Katiba ya CCM haina suala la Ukomo wa muda wa uongozi.

Katiba ya CCM haina suala la Ukomo wa muda wa uongozi.

Mwanaukweli

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2007
Posts
4,786
Reaction score
1,715
Katiba ya CCM haina kipengele chochote kinachoweka ukomo wa muda wa mtu kuwa katika uongozi.

attachment.php


Na katika sehemu inayotaja mwenyekiti wa taifa hakuna ukomo.

attachment.php


attachment.php


Kwa kuwa suala la kukosa ukomo katika uongozi katika katiba ya Chadema limeonekana kuwakera sana wapenzi wa CCM na mahasimu wa CHADEMA, kuliko wanachama wa CHADEMA wenyewe.

Je, agenda hiyo imeanzishwa kwa nia njema?

Mmewahi kuona hata siku moja Zemarcopolo, ritz, simiyu yetu, chris lukosi, faizafoxy, chabruma, wakionyesha nia njema yoyote kwa CHADEMA?

Tuchukulie kuwa wamefanya kwa nia nzuri, je kwa nini nia hio njema isiwatume kuhoji katiba ya chama chao wenyewe?

Wana Chadema mnaosoma thread hii, mjue CCM wanatumia kila mbinu kubomoa Chadema. Na inaonekana wanaona uongozi wa sasa wa chadema umekuwa kikwazo kwao kuona upinzani unazorota.

Walijaribu mbinu nyingi za propaganda: kaskazini, ukristu, ukatoliki, ugaidi, kumchafua Slaa, n.k. na zote hizo zikashindwa.

Wana chadema mjue kuwa hii pia ni mbinu nyingine, na kwa hiyo kipindi hiki kinahitaji mshikamano zaidi.

People's --------------------
 
Chadema uchaguzi wao wa ndani ni baada ya 2015 .Wamekosea kama walikuwa wanadhani wanaweza kupeta kirahisi .Hakuna Uchaguzi wafe tu huko waliko .
 
Pasco, kwa nini Chadema pekee iwe na kifungu hicho? CCM hakipo, NCCR Mageuzi hakipo, na hata CUF hakipo.

Je shinikizo hilo linatoka kweli ndani ya Chadema au kwa wana CCM? Kwa nini?
Mkuu Mwanaukweli, kila kipengele kinawekwa kwenye katiba for a reason!. Niliwauliuza Chadema what were the reasoms behindi kipengele hicho kuwekwa?.

Kipengele kikishawekwa, kinaweza kuondolewa kama zile sababu hazipo tena!, tena sio kinyemela!.

Tunaikomalia Chadema kwa sababu, kilikuwepo na reasons behind tunazijua!, na kilivanish into thin air with specific ill motives behind!.

CCM inaweza kufanya makosa ya kusema uongo hata mara100 na ikawa not a big deal!, lakini Chadema wakisema uongo hata mara moja tuu, its a big deal!, naamini sababu unazijua!.

Pasco.
 
You are missing the point dude!

Tatizo sio kuwepo au kutokuwepo kwa kipengele.

Tatizo ni utaratibu unaotumika kuingiza na kutoa vipengele pamoja na kauli za UONGO zinazotolewa na viongozi waandamizi wa chama kulaghai watu juu ya utaratibu huo.
 

Mkuu Mwanaukweli, kila kipengele kinawekwa kwenye katiba for a reason!. Niliwauliuza Chadema what were the reasoms behindi kipengele hicho kuwekwa?.

Kipengele kikishawekwa, kinaweza kuondolewa kama zile sababu hazipo tena!, tena sio kinyemela!.

Tunaikomalia Chadema kwa sababu, kilikuwepo na reasons behind tunazijua!, na kilivanish into thin air with specific ill motives behind!.

CCM inaweza kufanya makosa ya kusema uongo hata mara100 na ikawa not a big deal!, lakini Chadema wakisema uongo hata mara moja tuu, its a big deal!, naamini sababu unazijua!.

Pasco.

Pasco oneyesha ushahidi wako au huyo mwenye katiba kabla haijawa printed aweke hapa ila asije akawa amechakachua yeye.Be credible weka ushahidi wa uyasemayo .Wenye Chama na walio shiriki uandishi wa Katiba wamesema hakikuwepo unamwamini Mwigamba haya wekeni ushahidi sasa .Mkitumwa na kupewa maagizo mkisha toka chumba cha maagizi jiulieni kabla ya kumwa ----- kaka .
 
Hoja yako ni kwamba unataka Chadema wawe na katiba inayofanana na ya CCM.

Hilo sio tatizo kwa sababu hata viongozi wa Chadema wote wanatokana na CCM. Lakini tatizo ni pale utaratibu wa kubadilisha vipengele unapokuwa wa kichekibobu kama jinsi kipengele hiki kilivyopotezwa.

Ni sawa na wewe uwe na account NMB halafu siku unaendu kuchukua pesa unaambiwa account yako haipo. Ukiuliza kwanini account yako imepotea anakuja mtu anakwambia mbona kaka yako naye hana account NMB. Hiki ndicho ulichokifanya hapa...
 
Chadema uchaguzi wao wa ndani ni baada ya 2015 .Wamekosea kama walikuwa wanadhani wanaweza kupeta kirahisi .Hakuna Uchaguzi wafe tu huko waliko .
Katiba ya Chadema inasema uchaguzi ni kila baada ya miaka 5!, miaka mitano inaisga 2014!, mamlala ya extention mwisho ni mwaka 1!, hivyo ni 2015, baada ya 2015 bila uchaguzi Chadema itakuwa ni illegal party!, piga ua galagaza uchaguzi ni lazima 2014 not beyond, tena tutahakikisha tunashinikiza this time mwenyekiti ni lazima awe Prof. Safari, Arfi or "the one and only best you have!".

Huku sio kuingilia mambo ya ndani ya Chadema, bali kufanya maamuzi fedha zetu zitumikaje?.

Pasco.
 
Hivi neno Chadema liko kwenye ilani ya uchguzi ya CCM? Hivi ni kwa nini CCM hawatekelezi ilani yao ya uchaguzi baadala yake wambaki kuparamia Chadema?
 
Pasco oneyesha ushahidi wako au huyo mwenye katiba kabla haijawa printed aweke hapa ila asije akawa amechakachua yeye.Be credible weka ushahidi wa uyasemayo .Wenye Chama na walio shiriki uandishi wa Katiba wamesema hakikuwepo unamwamini Mwigamba haya wekeni ushahidi sasa .Mkitumwa na kupewa maagizo mkisha toka chumba cha maagizi jiulieni kabla ya kumwa ----- kaka .

Tatizo lako hufuatilii mijadala. ushahidi wote umeshaweka hapa JF na kujadiliwa kwa kirefu.
 
You are missing the point dude!

Tatizo sio kuwepo au kutokuwepo kwa kipengele.

Tatizo ni utaratibu unaotumika kuingiza na kutoa vipengele pamoja na kauli za UONGO zinazotolewa na viongozi waandamizi wa chama kulaghai watu juu ya utaratibu huo.
Ninaelewa kuwa hii issue nzima imeanzia katika propaganda kwa kuwa ndio mpango wa CCM kuwa Slaa na Mbowe wasiwepo kwenye uongozi.

Mwenzenu mmoja alipost kwenye mtandao wake:

Soma hapa ambavyo 'Boss' wako William Malecelaalivyoandika kwenye facebook yake...Angalia sana hapo kwenye blue.

@ LE MUTUZ STRAIGHT TALK!!:
Leo kuna habari njema sana kwetu CCM, kwamba Mwenyekiti wa Chadema ameamua kujitoa kugombea Urais 2015, so I told you OUR OPERATION CHAOS is working kwani our never ending online attacks zimemfanya ajipime, ok now one more to go, next on line ni Dr. Slaa, naye ni lazima ajitoe kugombea ili our best interest Zitto ndiye awe mgombea wao 2015!

- NILIWAAMBIENI HAWA HAWANA MGOMBEA URAIS 2015, SO SASA WALE WOTE TUNAOSHIRIKIANA KUWADHOOFISHA KWA KUTUMIA MITANDAO TUZIDISHE MASHAMBULIZI KAMA ILIVYO SASA, NINALO BOMU MOJA LA KIONGOZI WAO MMOJA MAARUFU KUTAKA KUMBAKA DEMU MMOJA MAJUU NA KESI IPO MAHAKAMANI NA DOCUMENTS ZIPO, INA MAANA HUYU AKIPEWA KUGOMBEA CHADEMA AKAPATA URAIS HATARUHUSIWA KWENDA HIYO NCHI, SASA TUTAKUWAJE NA RAIS AMBAYE NI LIMITED KWENYE INTERNATINIONAL COMMUNITY? SAAFI SANA MHESHIMIWA MBOWE KWA KUJIPIMA NA KUACHIA NGAZI SASA MSHAURI NA MWENZAKO SLAA AJIPIME!!

KIDUMU CCM!

KIDUMU CHAMA TAWALA!!

HA! HA! HA! HA!

- LE MUTUZ!!

Kwa nini hii iwakere wapiga propaganda wa CCM kama wewe?

Ni hiyo hiyo operation chaos. Ndio maana wewe Zemarcopolo uliyesomea udaktari kwa miaka minane na ni daktari mzuri wa binadamu, unashinda mtandaoni kuwachafua viongozi wa chadema.

This is simply gutter politics! Na mtawapata wenye akili ndogo.
 
Katiba ya Chadema inasema uchaguzi ni kila baada ya miaka 5!, miaka mitano inaisga 2014!, mamlala ya extention mwisho ni mwaka 1!, hivyo ni 2015, baada ya 2015 bila uchaguzi Chadema itakuwa ni illegal party!, piga ua galagaza uchaguzi ni lazima 2014 not beyond, tena tutahakikisha tunashinikiza this time mwenyekiti ni lazima awe Prof. Safari, Arfi or "the one and only best you have!".

Huku sio kuingilia mambo ya ndani ya Chadema, bali kufanya maamuzi fedha zetu zitumikaje?.

Pasco.
Soma hapa ambavyo 'Boss' wako William Malecelaalivyoandika kwenye facebook yake...Angalia sana hapo kwenye blue.

@ LE MUTUZ STRAIGHT TALK!!:
Leo kuna habari njema sana kwetu CCM, kwamba Mwenyekiti wa Chadema ameamua kujitoa kugombea Urais 2015, so I told you OUR OPERATION CHAOS is working kwani our never ending online attacks zimemfanya ajipime, ok now one more to go, next on line ni Dr. Slaa, naye ni lazima ajitoe kugombea ili our best interest Zitto ndiye awe mgombea wao 2015!

- NILIWAAMBIENI HAWA HAWANA MGOMBEA URAIS 2015, SO SASA WALE WOTE TUNAOSHIRIKIANA KUWADHOOFISHA KWA KUTUMIA MITANDAO TUZIDISHE MASHAMBULIZI KAMA ILIVYO SASA, NINALO BOMU MOJA LA KIONGOZI WAO MMOJA MAARUFU KUTAKA KUMBAKA DEMU MMOJA MAJUU NA KESI IPO MAHAKAMANI NA DOCUMENTS ZIPO, INA MAANA HUYU AKIPEWA KUGOMBEA CHADEMA AKAPATA URAIS HATARUHUSIWA KWENDA HIYO NCHI, SASA TUTAKUWAJE NA RAIS AMBAYE NI LIMITED KWENYE INTERNATINIONAL COMMUNITY? SAAFI SANA MHESHIMIWA MBOWE KWA KUJIPIMA NA KUACHIA NGAZI SASA MSHAURI NA MWENZAKO SLAA AJIPIME!!

KIDUMU CCM!

KIDUMU CHAMA TAWALA!!

HA! HA! HA! HA!

- LE MUTUZ!!
Understandable.
 
Hoja yako ni kwamba unataka Chadema wawe na katiba inayofanana na ya CCM.

Hilo sio tatizo kwa sababu hata viongozi wa Chadema wote wanatokana na CCM. Lakini tatizo ni pale utaratibu wa kubadilisha vipengele unapokuwa wa kichekibobu kama jinsi kipengele hiki kilivyopotezwa.

Ni sawa na wewe uwe na account NMB halafu siku unaendu kuchukua pesa unaambiwa account yako haipo. Ukiuliza kwanini account yako imepotea anakuja mtu anakwambia mbona kaka yako naye hana account NMB. Hiki ndicho ulichokifanya hapa...
Hoja tusiwe na double standards.
 
Kwa nini wana CCM wakerwe na viongozi wabaya wa CHADEMA?

Mkiwa vitani unaweza kukubali adui yako akuchagulie Kamanda wa vikosi vyako?

Tafakari.
 
Asante sana Mwanaukweli kwa kutufumbua macho. Nilitegemea chama kikongwe kama CCM kiwe mfano bora hasa katika swala zima la ukomo wa uongozi..

Swali hivi Mwl Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete wemekuwa wenyeviti kwa vipindi vingapi vingapi? Ritz, Chabruma simiyuyetu










h
 
Last edited by a moderator:
Katiba yao haina Kipengele cha ukomo wa mwenyekiti! Lakini wanataka Katiba ya CDM ndio iwe na Ukomo,Kisa nini?
Fumbo mfumbie mjinga,Mwerevu hungamua!!!!!!ikiwa katiba ya CDM kilikuwa na Kipengele hicho na kimeondolewa basi ni vema iwe hivyo kwani mbona wao wanaoshadadia CDM wameondoa kipengele hicho?
 
Katiba yao haina Kipengele cha ukomo wa mwenyekiti! Lakini wanataka Katiba ya CDM ndio iwe na Ukomo,Kisa nini?
Fumbo mfumbie mjinga,Mwerevu hungamua!!!!!!ikiwa katiba ya CDM kilikuwa na Kipengele hicho na kimeondolewa basi ni vema iwe hivyo kwani mbona wao wanaoshadadia CDM wameondoa kipengele hicho?

Ngoja tusubiri majibu kutoka kwao...tik..tak..tik..tak.. Si ajabu walikuwa hawana habari hiyo..
 
Asante sana Mwanaukweli kwa kutufumbua macho. Nilitegemea chama kikongwe kama CCM kiwe mfano bora hasa katika swala zima la ukomo wa uongozi..

Swali hivi Mwl Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete wemekuwa wenyeviti kwa vipindi vingapi vingapi? Ritz, Chabruma simiyuyetu
Ni propaganda, na watu wanalipwa.

CCM wanaona upinzani ambao CHADEMA inautoa kwao chini ya Mbowe na Slaa unawaweka katika tension. CCM hawawapendi Mbowe na Slaa. Kama alivyosema William Malecela

Soma hapa ambavyo 'Boss' wako William Malecelaalivyoandika kwenye facebook yake...Angalia sana hapo kwenye blue.

@ LE MUTUZ STRAIGHT TALK!!:
Leo kuna habari njema sana kwetu CCM, kwamba Mwenyekiti wa Chadema ameamua kujitoa kugombea Urais 2015, so I told you OUR OPERATION CHAOS is working kwani our never ending online attacks zimemfanya ajipime, ok now one more to go, next on line ni Dr. Slaa, naye ni lazima ajitoe kugombea ili our best interest Zitto ndiye awe mgombea wao 2015!

- NILIWAAMBIENI HAWA HAWANA MGOMBEA URAIS 2015, SO SASA WALE WOTE TUNAOSHIRIKIANA KUWADHOOFISHA KWA KUTUMIA MITANDAO TUZIDISHE MASHAMBULIZI KAMA ILIVYO SASA, NINALO BOMU MOJA LA KIONGOZI WAO MMOJA MAARUFU KUTAKA KUMBAKA DEMU MMOJA MAJUU NA KESI IPO MAHAKAMANI NA DOCUMENTS ZIPO, INA MAANA HUYU AKIPEWA KUGOMBEA CHADEMA AKAPATA URAIS HATARUHUSIWA KWENDA HIYO NCHI, SASA TUTAKUWAJE NA RAIS AMBAYE NI LIMITED KWENYE INTERNATINIONAL COMMUNITY? SAAFI SANA MHESHIMIWA MBOWE KWA KUJIPIMA NA KUACHIA NGAZI SASA MSHAURI NA MWENZAKO SLAA AJIPIME!!

KIDUMU CCM!

KIDUMU CHAMA TAWALA!!

HA! HA! HA! HA!

- LE MUTUZ!!
 
Katiba yao haina Kipengele cha ukomo wa mwenyekiti! Lakini wanataka Katiba ya CDM ndio iwe na Ukomo,Kisa nini?
Fumbo mfumbie mjinga,Mwerevu hungamua!!!!!!ikiwa katiba ya CDM kilikuwa na Kipengele hicho na kimeondolewa basi ni vema iwe hivyo kwani mbona wao wanaoshadadia CDM wameondoa kipengele hicho?
Propaganda is the name of the game!
 
Ni kwelihakuna haja ya hasimu wako akakuchaguliwa kiongozi.
 
Kwanini kutaka kuharalisha jambo baya eti kwa sababu tu CCM na vyama vingine pia wapo kama sisi tulivyo. Maswali ya msingi ameuliza kaka Pasco: ni kwanini waliondoa kifungu kile; kwanini Dr. Slaa alituongopea juu ya uwepo au kutokuwepo kwa kifungu cha ukomo wa uongozi; ni kikao kipi rasmi kilifikia uamuzi wa kuondoa kifungu kile; kama tunahitaji ukomo wa u-Rais uendelee kuwepo, basi kwanini sisi hatuoni haja ya ukomo wa uongozi wa mtu katika nafasi ile ile uendelee kuwepo kama ilivyokuwa katika katiba ya 2004. Utetezi wa kutaka kuharalisha mambo ya kijinga unakera sana, wakati mwingine huwa natamani kama viongozi wa juu wa CHADEMA wawe watoto ili niwachalaze viboko; maana, imani kubwa niliyokuwa nayo kwao sikutarajia wafanye mambo ya kijingakijinga na kutoa utetezi wa uongo hapa jukwaani; mnakera sana kwa kweli. Nakerwa na wanaoijidai ni wapenzi zaidi wa CHADEMA kiasi cha kuja kutetea ujinga hapa jukwaani: mkikosea, kwanini kuona haya kukiri kosa na kuanza upya? Utetezi wa kijinga katika hoja nzito waachieni CCM waliokubuhu katika ulaghai kwa sababu tabia hiyo haiwafai ninyi mliojipambanua kama wakombozi. Endeleeni kufikiri kuwa sisi ni wajinga hatuwezi kupima ukweli ni upi. Tupatieni maelezo ya kina kuhusu hoja za Mwigamba, otherwise mkiri kuteleza kidogo. Mnakera sana.
 
Back
Top Bottom