Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
CCM ni hatari snAkina Hamza mpo wengi, huwezi kuelewa nini nimeandika hadi utakapoondoa uhamza kichwani mwako.
Ma CCM ni shida sana nchi hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM ni hatari snAkina Hamza mpo wengi, huwezi kuelewa nini nimeandika hadi utakapoondoa uhamza kichwani mwako.
Ma CCM ni shida sana nchi hii.
Wewe muoga sana!Mmeo anapokuwa safari ya mbali ya zaidi ya miezi miwili au mwaka huwa anamuachia kidume mwingine akukaze kwa sababu hayupo home?
Wanamtaka mama yako aje hawe mwenyekitiKweli kufa kufaana yaani leo hii kipara kipya tayari umesha ukata maana ndiyo unachukua nafasi ya Hamza
...HAWE... hata kiswahili bado hujui masikini ya mola.Wanamtaka mama yako aje hawe mwenyekiti
Hahahaaa Chadema sio ANC hapo ndipo mnafeli jibu swali.. Unatoka kwenye reli mkuu..Mandela alifungwa miaka 27 Rubben Island akiwa kama mkuu wa ANC, je chama kilikufa??!!---- na alipofunguliwa ikawaje ?? kuwafunga viongozi wa vyama ni ishara kwamba saa ya ukombozi ipo karibu na hii ni; last kicks of a dying horse. CCM is a dying horse.
Tunamsubiri akujibu!Hahahaaa Chadema sio ANC hapo ndipo mnafeli jibu swali.. Unatoka kwenye reli mkuu..
Labda anasubiri mpaka Yesu aje ndio atapata jibu..Tunamsubiri akujibu!
Alipokufa Dikteta Meko SSM ikawa haina Mwenyekiti na Katibu Maana Bashiru tayari alikuwa KMKNi sawa na hawapo tu mwenyekiti yupo mahabusu hatujui atatoboa au ndio Guantanamo, makamo mwenyekiti kaamua kujichimbia ughaibuni kula bata kwa namna ya kipekee,
Je, katiba inasemaje na ni kipindi gani chama kitakaa bila viongozi wakuu?
Makamanda ni matumaini ya wanachama wenu na mashabiki wenu wanataka kujua uchaguzi wa kujaza nafasi utafanyika lini maana mambo yanakwama!
Mandela alifungwa miaka 27 Rubben Island akiwa kama mkuu wa ANC, je chama kilikufa??!!---- na alipofunguliwa ikawaje ?? kuwafunga viongozi wa vyama ni ishara kwamba saa ya ukombozi ipo karibu na hii ni; last kicks of a dying horse. CCM is a dying horse.
Katiba yake ipo wazi mzee mangula yu hai na yupo nchini na pia haikuchukua muda kujaza nafasa!Alipokufa Dikteta Meko SSM ikawa haina Mwenyekiti na Katibu Maana Bashiru tayari alikuwa KMK
Jadili Hilo kwanza
Hatari sana!Ni sawa na hawapo tu mwenyekiti yupo mahabusu hatujui atatoboa au ndio Guantanamo, makamo mwenyekiti kaamua kujichimbia ughaibuni kula bata kwa namna ya kipekee,
Je, katiba inasemaje na ni kipindi gani chama kitakaa bila viongozi wakuu?
Makamanda ni matumaini ya wanachama wenu na mashabiki wenu wanataka kujua uchaguzi wa kujaza nafasi utafanyika lini maana mambo yanakwama!