geita mama wa watu mpaka walimvua hijabu ya kujisitiri.
 
Wapo wa kumpa kura, ndiyo maana wana hamu sana wajue wapo wangapi nchini, hawa jamaa hawapo organized kabisa hivi wanashindwa vipi kujijua wapo wangapi?

'Via Mobile'

kweli mkuu sisi wakristo tupo wangapi?
:shock:
 
huyu jamaa waga simuelewi kabisa
kaanza kugombea me nikiwa cna
vigezo vya kupiga kura. nimepiga kura
hadi nimechoka bado yupo tu.
 
Ha! Ha! Ha! Ha! Wewe chief Isike subiri aje Mzee wa BICHIKOMA , Hayati SADDAM HUSSEIN !
 
JK ndio raisi wa kwanza wa Tanzania kuingia ikulu kwa misingi ya udini

Kuanza malumbano kuiingiza CDM kwenye swala la udini naona ni mkakati huo huo endeleveu

Huwezi kulinganisha CDM na upuuuuuuuuuuuuuuzi wa udini uliopo CUF. Wakati CDM wanapiga kampeni nchi nzima kwa kila mtu, hawa jamaa wanazunguka kwenye misikiti.
Sikuwahi kuona CDM wanazunguka makanisani kuomba kura, kwahiyo unapowaingiza kwenye mambo ya udini ni progaganda tu zisizoniingia akilini
 
lipumba has disappointed me alot,maji yashamwagika,siasa kwake imeshaingia doa,aende u-dom akashike chaki...period.

Kaka uwe na adabu. Labda aje kufundisha nyumbani kwako. Watoto wetu hatutaki wapandikizwe chuki kubwa namna ile. "kimjazacho mtu moyoni ndio kimtokacho"
 
hapo kwenye underlined chadema wamekwama kwani
ukabila ndio jadi yao...wao ni wakaskazini na moshi zaidi , kwao uchaga ndio sera .udini ndio sera yao pia inajulikna na kila mtanzania .rangi pia inajulikana wazi wana chuki mbaya na watanzania wenye asili ya asia na kiarabu.kuhusu jinsia tunajua namna walivomdhalilisha mkuu wa wilaya kule geita mama wa watu mpaka walimvua hijabu ya kujisitiri.

Ujinga ni mzigo wa mwenye nao. Prof. Lipumba kabambwa live msikitini akihubiri chuki dhidi ya dini nyingine na video iliwekwa hapa, sasa na wewe kama mwanamke kweli weka hapa ushahidi wa haya unayoyasema kuhusu CDM
 
CHADEMA mnajidanganya mnajaziba hamuwezi kuongoza nchi kwa ukanda na udini uliowatawala ....tanzania bara hakuna cha cha upizani kitakacho weza kuchukua nchi peke yake....
1..CUF kinaambiwa cha kislamu maeneo ya wakristo wengi kimekataliwa
2..CHADEMA kinaambiwa cha kikristo maeneo ya waislamu kimekataliwa hasa znz watu hawajui hata chedema ni kitu gani.
CCM Wamefanya kazi hiyo kusudi kudhofisha upizani TZ na hata wapizani wenyewe wameliamini hilo ni kazi ya kijasusi ya ccm.

ninaamini CHADEMA waweza pata nafasi nzuri hata kuongoza kwa wingi wa kura ktk uchaguzi tz 2015 LKN NI VIGUMU KUPATA 50% PEKE YAO KTK MAZINGIRA HAYA ...ikiwa rasmu itakubaliwa raudi ya pili lazima wapate mweza kushinda awe CUF AU CCM .... CHADEMA inabidi iwe na tahadhari kubwa katika siasa zake kuelekea cuf kwani inaweza kuwa na turufu ya kuamua nani anakuwa rais 2015 kwa rasmu hii ikipita......WAKATI UTATHIBITISHA HAYA NIYASEMAYO lazima watengeneze njia yao kuelekea ikulu ...vyenginevyo tutashuhudia senerio ya zanzibar ikijirudia bara CUF +CCM RULING BOTH SIDE OF TZ na chadema itakuwa chama cha upizani kwa muda mrefu ujao lkn si mbaya wataleta changamoto.....
MAY I BE WRONG BUT ALWAYS CLEAR
 
Mtoa mada amechanganyikiwa. Sababu za tume kukataa majimbo ndizo zinazomtesa. sasa wanatapatapa. 50+ nayo ni mwiba mkali kwani hata mkipiga porojo nchi haiangukii kwa wacheza disko na waasherati. Laana gani hiyo??
 
JK ndio raisi wa kwanza wa Tanzania kuingia ikulu kwa misingi ya udini

Kuanza malumbano kuiingiza CDM kwenye swala la udini naona ni mkakati huo huo endeleveu

Huwezi kulinganisha CDM na upuuuuuuuuuuuuuuzi wa udini uliopo CUF. Wakati CDM wanapiga kampeni nchi nzima kwa kila mtu, hawa jamaa wanazunguka kwenye misikiti.
Sikuwahi kuona CDM wanazunguka makanisani kuomba kura, kwahiyo unapowaingiza kwenye mambo ya udini ni progaganda tu zisizoniingia akilini


Rejea waraka wa kanisa kwa waumini. Usiwe mjinga peke yako chumbani.
 
Kumtetea Profesa Lipumba inakubidi ULIBELARI UKIINGIE MPAKA USOGONI......NA UWE UNAPENDA USHETANI HUO
Aibu tupu kwa chama cha CUF kumbeba mdini mkubwa wakiendelea ntaamini kuwa nao ni wadini na msajili Tendwa inabidi achukue hatua dhidi ya hawa waliberali mpaka LIPUMBA atoke ndani ya uongozi wa chama
 
lipumba has disappointed me alot,maji yashamwagika,siasa kwake imeshaingia doa,aende u-dom akashike chaki...period.
Hata huko UDOM atakuwa balaa zaidi maana pale atakutana na wadini wenzake kama mkku wa chuo na kadhalika mabo wanaonguza chuo kwa udini na u CCM!
 
Back
Top Bottom