Katiba Mpya: Kakobe aungana na Wapinzani Jangwani

Katiba Mpya: Kakobe aungana na Wapinzani Jangwani

Kakende

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2012
Posts
2,741
Reaction score
1,232
Katika hali ambayo sikutarajia nimemsikia Lipumkba akitamka Peopleees, neno linalotumiwa na CHADEMA. It is a good progress
Askofu Zachary Kakobe atokea Jangwani kuungana na watanzania wengine kutuma ujumbe kwa Rais Kikwete asisaini Muswada wa Katiba Mpya. Ametambulishwa na Prof.Lipumba. Ameshangiliwa. Moto moto moto moto

Mzee Tupatupa (leo Jangwani)
Kakobe : Katibaaaaaaaaaaaaaaaaa......................Wananchi:mali ya wananchi! Anaeleza kuwa mkutano huu si mkutano wa wapinzani;ni mkutano wa watanzania wapenda amani.Wananchi wajiepushe na siasa nyepesi;mabadiliko ya Katiba yanabadilisha mambo
Katika hali isiyotarajiwa, askofu Kakobe ametia timu kwenye mkutano wa wapinzani juu ya katiba mpya. Akiwa anaingia ilibidi Lipumba asitishe hotuba ghafla akisubiri raia wamalize kushangilia. CCM kwisha
 
Askofu Zachary Kakobe atokea Jangwani kuungana na watanzania wengine kutuma ujumbe kwa Rais Kikwete asisaini Muswada wa Katiba Mpya. Ametambulishwa na Prof.Lipumba.Ameshangiliwa. Moto moto moto moto

Mzee Tupatupa (leo Jangwani)
 
ccm kwisha moto umeshaenda kuwaangamiza
 
Naona bendera ya NCCR-Mageuzi inafanana na ya Tanganyika kasoro rangi tu.
 
Usiwe na haraka ya kupost mkuu; kula kwanza elimu ya uraia then badae utatema cheche zako
 
CCM walipinga wazo la katiba mpya, baada ya Peoples Power, walikubali. Leo hii wanachakachua, Lazima Peoples power itumike kupata katiba ya Tanganyika.
 
hiyo nimeipenda kazi sasa kwa nape nnauye sijui atasema nini
 
Kakobe : Katibaaaaaaaaaaaaaaaaa......................Wananchi:mali ya wananchi! Anaeleza kuwa mkutano huu si mkutano wa wapinzani;ni mkutano wa watanzania wapenda amani.Wananchi wajiepushe na siasa nyepesi;mabadiliko ya Katiba yanabadilisha mambo
 
Kakobe: Nimepatwa na wasiwasi juu ya Muswada kupitishwa kibabe. Hatuna uhakika kama CCM inaamini dini au haiamini. Makundi ya kijamii lazima yawepo
 
Kakobe anapigilia msumari kuwa swala la katiba mpya halikuwa la ccm..............................sasa anasema huu ni mtihani mwingine kwa JK........anadai Kikwete akisaini mswada huu ameshidwa mtihani.
 
Back
Top Bottom