KATIBA Mpya haitamruhusu Profesa Ibrahim Haruna Lipumba kugombea urais, CUF mwafa

huna lolote CCM na CHadema wote ni wamoja wapo kwa ajili ya Mfumo kristo basi. Chadema ni backup ya CCM siku ikiwa haina tena maslahi na kanisa nchi atapewa Chadema hebu sema Tume ya uchaguzi ni wakristo watupu hapo vipi! usalama wa taifa ni wakristo watupu !! majaji ni wakristo watupu!! Jeshi ndio hakusemeki wakuu wa mikowa ni mkristo tu wakubwa ni kristo mtupu halafu tuletee porojo zako ni kanisa mpaka kufa au watanzania waamke kwenye usingizi mzito wa mfumo kristo
 

Illusions!

CDM ilisemwa na mume wenu CCM vibaya lkn sasa hao hao watu wa kusini wameikubali na ushahidi utaupata 2015. CDM haijawahi katika wakati wowote ule kujihusisha na mambo ya kidini kama ambavyo CUF inafanya siasa misikitini. Kwa taarifa yako, si kila Muislam anapenda chuki kwa hiyo mnapopeleka siasa zenu za chuki misikitini zitapata tu watu wa kuzisema nje.

Msikiti wa Ubungo Darajani mwaka 1995 kuliwaka moto sababu ya CUF kupeleka siasa msikitini. Waasisi wa msikiti makada wa CCM, imamu ni pro-Liberal, kazi ikawa hapo.

CUF ina kila element ya udini na viongozi wake wanalisema hilo kila wanapoloose control ya midomo yao. Nikukumbushe kuwa Ismail Jusa alishatamka wazi hilo baada ya uchaguzi wa Uzini Zanzibar
 
Kuna watu wanataka kuharibu hoja hapa. Warudie kusoma vizuri.

1. Umamluki wa CUF kutumika kama...kuibeba CCM (kwa misingi ya udini, badala ya hoja au sera) kisha inaishia kutupwa. Huu ni umamluki wa kiwango cha juu. Ni usaliti kwa Watanzania.

2. Profesa Lipumba (je anawakilisha mawazo ya wengi ndani ya CUF?) kutumia udini kutaka kuligawa taifa ili yeye eti tena awe kiongozi wa watu wote ambao tayari amewagawa. Akili gani hii. Hata chekechea atadharau hili na kumdharau mtu mzima huyo.

3. Ibara yetu hiyo ya rasimu ya katiba inavyowabana hao wanaotaka kuligawa taifa.

Msitoke mapovu jamani au aliyosema Profesa ni ya kweli. Maana hoja zinawaishia sasa.
 
Kwenye safari za Wafalme na wajakazi wao nao wapo. Yeye hagombei, anaokoa tu jahazi la CCM

Dovutwa pamoja na kampeni za kilevi levi na kuonyesha umahili wa kucheza ndombolo majukwani, alikabidhi zake mapema ili kuokoa jahazi la arabuni?
 

Kwenye red humo.
Ukianzia neno la kwanza,inaonyesha ni jinsi gani ata wewe ulivyomdini na moja kwa moja sipati tabu kuijua dini yako.

Huko kwingine binafsi sijaona chama chochote cha upinzani tanzania chenye mlengo tofauti na unachokiongea.

Labda 'TLP'PONA,UDP'
 
mkia upi lakini.

Namaanisha jeuri yako kwa Professor. Hao wanao piga propaganda hiyo wanajua hawawezi ingia ikulu bila kura za Abdallah na khadija, kwahiyo wako hapa kuomba msamaha kwa Müslim kitu kisicho wezekana. Mumejipanga kwa muda mrefu mukatuletea mgombea Urais ambaye ni Padre, kwahiyo nasisi (kama mulivyo elewa) wacha tujipange, nabila kificho mtu pekee ni Professor Ibrahim Harun Lipumba.
 
Me, naona unapiga tantalila tu, ila unajua kua alicho kifanya Professor sio makosa na sio wakwanza kufanya hivyo kwa hawa wanasiasa wetu, sasa kama wewe ungekua mkereketwa wa hayo basi ungeanza na Edward Lowasa, kilasiku anashinda makanisani akifanya harambe. Harambe ambazo zinaambatana na kuomba uungwaji mkono ktk harakati zake za Urais, chaajabu nakuona unaenda lase na Professor na kuanza kumdhi, kwatarifa yako Professor kajaa nyoyoni mwetu sisi tulie kosa haki sawa, kwahiyo propaganda zenu haziwezi kumchafua.
 
Hivi JF hatuwezi kuunda tume ya kuchunguza kwa nini prof. Lipumba hajaoa?
 

Vipi ile sera CCM ambao wako pamoja na CUF, ile ya kugawanya wilaya kwa makabila ni nzuri eeeeh! Ndiyo maana mko pamoja, eti Wilaya ya Iramba (Wanyiramba), Wilaya ya Ukerewe (Wakerewe) Wilaya ya....malizia ziko kibao tu. Mnawagawa watu kwa makabila yao.

Sasa sera ya hao jamaa wa chadema unaowaponda mfano, Kanda yao ya Kaskazini inajumuisha mikoa ya Manyara, Tanga, Kilimanjaro na Arusha, hebu tuambie yote hiyo ni kabila na dini moja.

Usiwe mfuasi tu wa profesa kuibeba CCM kwenye uchaguzi kwa misingi ya dini. Yaani watu wanatumia dini kuabudu, kwenda peponi, ninyi kwa fikra za akina Profesa Lipumba mnaitumia kuibeba CCM.

Aisee kizazi hiki na vijavyo vitawalaani. Hata Mwenyezi Mungu hawezi kukubali.

Sera ya majimbo Watanganyika wenyewe wataamua. Mbona mnakuwa wasahaulifu sana.

Utawala wa majimbo hapa nchini si mgeni. Hivi umesahau hata 'madaraka mikoani'. Au ni kwamba umelipwa ile buku saba fasta fasta hukutaka hata kujua utakuja kuzungumza nini hasa hapa. Watakudai, ohoooo!
 

Alas. Kumbe Profesa na Mamvi yule aliyejiuzulu lao ni moja eeeh! Kwa hiyo kumbe umeamua kumlinganisha profesa na mamvi, kwa hiyo mamvi akifanya hivi, profesa naye atafanya hivyo hivyo. Haya sasa iga ufe. Mwenzenu ndiyo kwisha habari yake.

Hebu tusaidie pia ya huyo mamvi naye tumchane chane hapa. Lakini hata hivyo wote ni wamoja, CCM A na CCM B, wapi tofauti bhana.

Hiyo iko dugu moja. Iko juana bhana.

Ndiyo maana nilisema mwanzo madam ni wamoja, watapigwa na kuanguliwa kwa pigo moja hilo hilo.

Maana Profesa Lipumba aliposaidia CCM maana yake alisaidia mafisadi kama Mamvi leo hii kuendelea kutamba uraiani, wakati alipaswa kuwa 'behind bars'. Aisee profesa alisaidia ufisadi na mafisadi kuendelea kutamba, jamani jamani jamani, chonde chonde, msinitie machungu zaidi mie mwenzenu!

Lakini mwakumbuka ile issue ya Profesa Lipumba na yule kijana wa Maalim Seif na mkutano wao na yule fisadi aliyekimbia siasa uchwara CCM. Walikuwa wakizungumza nini vile pale hotelini...au umamluki na uwakala ulianxa siku nyingi. Du!
 
mkuu, katiba mpya haitoi mwanya kwa watu kama akina slaa kugombea. Mtahangaika sana lakini hamtaweza

Vipi uwakala na umamluki wa CUF na Profesa kwa CCM, mtaacha lini. Tunamtaka mwenyewe aje hapa atuambie hiyo biashara yao itakwisha lini, maana inatesa taifa hili kuendelea kuibakiza CCM madarakani.
 
Lipumba na Seif lazima tuwaogope kama tunavyoogopa CCM. Wapo tayari kwa lolote, ili wao na familia zao waishi maisha mazuri.
 
Vipi uwakala na umamluki wa CUF na Profesa kwa CCM, mtaacha lini. Tunamtaka mwenyewe aje hapa atuambie hiyo biashara yao itakwisha lini, maana inatesa taifa hili kuendelea kuibakiza CCM madarakani.

hata dr slaa, marando na wengine kibao ni mamluki wa ccm. ndo maana dr slaa hajakana kumiliki na kuilipia kadi ya ccm
 
hata dr slaa, marando na wengine kibao ni mamluki wa ccm. ndo maana dr slaa hajakana kumiliki na kuilipia kadi ya ccm

Vipi hebu tudondoshee kaushahidi ka video mwanangu akikiri naye alimbeba Kikwete na CCM baada ya jahazi kuelekea kuzama kama tulivyomuona Lipumba akikiri na kama tulivyoona ndoa ya mkeka kule visiwani.

Hivi Lipumba aliposema jahazi lilikuwa linaelekea kuzama na CCM na Kikwete wangeshindwa si alikuwa anamaanisha kushindwa na Dkt. Slaa na CHADEMA!

Sasa mbona unapingana na profesa majalala anayetumika na CCM bhana, acha hizo bhana, usiende kinyume na mafunzo ya profesa, kutumika na CCM.
 

anajishaua tu lipumba. ccm ilisimama kwa miguu yake wala haikuhitaji mbeleko za mtu yeyote. zile ni siasa za maji taka ili waislam wamwonee huruma. kwanza hata elimu ya dini ya kiislam haijui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…