Katiba Mpya ya nini kama hii tuliyonayo hatuiheshimu?

Kwani kipi kilichotangulia?

Kupigwa marufuku shughuli za kisiasa au hiyo kesi ya Shaibu?
Marufuku ya shughuli za kisiasa. Watu walitambua toka wakati ule kuwa hamna relief itapatikana kutoka Mahakama. Kesi ya Ado ikathibitisha kuwa wangeshitaki ingekuwa sawa na kutupa pesa chooni. Kumbuka wakati huo viongozi wengi wa Chadema walikuwa wameshitakiwa mahakamani. Nadhani wakafanya uamuzi kuweka resourses kwenye kujitetea badala ya kwenye futile kesi ya kikatiba.

Amandla...
 
Ndio hicho hicho, in a round about way. Nilitaka kukuonyesha futility ya kuishitaki serikali ya JMT na viongozi wake kwenye masuala ya kikatiba.

Amandla...
Hakuna futility katika kudai haki aisee!

Ultimately naamini haki hushinda.
 
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji817]
 
Very well said. Katiba iliyopo inajihalalishia kuvunjwa kwasababu no accountability.

Katiba mpya yenye kuipa mihili yote nguvu zake, ndiyo itakuwa bora. Ya sasahivi, rais ndo kila kitu. Hata yeye anaamuwa kuwa hakutakuwepo kwa uwajibishwaji kwa yeyote kwenye mihimili mingine. Mfano mwendazake alipoamuwa kuwa hata Ndugai hashitakiwi hata akivunja katiba. Mahakama zinafanya kazi na kutoa maamuzi kumfurahisha rais tu.
 
Tatizo kubwa ni uelewa wa wananchi kuhusu katiba na umuhimu wake.
Viongozi wengi huvunja katiba kwa faida yao na hakuna wa kuhoji au kuchukua hatua yoyote kuilinda.
Wakati mwingine baadhi ya wananchi wameshangilia uonevu na uvunjifu wa katiba waziwazi, na hili halikuwaacha nyuma viongozi wa dini ambao walitegemewa kuwa watetezi wa haki.
 
Kama huitaki kwanin unawajaza watu ujinga kuwa hata ikija haina faida? Tafsiri yake ni nin
Hujaelewa kabisa ulichokisoma!

Tafuta mtu akusomee na akueleweshe kilichoandikwa.
 
Katiba iliyopa sasa ina kwamisha hata hiyo katiba mpya kuwepo...
 
Ni sahihi kabisa kuwa tunapaswa kupata katiba mpya inayoendana na mazingira ya sasa lkn tusiishie tu ktk katiba ya taifa tunalazimika kubadili na katiba za vyama vyetu ziendane na nyakat,umungu mtu kwenye vyama vyetu umeshamiri mno kuanzia chama tawala mpaka wapinzan huwez pata nafasi yoyote ya uwakilish inayohusu udhamin wa chama mpaka usipingane na mwenyekit kimtazamo hili ni tatizo ambalo wengi wetu hatulizungumzii na wachache wanaothubutu kutoa mtazamo tofauti na mwenyekit lazima ufanyiwe kebehi tena na wale ambao mara zote wanajitanabaisha km wanademokrasia.
 
Katiba siyo nyumba!

Si ajabu ndo maana hujaelewa!!!!
Hoja yako ni kuwa kwa nini tunadai katiba mpya wakati iliyopo haiheshimiwi? Hii ni hoja mfu kwa sababu huenda katiba iliyopo haiheshimiwi kwa kuwa ni mbovu na imepitwa na wakati. Tunataka katiba inayoendana na wakati huu, inakubalika na inatekelezeka.
 
I totally agree. In my view, it's not because we're pathetic weaklings and cowards It's because we lack the instructions that hold leaders accountable and protect our freedom to question. Hence even putting issues on the table in risky business, depending on the mood of those in power... and their administrators. [emoji2376]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…