Katiba mpya ilikwamishwa na wanasiasa.
Haiwezi kuletwa na wanasiasa.
Katiba mpya sio Mali ya CCM wala Wapinzani hasa Chadema.
Ili katiba mpya ipatikane ni Lazima Chadema wajivue koti kudai katiba mpya kwanza na CCM wajivue koti la katiba mpya sio kipao mbele chao.
Katiba mpya ibaki kuwa ni Mali ya wananchi kama lilivyo Jeshi la wananchi.
Kila mwananchi ameshaona udhifu wa katiba ya zamani iliyochakaa. Katiba iliyoundwa na watu waliokuwa na Tamaa ya kutawala kwenye nafasi walizoachiwa na Wakoloni maadui wa Afrika.
Wale wasomi waliokuwa wamejipenyeza katikati ya wapigania Uhuru wazalendo walikua ni waafrika waliokuwa wamelelewa na kukaa na Wakoloni na kutamani sana kuishi maisha ya anasa na ufahari na ubwana mkubwa kama walivyokuwa Wakoloni . Waliaminiwa na kukaribishwa na wapigania Uhuru waliokuwa wameumizwa na ukoloni, baada ya Uhuru wasomi wakavaa makoti yote ya Ukoloni mpaka Leo kwa kutumia sheria na Katiba ya Wakoloni iliyochangamka tu.
Hivyo kwa sasa watanzania wote ni vizuri tukawakataa wakoloni weusi na tamaa zao.
Wala rushwa Leo ndio wanaozuia katiba mpya kwa muavuli wa dola.
Wahujumu uchumi ndio wanaojificha chini ya mwavuli wa chama Tawala kuzuia katiba mpya ili waendelee kuwarithisha watoto wao rasilimali za nchi bila kuweka ushindani sawa.
Ndio maana hawataki chaguzi huru ili wasije wakatokea watoto wa wakulima wenye uwezo na fikra pevu kama akina Alfonsi Mawazo kule Geita. Wanatumia Katiba inayowapa nafasi ya kuwaua na kuwapoteza watoto wa wengine nje ya familia zao ili Keki isije ikawafikia wengine nje ya chama chao cha ulaji.
Tulishasema hiii katiba inayodaiwa na vikundi vyenye masilahi ya vyama vyao vya kisiasa itakuwa katiba ya hovyo kutokea duniani kote. Katiba yakweli italetwa na wanawanchi wasio na mlengo wa chama chochote cha kisiasa.
Tulishasema hiii katiba inayodaiwa na vikundi vyenye masilahi ya vyama vyao vya kisiasa itakuwa katiba ya hovyo kutokea duniani kote. Katiba yakweli italetwa na wanawanchi wasio na mlengo wa chama chochote cha kisiasa.
Katiba mpya ilikwamishwa na wanasiasa.
Haiwezi kuletwa na wanasiasa.
Katiba mpya sio Mali ya CCM wala Wapinzani hasa Chadema.
Ili katiba mpya ipatikane ni Lazima Chadema wajivue koti kudai katiba mpya kwanza na CCM wajivue koti la katiba mpya sio kipao mbele chao.
Katiba mpya ibaki kuwa ni Mali ya wananchi kama lilivyo Jeshi la wananchi.
Kila mwananchi ameshaona udhifu wa katiba ya zamani iliyochakaa. Katiba iliyoundwa na watu waliokuwa na Tamaa ya kutawala kwenye nafasi walizoachiwa na Wakoloni maadui wa Afrika.
Wale wasomi waliokuwa wamejipenyeza katikati ya wapigania Uhuru wazalendo walikua ni waafrika waliokuwa wamelelewa na kukaa na Wakoloni na kutamani sana kuishi maisha ya anasa na ufahari na ubwana mkubwa kama walivyokuwa Wakoloni . Waliaminiwa na kukaribishwa na wapigania Uhuru waliokuwa wameumizwa na ukoloni, baada ya Uhuru wasomi wakavaa makoti yote ya Ukoloni mpaka Leo kwa kutumia sheria na Katiba ya Wakoloni iliyochangamka tu.
Hivyo kwa sasa watanzania wote ni vizuri tukawakataa wakoloni weusi na tamaa zao.
Wala rushwa Leo ndio wanaozuia katiba mpya kwa muavuli wa dola.
Wahujumu uchumi ndio wanaojificha chini ya mwavuli wa chama Tawala kuzuia katiba mpya ili waendelee kuwarithisha watoto wao rasilimali za nchi bila kuweka ushindani sawa.
Ndio maana hawataki chaguzi huru ili wasije wakatokea watoto wa wakulima wenye uwezo na fikra pevu kama akina Alfonsi Mawazo kule Geita. Wanatumia Katiba inayowapa nafasi ya kuwaua na kuwapoteza watoto wa wengine nje ya familia zao ili Keki isije ikawafikia wengine nje ya chama chao cha ulaji.
Vyama vya siasa, wenye maslahi kisiasa, wanaokerwa na kukosekana usawa, wanaokereka na mihimili ya utawala kutokuwapo huru, nk, kila kundi na kero zake.
Uzi huu unaangazia sekta ya usafirishaji kama kiwakilishi kimoja kati ya mamia kwa maelfu ya makundi yanayoyoweza kujitambulisha kama sekta.
Hakuna popote katika uzi mzima palipolenga kundi moja rasmi kama wanasiasa. Hata hivyo kwa kuwatambua wanasiasa nao kama sekta wamejumuishwa ili kuweza kuwarejea, imetambuliwa sekta zote kuhitaji katiba mpya wakiwamo wao.
Kuinyanyapaa sekta yoyote kwa kumtumia mtu au kikundi fulani cha watu ili kuhalalisha hoja, huko ni kutafuta visingizio uchwara visivyoweza kuwa na mashiko.
Vyama vya siasa mtaaalikwa tuuu kama ikitokea. Lazima katiba ijengwe na wananchi wasio na mlengo wa kisiasa, ili wananchi wawe na uwezo wa kuvijadili vyama hivyo namna ya kuvimiliki. Katiba ni mama wa vyama vya siasa vyote na si vyama vya siasa kudai katiba ya wananchi.
Vyama vya siasa mtaaalikwa tuuu kama ikitokea. Lazima katiba ijengwe na wananchi wasio na mlengo wa kisiasa, ili wananchi wawe na uwezo wa kuvijadili vyama hivyo namna ya kuvimiliki. Katiba ni mama wa vyama vya siasa vyote na si vyama vya siasa kudai katiba ya wananchi.