Mwanaukweli
JF-Expert Member
- May 18, 2007
- 4,786
- 1,715
Katiba ya CCM haina kipengele chochote kinachoweka ukomo wa muda wa mtu kuwa katika uongozi.
Na katika sehemu inayotaja mwenyekiti wa taifa hakuna ukomo.
Kwa kuwa suala la kukosa ukomo katika uongozi katika katiba ya Chadema limeonekana kuwakera sana wapenzi wa CCM na mahasimu wa CHADEMA, kuliko wanachama wa CHADEMA wenyewe.
Je, agenda hiyo imeanzishwa kwa nia njema?
Mmewahi kuona hata siku moja Zemarcopolo, ritz, simiyu yetu, chris lukosi, faizafoxy, chabruma, wakionyesha nia njema yoyote kwa CHADEMA?
Tuchukulie kuwa wamefanya kwa nia nzuri, je kwa nini nia hio njema isiwatume kuhoji katiba ya chama chao wenyewe?
Wana Chadema mnaosoma thread hii, mjue CCM wanatumia kila mbinu kubomoa Chadema. Na inaonekana wanaona uongozi wa sasa wa chadema umekuwa kikwazo kwao kuona upinzani unazorota.
Walijaribu mbinu nyingi za propaganda: kaskazini, ukristu, ukatoliki, ugaidi, kumchafua Slaa, n.k. na zote hizo zikashindwa.
Wana chadema mjue kuwa hii pia ni mbinu nyingine, na kwa hiyo kipindi hiki kinahitaji mshikamano zaidi.
People's --------------------
Na katika sehemu inayotaja mwenyekiti wa taifa hakuna ukomo.
Kwa kuwa suala la kukosa ukomo katika uongozi katika katiba ya Chadema limeonekana kuwakera sana wapenzi wa CCM na mahasimu wa CHADEMA, kuliko wanachama wa CHADEMA wenyewe.
Je, agenda hiyo imeanzishwa kwa nia njema?
Mmewahi kuona hata siku moja Zemarcopolo, ritz, simiyu yetu, chris lukosi, faizafoxy, chabruma, wakionyesha nia njema yoyote kwa CHADEMA?
Tuchukulie kuwa wamefanya kwa nia nzuri, je kwa nini nia hio njema isiwatume kuhoji katiba ya chama chao wenyewe?
Wana Chadema mnaosoma thread hii, mjue CCM wanatumia kila mbinu kubomoa Chadema. Na inaonekana wanaona uongozi wa sasa wa chadema umekuwa kikwazo kwao kuona upinzani unazorota.
Walijaribu mbinu nyingi za propaganda: kaskazini, ukristu, ukatoliki, ugaidi, kumchafua Slaa, n.k. na zote hizo zikashindwa.
Wana chadema mjue kuwa hii pia ni mbinu nyingine, na kwa hiyo kipindi hiki kinahitaji mshikamano zaidi.
People's --------------------