Habari zenu wana jukwaa letu pendwa JF.
Nimejiuliza swali hili bila kupata jibu la kuridhisha fikra zangu na hivyo ninadhani ni busara kushirikisha wana jukwaa.
Madai ya Katiba Mpya ni nani hasa mhusika wake?Je,ni wananchi,vyama vya siasa au?
Nauliza kwa kuwa sasa ni dhahiri kuwa wanaodai katiba mpya ni wapinzani wa CCM wakiongozwa na CHADEMA na wanaopinga upatikanaji wa katiba mpya ni wana CCM na watu waliopo Serikalini.
Tujiulize, kwanini kila anayedai katiba mpya anahusishwa na wapinzani wa CCM na wanaopinga upatikanaji wake wanakuwa na ukaribu ama wanachama wa CCM?
Je, CCM wanaamini kuwa katiba tuliyonayo ni bora kwa Watanzania? Katiba ya 1977 inaleta ugali mezani kwa wasiokuwa wanccm?
Nimesikia CCM wakishabikia kuwa eti Mh. Mbowe hakuongelea suala la Katiba Mpya alipohutubia kongamano la BAWACHA kule Iringa juzi,hiyo imewapa nafuu CCM au Serikali isiyohitaji katiba mpya kwa kiwango gani?Je,Katiba Mpya ni kwa ajili ya CHADEMA?
Tujadili.
Nimejiuliza swali hili bila kupata jibu la kuridhisha fikra zangu na hivyo ninadhani ni busara kushirikisha wana jukwaa.
Madai ya Katiba Mpya ni nani hasa mhusika wake?Je,ni wananchi,vyama vya siasa au?
Nauliza kwa kuwa sasa ni dhahiri kuwa wanaodai katiba mpya ni wapinzani wa CCM wakiongozwa na CHADEMA na wanaopinga upatikanaji wa katiba mpya ni wana CCM na watu waliopo Serikalini.
Tujiulize, kwanini kila anayedai katiba mpya anahusishwa na wapinzani wa CCM na wanaopinga upatikanaji wake wanakuwa na ukaribu ama wanachama wa CCM?
Je, CCM wanaamini kuwa katiba tuliyonayo ni bora kwa Watanzania? Katiba ya 1977 inaleta ugali mezani kwa wasiokuwa wanccm?
Nimesikia CCM wakishabikia kuwa eti Mh. Mbowe hakuongelea suala la Katiba Mpya alipohutubia kongamano la BAWACHA kule Iringa juzi,hiyo imewapa nafuu CCM au Serikali isiyohitaji katiba mpya kwa kiwango gani?Je,Katiba Mpya ni kwa ajili ya CHADEMA?
Tujadili.