Uwepo wa mustakabala mpya wa mahusiano baina watu na watu pia watu na serikali hauwezi kudunishwa.
Ni muhimu kuzipitia sekta mbalimbali katika kuamshana kwenye harakati hizi takatifu.
Tuanze hapa na Sekta ya Usafirishaji:
Sekta hii ni katika sekta zilizonyanyasika vilivyo.
Ukitaka kunyanyaswa bila sababu nunua au endesha gari na hasa likiwa la biashara (abiria au lorry).
Dereva wa gari la abiria rushwa kwa polisi ni wajibu. Kila siku kuna jipya. Standard PGO hamna. Haya ya ajali ni janja ya nyani tu:
Ilikuwa ving'amuzi leo speed governor. Hakueleweki kushoto wala kulia.
Hii ni sekta binafsi lakini serikali imelazimisha mkono wake humo pasipokuwa na uhalali wowote.
Madereva hawa wanatakiwa kustaafu kwa lazima ya serikali wafikapo umri wa miaka 60.
Cha ajabu ni kuwa kwanini takwa la kustaafu kwa lazima haliko kwa wanasiasa au katika sekta zingine zozote binafsi?
Au ni mwendo wa kustaajabu ya Mussa tu?
Ni muhimu kuzipitia sekta mbalimbali katika kuamshana kwenye harakati hizi takatifu.
Tuanze hapa na Sekta ya Usafirishaji:
Sekta hii ni katika sekta zilizonyanyasika vilivyo.
Ukitaka kunyanyaswa bila sababu nunua au endesha gari na hasa likiwa la biashara (abiria au lorry).
Dereva wa gari la abiria rushwa kwa polisi ni wajibu. Kila siku kuna jipya. Standard PGO hamna. Haya ya ajali ni janja ya nyani tu:
Ilikuwa ving'amuzi leo speed governor. Hakueleweki kushoto wala kulia.
Hii ni sekta binafsi lakini serikali imelazimisha mkono wake humo pasipokuwa na uhalali wowote.
Madereva hawa wanatakiwa kustaafu kwa lazima ya serikali wafikapo umri wa miaka 60.
Cha ajabu ni kuwa kwanini takwa la kustaafu kwa lazima haliko kwa wanasiasa au katika sekta zingine zozote binafsi?
Au ni mwendo wa kustaajabu ya Mussa tu?