samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,223
yupo Maria Sarungi na Fatma Karume wanaendesha shughuli za chama online....sisi tuko kidigitali zaidi sio kama nyie CCM....ingia space huko na club house tunafanya mikutano na inajaza watu balaa.....subirini katibu mkuu atawapa taarifa week ijayo juu ya majadiliano yetu huku space..