Katiba ya CHADEMA inasemaje chama kutokuwa na Mwenyekiti wala Makamu?

Katiba ya CHADEMA inasemaje chama kutokuwa na Mwenyekiti wala Makamu?

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Ni sawa na hawapo tu mwenyekiti yupo mahabusu hatujui atatoboa au ndio Guantanamo, makamo mwenyekiti kaamua kujichimbia ughaibuni kula bata kwa namna ya kipekee,

Je, katiba inasemaje na ni kipindi gani chama kitakaa bila viongozi wakuu?

Makamanda ni matumaini ya wanachama wenu na mashabiki wenu wanataka kujua uchaguzi wa kujaza nafasi utafanyika lini maana mambo yanakwama!
 
Mandela alifungwa miaka 27 Rubben Island akiwa kama mkuu wa ANC, je chama kilikufa??!!---- na alipofunguliwa ikawaje ?? kuwafunga viongozi wa vyama ni ishara kwamba saa ya ukombozi ipo karibu na hii ni; last kicks of a dying horse. CCM is a dying horse.
 
Hii issue ya ugaidi mnapenda kuiimba ila ikigeuziwa upande wenu mnanuna, kama mchezo wenu ndio ulikuwa huo muwape kesi za uongo wakae mahabusu na wengine muwatishe maisha wakimbie nchi ili mpate nafasi ya kupumua poleni, hii ngoma ni kama dormant volcano, imepoa tu, siku yoyote itaamka.
 
Mandela alifungwa miaka 27 Rubben Island akiwa kama mkuu wa ANC, je chama kilikufa??!!---- na alipofunguliwa ikawaje ?? kuwafunga viongozi wa vyama ni ishara kwamba saa ya ukombozi ipo karibu na hii ni; last kicks of a dying horse. CCM is a dying horse.
Achana na msaidizi wa Hamza huyo
 
Mandela alifungwa miaka 27 Rubben Island akiwa kama mkuu wa ANC, je chama kilikufa??!!---- na alipofunguliwa ikawaje ?? kuwafunga viongozi wa vyama ni ishara kwamba saa ya ukombozi ipo karibu na hii ni; last kicks of a dying horse. CCM is a dying horse.
Sasa mandela na mbowe wanahusikaje na swali la katiba ya chama!
 
Hii issue ya ugaidi mnapenda kuiimba ila ikigeuziwa upande wenu mnanuna, kama mchezo wenu ndio ulikuwa huo muwape kesi za uongo wakae mahabusu na wengine muwatishe maisha wakimbie nchi ili mpate nafasi ya kupumua poleni, hii ngoma ni kama dormant volcano, imepoa tu, siku yoyote itaamka.
Katiba inasemaje?
 
Wacha bange zako wewe ccm luwala.
Sasa hivi habari ya mujini ni kilio cha kuondokewa na mwana ccm gaidi.

Naona sasa nafasi yake utaichukua wewe maana mafunzo yenu mlikuwa wote
Baba yake gaidi leo ana siku ya 42 ndani! Je katiba inasemaje iwapo atapelekwa guantanamo!
 
Ni sawa na hawapo tu mwenyekiti yupo mahabusu hatujui atatoboa au ndio guantanamo,makamo mwenyekiti kaamua kujichimbia ughaibuni kula bata kwa namna ya kipekee,je katiba inasemaje na ni kipindi gani chama kitakaa bila viongozi wakuu je!
Makamanda ni matumaini ya wanachama wenu na mashabiki wenu wanataka kujua uchaguzi wa kujaza nafasi utafanyika lini maana mambo yanakwama!
Kwa akili zenu mlidhani mkimfunga Mbowe chama kitakufa.
 
Back
Top Bottom