Katiba ya CCM haina suala la Ukomo wa muda wa uongozi.

Katiba ya CCM haina suala la Ukomo wa muda wa uongozi.

Kwanini kutaka kuharalisha jambo baya eti kwa sababu tu CCM na vyama vingine pia wapo kama sisi tulivyo. Maswali ya msingi ameuliza kaka Pasco: ni kwanini waliondoa kifungu kile; kwanini Dr. Slaa alituongopea juu ya uwepo au kutokuwepo kwa kifungu cha ukomo wa uongozi; ni kikao kipi rasmi kilifikia uamuzi wa kuondoa kifungu kile; kama tunahitaji ukomo wa u-Rais uendelee kuwepo, basi kwanini sisi hatuoni haja ya ukomo wa uongozi wa mtu katika nafasi ile ile uendelee kuwepo kama ilivyokuwa katika katiba ya 2004. Utetezi wa kutaka kuharalisha mambo ya kijinga unakera sana, wakati mwingine huwa natamani kama viongozi wa juu wa CHADEMA wawe watoto ili niwachalaze viboko; maana, imani kubwa niliyokuwa nayo kwao sikutarajia wafanye mambo ya kijingakijinga na kutoa utetezi wa uongo hapa jukwaani; mnakera sana kwa kweli. Nakerwa na wanaoijidai ni wapenzi zaidi wa CHADEMA kiasi cha kuja kutetea ujinga hapa jukwaani: mkikosea, kwanini kuona haya kukiri kosa na kuanza upya? Utetezi wa kijinga katika hoja nzito waachieni CCM waliokubuhu katika ulaghai kwa sababu tabia hiyo haiwafai ninyi mliojipambanua kama wakombozi. Endeleeni kufikiri kuwa sisi ni wajinga hatuwezi kupima ukweli ni upi. Tupatieni maelezo ya kina kuhusu hoja za Mwigamba, otherwise mkiri kuteleza kidogo. Mnakera sana.
Wakati wa vita, adui anapokuchagulia Jemedari, na ukamkubali unakuwa umesalimu amri.
 
Kwanini kutaka kuharalisha jambo baya eti kwa sababu tu CCM na vyama vingine pia wapo kama sisi tulivyo. Maswali ya msingi ameuliza kaka Pasco: ni kwanini waliondoa kifungu kile; kwanini Dr. Slaa alituongopea juu ya uwepo au kutokuwepo kwa kifungu cha ukomo wa uongozi; ni kikao kipi rasmi kilifikia uamuzi wa kuondoa kifungu kile; kama tunahitaji ukomo wa u-Rais uendelee kuwepo, basi kwanini sisi hatuoni haja ya ukomo wa uongozi wa mtu katika nafasi ile ile uendelee kuwepo kama ilivyokuwa katika katiba ya 2004. Utetezi wa kutaka kuharalisha mambo ya kijinga unakera sana, wakati mwingine huwa natamani kama viongozi wa juu wa CHADEMA wawe watoto ili niwachalaze viboko; maana, imani kubwa niliyokuwa nayo kwao sikutarajia wafanye mambo ya kijingakijinga na kutoa utetezi wa uongo hapa jukwaani; mnakera sana kwa kweli. Nakerwa na wanaoijidai ni wapenzi zaidi wa CHADEMA kiasi cha kuja kutetea ujinga hapa jukwaani: mkikosea, kwanini kuona haya kukiri kosa na kuanza upya? Utetezi wa kijinga katika hoja nzito waachieni CCM waliokubuhu katika ulaghai kwa sababu tabia hiyo haiwafai ninyi mliojipambanua kama wakombozi. Endeleeni kufikiri kuwa sisi ni wajinga hatuwezi kupima ukweli ni upi. Tupatieni maelezo ya kina kuhusu hoja za Mwigamba, otherwise mkiri kuteleza kidogo. Mnakera sana.
Mkuu Gideon Jeremiah, haki wewe u miongoni mwa wachache mnaipenda Chadema kwa dhati!. Kuna wengi ambao ni wanachama, wapenzi na mashabiki wa Chadema ambao ni wapambe tuu!, hawana lolote wala hawaisaidii Chadema kwa kuiibia nyimba tuu za sifa na mapambio!, mapenzi ya kweli, yanaonyeshwa pale mtu unapoumia mpaka nafsini na moyoni, ukiona chama unachokitegemea kinafanya madudu!, Mwigamba ameibua madai mazito ya msingi, halafu viongozi wanakujsa humu na majibu ya ....(mepesi) halafu mijitu humu inawashangilia!.
Asante tena Gideon Jeremiah.
Pasco.
 
Pasco oneyesha ushahidi wako au huyo mwenye katiba kabla haijawa printed aweke hapa ila asije akawa amechakachua yeye.Be credible weka ushahidi wa uyasemayo .Wenye Chama na walio shiriki uandishi wa Katiba wamesema hakikuwepo unamwamini Mwigamba haya wekeni ushahidi sasa .Mkitumwa na kupewa maagizo mkisha toka chumba cha maagizi jiulieni kabla ya kumwa ----- kaka .
Mkuu Lunyungu, sisi wengine huishia kusema tuu!, mambo ya ushahidi ni mahakamani, hapa sio mahakamani, niliuiza hili, wakuu wako wakajibu na ushahidi wao wakaleta!, kinachoendelea sasa ni matokeo tuu na sio chanzo!.
Naamini hata bila ushahidi, the effects is visible ama hili la visibility nalo unalitakia ushahidi!.
Pasco.
 
Kwa nini wana CCM wakerwe na viongozi wabaya wa CHADEMA?

Mkiwa vitani unaweza kukubali adui yako akuchagulie Kamanda wa vikosi vyako?

Tafakari.
Mwanaukweli with due respect, you're missing the point.

Hivi wewe viongozi wa CCM na serikali yake hawakukeri kwa maneno na matendo yao?. Kama wanakukera, kwa nini watu wengine pia wasikereke na viongozi wa CHADEMA kwa maneno na matendo yao.

Hoja za kisiasa kama hizi hazichagui watoa hoja kwa sababu kila mtanzania mwema huko huru kisheria kuwa mwananchama wa chama chochote kama anatimiza masharti ya uanachama ambayo kisheria siyo discriminative.

Kama chama kinataka kuepuka hoja kama hizi ni lazima kifanye kile kinachohubiri kwa wananchi.

Huwezi kuacha kuhoji pale mtu anapohubiri yeye ni maraika halafu matendo anayoyafanya niya kishetani.
 
Ninaelewa kuwa hii issue nzima imeanzia katika propaganda kwa kuwa ndio mpango wa CCM kuwa Slaa na Mbowe wasiwepo kwenye uongozi.

Mwenzenu mmoja alipost kwenye mtandao wake:



Kwa nini hii iwakere wapiga propaganda wa CCM kama wewe?

Ni hiyo hiyo operation chaos. Ndio maana wewe Zemarcopolo uliyesomea udaktari kwa miaka minane na ni daktari mzuri wa binadamu, unashinda mtandaoni kuwachafua viongozi wa chadema.

This is simply gutter politics! Na mtawapata wenye akili ndogo.

Mkuu unampa sifa isiyo yake,

Yeye kwafani yake ya kusomea ni mkunga, na aliajiriwa na wizara ya afya kufanya kazi katika zahamati ya Mvomero Morogoro,

Hivi sasa kaacha kazi hiyo na yupo jijini Dar akilala Tabata Mawenzi na kushinda vijiwe vya Lumumba Mnazimoja akijifanya ni mpigania ccm kwa ndoto za ipo siku atapa hata u DC tu,


Kwakifupi mimi hupenda kumuita NGARIBA
 
Katiba ya Chadema inasema uchaguzi ni kila baada ya miaka 5!, miaka mitano inaisga 2014!, mamlala ya extention mwisho ni mwaka 1!, hivyo ni 2015, baada ya 2015 bila uchaguzi Chadema itakuwa ni illegal party!, piga ua galagaza uchaguzi ni lazima 2014 not beyond, tena tutahakikisha tunashinikiza this time mwenyekiti ni lazima awe Prof. Safari, Arfi or "the one and only best you have!".

Huku sio kuingilia mambo ya ndani ya Chadema, bali kufanya maamuzi fedha zetu zitumikaje?.

Pasco.

Kwa hiyo mnalenu jambo nyuma yake mnataka CHADEMA ife sio?
 
Chadema uchaguzi wao wa ndani ni baada ya 2015 .Wamekosea kama walikuwa wanadhani wanaweza kupeta kirahisi .Hakuna Uchaguzi wafe tu huko waliko .

Mkuu lunyungu huo ndo ukweli. hata nchi huwa zinahairisha chaguzi zao kwa sbb mbalimbali. cdm tumeona kuwa sio muafaka kufanya uchaguzi sasa mbona magamba ma------ yao yanawawasha. mkapa alimkabidhi jk uenyekiti wa magamba kabla ya muda wake kuisha mbona ilionekana powa tu kwao? nasapoti uchaguzi usifanyike hadi baada ya uchaguzi. haya mambo ya mwigamba ni mashauri tu wala sio kesi. kamanda mbowe, dr slaa na zitto tuvusheni salama watanzania kuelekea kwenye ukombozi kamili dhidi ya mkoloni mweusi.
 
Hivi neno Chadema liko kwenye ilani ya uchguzi ya CCM? Hivi ni kwa nini CCM hawatekelezi ilani yao ya uchaguzi baadala yake wambaki kuparamia Chadema?

CDM ndiyo chama kinachoongiza katika njia moja au nyingine kwani ccm ishapoteza so watu wanahaki ya kukitaja na kukikosoa na ukiona hivyo ujue chadema ndiyo mbadala.
 
Kwa hiyo mnalenu jambo nyuma yake mnataka CHADEMA ife sio?
Hakuna Mtanzania mwenye kuitakia mema nchi hii kwa dhati, anayetaka Chadema ife!.

Mzazi anayejali, humcharaza bakora mwanaye anayempenda ili kumrudi asipotee!.

Tunachokifanya akina sisi, tena kwa nia njema na dhamira safi, ni kuitembezea Chadema bakora za nguvu, na kuipitisha kwenye tanuru la moja, kama haijakomaa, acha uingulie humo na kugeuka majivu!, lakini kama imekomaa, itaibuka ikiwa ni chuma cha pua!.

Baada ya miaka 50 ya utuymwa wa CCM, 2015 hatuhitaji kubahatisha!, we need to be definite sure kuhusu capabilities za Chadema!. Better be sure than sorry!, ndio maana Chadema unapofanya madudu, sisi wengine hatuna huruma hata kidogo, ni bakora kwa kwenda mbele!, hata hao tuwatumainia kwa kuwadhania ndio watatuvusha, lazima wapimwe kwa mkono wa chuma!, na sio kubembelezana kwa kupeana pipi na lawalawa za nyimbo za shangwe na mapambio!, they need to be tasked, tested and approved ndipo tuwape!.

Nasisitiza tena tena tena, ni wale wenye uono finyu tuu ndio wanaoamini kuwa watakao inngiza Chadema ikulu ile 2015 ni wanachama, wafuasi na wapenzi wa Chadema tuu, sisi wengine wote tunao i task, hatuitakii mema!. They are wrong!. Watakao iingiza Chadema ikulu hiyo 2015 (if at all!), ni sisi!, (yes ofcourse pamoja na nyinyi!).
Pasco.
 
Mkuu lunyungu huo ndo ukweli. hata nchi huwa zinahairisha chaguzi zao kwa sbb mbalimbali. cdm tumeona kuwa sio muafaka kufanya uchaguzi sasa mbona magamba ma------ yao yanawawasha. mkapa alimkabidhi jk uenyekiti wa magamba kabla ya muda wake kuisha mbona ilionekana powa tu kwao? nasapoti uchaguzi usifanyike hadi baada ya uchaguzi. haya mambo ya mwigamba ni mashauri tu wala sio kesi. kamanda mbowe, dr slaa na zitto tuvusheni salama watanzania kuelekea kwenye ukombozi kamili dhidi ya mkoloni mweusi.
Nenda kaisome katiba ya Chadema inasema nini kuhusu uchaguzi wa ndani!. Nyie ndio sisi tunaowaita "washabiki maandazi!" mnaipenda Chadema kwa upendo upepo!.

Utakuta mtu mzima na akili zake anashabikia uchaguzi wa ndani wa Chadema usogezwe mbele for justified reasons!, lakini utashangaa mtu huyo akisikia uchaguzi mkuu umesogezwa mbele kwa mwaka mmoja ili kuisubiria smooth transition ya katiba mpya kwa CCM kuendelea kutawala mwaka mmoja zaidi!, atapiga kele kwa kupaza sauti mpaka mbunguni!.
Pasco.
 
mchezo umeisha,kumbe hata wapiga kelele wapo kama sie..........safi sana mleta mada
 
Nyerere alikuwa mwenyekiti mpaka akaona chama kimekomaa.
 
Nenda kaisome katiba ya Chadema inasema nini kuhusu uchaguzi wa ndani!. Nyie ndio sisi tunaowaita "washabiki maandazi!" mnaipenda Chadema kwa upendo upepo!.

Utakuta mtu mzima na akili zake anashabikia uchaguzi wa ndani wa Chadema usogezwe mbele for justified reasons!, lakini utashangaa mtu huyo akisikia uchaguzi mkuu umesogezwa mbele kwa mwaka mmoja ili kuisubiria smooth transition ya katiba mpya kwa CCM kuendelea kutawala mwaka mmoja zaidi!, atapiga kele kwa kupaza sauti mpaka mbunguni!.
Pasco.

Pasco ntake radhi mimi sio shabiki maandazi wa CDM Bali ni full member. Kama watu wamekubaliana kwa kufata taratibu baada ya upembuzi yakinifu kufanywa kuna shida gani? NAJUA WEWE SIO MAGAMBA lakini mbona wa shabiki maandazi wengi wa B7fc wanalalamikia sana CDM kuhairisha uchaguzi?
 
You are missing the point dude!

Tatizo sio kuwepo au kutokuwepo kwa kipengele.

Tatizo ni utaratibu unaotumika kuingiza na kutoa vipengele pamoja na kauli za UONGO zinazotolewa na viongozi waandamizi wa chama kulaghai watu juu ya utaratibu huo.

Cdm haiendeshwi na wanalumumba au kauli za ikulu na vibaraka wenu,sahau kabisa hizo suala kuna taratibu zao kichama na wala si kwa mashinikizo,mwambie aliyekutuma umewakosa akupe buku saba yako tu ukakojoe ulale
 
Pasco ntake radhi mimi sio shabiki maandazi wa CDM Bali ni full member. Kama watu wamekubaliana kwa kufata taratibu baada ups buzz yak infix kufanywa kuna shida gani? NAJUA WEWE SIO MAGAMBA lakini mbona wa shabiki maandazi wengi wa B7fc wanalalamikia sana CDM kuhairisha uchaguzi?
Mkuu Khakha, naomba unisamehe!, unajua humu jf sasa mashabiki wa Chadema wamejaa sana hadi kwen ye msafara wa mamba, huwezi jua kenge ni yupi!.
Pasco.
 
Hoja yako ni kwamba unataka Chadema wawe na katiba inayofanana na ya CCM.

Hilo sio tatizo kwa sababu hata viongozi wa Chadema wote wanatokana na CCM. Lakini tatizo ni pale utaratibu wa kubadilisha vipengele unapokuwa wa kichekibobu kama jinsi kipengele hiki kilivyopotezwa.

Ni sawa na wewe uwe na account NMB halafu siku unaendu kuchukua pesa unaambiwa account yako haipo. Ukiuliza kwanini account yako imepotea anakuja mtu anakwambia mbona kaka yako naye hana account NMB. Hiki ndicho ulichokifanya hapa...
Weka ushahidi kama kilikuwepo sio kubwabwaja tuu
 
Mkuu Khakha, naomba unisamehe!, unajua humu jf sasa mashabiki wa Chadema wamejaa sana hadi kwen ye msafara wa mamba, huwezi jua kenge ni yupi!.
Pasco.

Ahahaha, nimekusamehe mkuu Pasco wa JF.
 
Back
Top Bottom