- Thread starter
- #21
Narudia tena, wanaufipa mumeshavuruga mchakatooo. Eti sasa ivimnajidanganya sector zote, mnachekesha kweliii. Sector ipi umeona kuna gaidi wao katiwa nguvuni?? Daini katiba ya kikundi chenu hukohuko, siokatiba ya wananchii
Magaidi? Unadhani wale mabeberu wanaofika mahakamani hawana cha kufanya na hili rojo?
Kenyatta kaalikwa White House, TanzaniaTunakwama wapi ?
Mtamshutumu sana dobi. Kaniki ni rangi yake.