safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,837
- 17,412
Kwa hiyo kama hhawapati maendeleo unadhani sababu ni katiba ?Sawa, wanataka maendeleo, je wanayapata? Fuatilia ya Ngorongoro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo kama hhawapati maendeleo unadhani sababu ni katiba ?Sawa, wanataka maendeleo, je wanayapata? Fuatilia ya Ngorongoro
Unadhirisha kuwa wewe kichwa chako hakina hata chembe ya hekima,unaashiria...
Hata kama zipo ni wazi kuwa watu wake watakuwa na changamoto zao.Kama nchi za namna hiyo zipo hadi sasa, basi wana bahati ya kuwa na maraisi kama Nyerere; siku wakipata marais tofauti na wa aina ya Nyerere, wataumia sana.
Muulize Katiba Mpya inazuiaje maendeleo?Tusikubali upotoshaji.Sawa, wanataka maendeleo, je wanayapata? Fuatilia ya Ngorongoro