Katiba ndiyo mamlaka ya Wananchi kusema ni kitabu tu hivi ni kuwadharau wenye mamlaka (wananchi)

Katiba ndiyo mamlaka ya Wananchi kusema ni kitabu tu hivi ni kuwadharau wenye mamlaka (wananchi)

kagoshima

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2015
Posts
2,887
Reaction score
5,687
Hatuwezi wote kwenda Ikulu na kuwa Maraisi na Mawaziri nk .

Ndiyo maana tumetengeneza taratibu (katiba na Sheria) za namna ya kuajiri wawakilishi kwa kuwapigia kura. Na hao wawakilishi wakisha patikana wanapaswa kufuata muongozo au utaratibu sisi wananchi tuliowaandalia kutekeleza mambo yanayohusu maendeleo ya inchi yetu. Na huwa tunatumia katba hiyo hiyo kuamua kuwateuwa wawakilishi walewale au wengine kuendelea kutuwakilisha.

Na hiyo katiba ndiyo ilimpa urais Baada ya kifo cha John Pombe Magufuli hayati Mungu amlaze mahali pema peponi.

Sasa sijui ni Ulevi wa madaraka wa CCM au kupitiwa tu Rais kufikia kudharau wananchi kwa kuita katiba ni kitabu tu hivi need to known.
 
Inawekena presha ni kubwa mno hivyo kushindwa ku control emotions ( impaired imotional intelligence) . Anatakiwa aombe radhi. Huko ni kudharau hadhira nzima ya watanzania
 
Hatuwezi wote kwenda Ikulu na kuwa maraisi na mawaziri nk .

Ndo maana tumetengeneza taratibu (katiba na Sheria) za namba ya kuajiri wawakilishi kwa kuwapigia kura . Na hao wawakilishi wakisha patikana wanapaswa kufuata muongozo au utaratibu sisi wananchi tuliowaandalia kutekeleza mambo yanayohusu maendeleo ya inchi yetu. Na huwa tunatumia kitabu hicho hicho kuamua kuwateuwa wawakilishi walewale au wengine kuendelea kutuwakilisha.

Sasa sijui ni Ulevi wa madaraka wa CCM au kupitiwa tu mweshimiwa Rais kufikia kudharau wananchi kwa kuita katiba ni kitabu tu hivi need to known.
😆😆😆😆 Sio ishu 🤣🤣

View: https://www.instagram.com/p/CxJI0OAN63n/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
 
Hatuwezi wote kwenda Ikulu na kuwa maraisi na mawaziri nk .

Ndo maana tumetengeneza taratibu (katiba na Sheria) za namba ya kuajiri wawakilishi kwa kuwapigia kura . Na hao wawakilishi wakisha patikana wanapaswa kufuata muongozo au utaratibu sisi wananchi tuliowaandalia kutekeleza mambo yanayohusu maendeleo ya inchi yetu. Na huwa tunatumia kitabu hicho hicho kuamua kuwateuwa wawakilishi walewale au wengine kuendelea kutuwakilisha.

Sasa sijui ni Ulevi wa madaraka wa CCM au kupitiwa tu mweshimiwa Rais kufikia kudharau wananchi kwa kuita katiba ni kitabu tu hivi need to known.
Soma katikati ya maandishi. Kwa mara ya kwanza Rais Samia kawaambia kweli watanzania. Ukweli wenyewe ni huu...
1. Jeshi la polisi halifuati PGO (anayeamua upewe dhamana au usipewe ni Mkuu wa Kituo na sio Sheria)

2. Hakuna mhimili unaonuka rushwa kama mhimili wa Mahakama (mahakimu na ma-jaji wanapokea mafurushi ya rushwa.

3. Watumishi wa umma wanajimilikisha ofisini za umma kama za baba zao.

Hivi hudhani kwamba ametutonya tuache ushamba wa kulilia katiba ilihali watumishi wa umma ndio wamejigeuza kuwa Sheria yenyewe.
 
Sasa sijui ni Ulevi wa madaraka wa CCM au kupitiwa tu
"Kupitiwa tu"?

Utani mwingine hugeuka na kuwa maudhi.

Huko CCM na viongozi wote walioko huko, pamoja na kundi kubwa sana la wananchi wa nchi hii, wote wanajua nchi hii inaongozwa kwa hisani ya chama hicho.

Hakuna kilicho juu ya Chama na serikali yake, kwa hiyo viongozi wa chama hicho ndio wanaoamua kila kitu kinachoihusu nchi hii, na siyo hicho kikaratasi kinachoitwa katiba.

Samia kaeleza tu hadharani mambo ambayo chama kinayajua ndio ukweli.

Kwani hii ni siri ambayo Samia kaitoa au ni kwa vile kaizungumzia bayana mbele ya hadhara za watu?

Ni mara ngapi katiba hiyo, pamoja na ubovu ilionao imefuatwa na hawa watu, ukiachia tu maigizo ambayo huwa wanayafanya ya kuapa kuilinda?

Samia kwa muwazi na mkweli kabisa katika jambo hili.
Hata kagusia vitabu vya dini, ambavyo mafisadi na makuwadi wote hawa huvitumia wakiigiza wakati wa viapo vyao vya ofisi?

Mbona sijawahi hata siku moja watu wakihoji juu ya viongozi hawa wabadhirifu wanapokiuka viapo vyao walivyotoa wakiwa wameshikilia misahafu ya dini wanazodai wao ni waumini wake?

Hata katika ubovu, kuna machache yanayoweza kuwa mazuri, hata kama ni kwa bahati mbaya tu. Samia katika hili kawa mkweli
 
"Kupitiwa tu"?

Utani mwingine hugeuka na kuwa maudhi.

Huko CCM na viongozi wote walioko huko, pamoja na kundi kubwa sana la wananchi wa nchi hii, wote wanajua nchi hii inaongozwa kwa hisani ya chama hicho.

Hakuna kilicho juu ya Chama na serikali yake, kwa hiyo viongozi wa chama hicho ndio wanaoamua kila kitu kinachoihusu nchi hii, na siyo hicho kikaratasi kinachoitwa katiba.

Samia kaeleza tu hadharani mambo ambayo chama kinayajua ndio ukweli.

Kwani hii ni siri ambayo Samia kaitoa au ni kwa vile kaizungumzia bayana mbele ya hadhara za watu?

Ni mara ngapi katiba hiyo, pamoja na ubovu ilionao imefuatwa na hawa watu, ukiachia tu maigizo ambayo huwa wanayafanya ya kuapa kuilinda?

Samia kwa muwazi na mkweli kabisa katika jambo hili.
Hata kagusia vitabu vya dini, ambavyo mafisadi na makuwadi wote hawa huvitumia wakiigiza wakati wa viapo vyao vya ofisi?

Mbona sijawahi hata siku moja watu wakihoji juu ya viongozi hawa wabadhirifu wanapokiuka viapo vyao walivyotoa wakiwa wameshikilia misahafu ya dini wanazodai wao ni waumini wake?

Hata katika ubovu, kuna machache yanayoweza kuwa mazuri, hata kama ni kwa bahati mbaya tu. Samia katika hili kawa mkweli
Kawa mkweli kwamba wanaikanyaga katiba ? Kama ndivyo hili taifa laelekea wapi?
 
Kawa mkweli kwamba wanaikanyaga katiba ? Kama ndivyo hili taifa laelekea wapi?
Nilihofu utaelewa hivyo unavyoonyesha hapa.

Kwani siyo ukweli kwamba hawa watu wanaikanyaga katiba? Hii ndiyo 'fact' pamoja na kwamba hatutaki wafanye hivyo.
Huyu mtu (Samia) kwa maksudi au kwa kutojua katoa ukweli ulio wazi kwetu sote.

Sasa katueleza bila kuficha, na hajali tutafanya nini, kwa maana anayo dola inayomlinda kuikanyaga katiba.

Lakini wakati akiyasema haya ya kutoijali katiba, anatumia mdomo ule ule kuhimiza watu wafunzwe katiba kwa miaka mitatu, kijitabu tu kisichokuwa na maana yoyote katika maisha yetu.
Ukiyafikiri ya hawa viongozi wetu, unashindwa kuelewa akili zao zinafanyaje kazi.
 
Hatuwezi wote kwenda Ikulu na kuwa Maraisi na Mawaziri nk .

Ndiyo maana tumetengeneza taratibu (katiba na Sheria) za namna ya kuajiri wawakilishi kwa kuwapigia kura. Na hao wawakilishi wakisha patikana wanapaswa kufuata muongozo au utaratibu sisi wananchi tuliowaandalia kutekeleza mambo yanayohusu maendeleo ya inchi yetu. Na huwa tunatumia katba hiyo hiyo kuamua kuwateuwa wawakilishi walewale au wengine kuendelea kutuwakilisha.

Na hiyo katiba ndiyo ilimpa urais Baada ya kifo cha John Pombe Magufuli hayati Mungu amlaze mahali pema peponi.

Sasa sijui ni Ulevi wa madaraka wa CCM au kupitiwa tu Rais kufikia kudharau wananchi kwa kuita katiba ni kitabu tu hivi need to known.
Mtu aliyeapa kuiheshimu Katiba na sheria za Nchi kuibeza na kuiita ni Kitabu tu na hakiwezi kuleta maendeleo huyo Mtu ni mhaini katika taifa letu. Tusipokuwa makini atafanya chochote maana ameshakiuka kiapo chake. Ilitakiwa angefanyiwa ya kule Niger au Gabon. Hafai kabisa kuwa Kiongozi maana anadhani Nchi ni kama familia.
 
Back
Top Bottom