Katiba ya CHADEMA inasemaje chama kutokuwa na Mwenyekiti wala Makamu?

Katiba ya CHADEMA inasemaje chama kutokuwa na Mwenyekiti wala Makamu?

yupo Maria Sarungi na Fatma Karume wanaendesha shughuli za chama online....sisi tuko kidigitali zaidi sio kama nyie CCM....ingia space huko na club house tunafanya mikutano na inajaza watu balaa.....subirini katibu mkuu atawapa taarifa week ijayo juu ya majadiliano yetu huku space..
 
CHAMA kimebaki na JOHN MREMA, JOHN MNYIKA na BENSON SINGO KIGAILA.
kimekuwa kichaka cha uhuni na kupanga mikakati ya kuvuruga amani ya nchi, ni bora kifutiliwe mbali, hatuwezi kuwa na Chama kinacho ratibu mipango ya kihalifu, halafu kikawa chama cha kudai haki!!!
Chadema kimekuwa kichaka, waovu wamejificha ndani ya chama ili kutekeleza mambo ya kiovu.
kama unakuwa na Chama ambacho na wakala wa MAGAIDI unategemea nini hapo?!
Mbona mwendazake alishafutilia mbali chadema, kwani bado IPO?
 
yupo Maria Sarungi na Fatma Karume wanaendesha shughuli za chama online....sisi tuko kidigitali zaidi sio kama nyie CCM....ingia space huko na club house tunafanya mikutano na inajaza watu balaa.....subirini katibu mkuu atawapa taarifa week ijayo juu ya majadiliano yetu huku space..
Kwa hali hii dau halina nahodha linakwenda mrama!
 
Ni sawa na hawapo tu mwenyekiti yupo mahabusu hatujui atatoboa au ndio guantanamo,makamo mwenyekiti kaamua kujichimbia ughaibuni kula bata kwa namna ya kipekee,je katiba inasemaje na ni kipindi gani chama kitakaa bila viongozi wakuu je!
Makamanda ni matumaini ya wanachama wenu na mashabiki wenu wanataka kujua uchaguzi wa kujaza nafasi utafanyika lini maana mambo yanakwama!
Ya CHADEMA tuachie sisi SAGAI GALGANO
 
Mandela alifungwa miaka 27 Rubben Island akiwa kama mkuu wa ANC, je chama kilikufa??!!---- na alipofunguliwa ikawaje ?? kuwafunga viongozi wa vyama ni ishara kwamba saa ya ukombozi ipo karibu na hii ni; last kicks of a dying horse. CCM is a dying horse.
Mandela na Mbowe kweli Ni watu wa kuwalinganisha?
Nyumbu hovyo kabisa.
 
Mbona mwendazake alishafutilia mbali chadema, kwani bado IPO?
Msajili wa Vyama anapaswa akifutilie mbali hiki chama Cha CHADEMA maaana kimekuwa ni maficho/chimbo la Wahalifu, kila aina ya wahalifu sasa wanaweza kujibanza na kujificha ktk kichaka kinacho jiita eti chama cha kisiasa!!!
 
Inaonyesha hakuna mwenye kufahamu katiba ya cdm inaelekeza nin ikitokea mazingira km haya au labda hakuna kipengere kinachotoa ufafanuz wa jambo km hili linapotokea.
 
Ni sawa na hawapo tu mwenyekiti yupo mahabusu hatujui atatoboa au ndio guantanamo,makamo mwenyekiti kaamua kujichimbia ughaibuni kula bata kwa namna ya kipekee,je katiba inasemaje na ni kipindi gani chama kitakaa bila viongozi wakuu je!
Makamanda ni matumaini ya wanachama wenu na mashabiki wenu wanataka kujua uchaguzi wa kujaza nafasi utafanyika lini maana mambo yanakwama!
Ushauri want hangaika na mambo ya ccm, ya Chadema waaachie wenye chama be chap.
 
Baba yake gaidi leo ana siku ya 42 ndani! Je katiba inasemaje iwapo atapelekwa guantanamo!

Tunatoa pole kwa Mwenyekiti wa CCM na Katibu Mkuu kwa kumpoteza mwanachama na mjumbe wa Mkutano Mkuu Wilaya ya Ilala Kamanda Hamza.
 
Back
Top Bottom