Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Maandamano na kila mikakati ya kudai katiba mpya ifanyike. Maana hawa watu wamepanga kutuibia kwa kila namna.
Hii nchi ni yetu sote wala sio ya kundi la wachache wanaojifanya wajuaji na kuwa wao familia zao na watoto wao ndio wanajua maisha bora.
Tupate katiba mpya ambayo itamfuta kazi rais kwa urahisi kabisa kama akiruhusu ufisadi.
Katiba ambayo itawapa wananchi mamlaka ya kutawala maana mamlaka yapo kwa wananchi.
Rais asiyefaaa na kukumbatia ufisadi afutwe kazi.
Hii nchi ni yetu sote wala sio ya kundi la wachache wanaojifanya wajuaji na kuwa wao familia zao na watoto wao ndio wanajua maisha bora.
Tupate katiba mpya ambayo itamfuta kazi rais kwa urahisi kabisa kama akiruhusu ufisadi.
Katiba ambayo itawapa wananchi mamlaka ya kutawala maana mamlaka yapo kwa wananchi.
Rais asiyefaaa na kukumbatia ufisadi afutwe kazi.