Katiba ya CHADEMA inasemaje chama kutokuwa na Mwenyekiti wala Makamu?

Katiba ya CHADEMA inasemaje chama kutokuwa na Mwenyekiti wala Makamu?

Ni sawa na hawapo tu mwenyekiti yupo mahabusu hatujui atatoboa au ndio guantanamo,makamo mwenyekiti kaamua kujichimbia ughaibuni kula bata kwa namna ya kipekee,je katiba inasemaje na ni kipindi gani chama kitakaa bila viongozi wakuu je!
Makamanda ni matumaini ya wanachama wenu na mashabiki wenu wanataka kujua uchaguzi wa kujaza nafasi utafanyika lini maana mambo yanakwama!
Mwezi March mwaka huu CCM haikuwa na mwenyekiti wala Katibu. Na hakuna mtu aliyeanzisha uzi hapa kuwa ccm haina uongozi.

Mkuu uwe na kiasi kidogo
 
La mgambo lilia Lissu hakuungwa mkono maandamano kwanini lakini?!
Uliona juzi maiti ya mwana ccm inamwagiwa risasi karibu 30 . Sijui ni hasira za kukwepa risasi za mwanzo ?!.

Ulitaka waandamane muwalemaze ? . Police kawaida haiwaandami raia bali wawalinde na ndiyo katiba inavyosema
 
Mbowe usimfananishe hata kidogo na Mandela. Mbowe ni gaidi. Mandela hakuwa.
Mandela wakati a anashtakiwa moja ya tuhuma zake ilikuwa ni UGAIDI . Hichelema moja ya mashtaka yake ilikuwa ni UGAIDI. Raila moja ya mashtaka yake ilikuwa ni UGAIDI. Hiyo huwa ni silaha ya mwisho ya kigaidi ya watawala dhidi ya wapigania haki.
 
Mbowe usimfananishe hata kidogo na Mandela. Mbowe ni gaidi. Mandela hakuwa.


Kwa mtazamo wa maadui wa Mbowe yeye anasingiziwa Ugaidi hivyo hivyo kwa mtazamo wa Makaburu wa zama zile Mandela alionekana si gaidi tu bali pia mhaini.

History is a good teacher for the past events and it teaches those who ponder deeply in it.
 
Kwa mtazamo wa maadui wa Mbowe yeye anasingiziwa Ugaidi hivyo hivyo kwa mtazamo wa Makaburu wa zama zile Mandela alionekana si gaidi tu bali pia mhaini.

History is a good teacher for the past events and teaches those who ponder deeply in it.
Mandela hakuwai kushtakiwa kwa kesi ya ugaidi. Yake ilikuwa uhaini.

Mbowe ameshtakiwa kwa kosa la ugaidi na siyo uhaini. Kwa mazingira ya leo unafikiri kesi gani ina uzito mkubwa?.
 
Mandela hakuwai kushtakiwa kwa kesi ya ugaidi. Yake ilikuwa uhaini.

Mbowe ameshtakiwa kwa kosa la ugaidi na siyo uhaini. Kwa mazingira ya leo unafikiri kesi gani ina uzito mkubwa?.


Yote kwa yote, shutuma za uhaini au ugaidi kwa mbowe na Mandela ni kupitia siasa za mtawala dhidi ya mtu anayedai HAKI.

That's a Political motivated issue, kwasababu watu wanahoji ni kwanini Mbowe asikamatwe kabla na akamatwe saa chache kabla ya lile kongamano la kudai katiba mpya??!!.------ hayo ni mapambano ya kudai haki dhidi ya udhalimu.
 
CHAMA kimebaki na JOHN MREMA, JOHN MNYIKA na BENSON SINGO KIGAILA.
kimekuwa kichaka cha uhuni na kupanga mikakati ya kuvuruga amani ya nchi, ni bora kifutiliwe mbali, hatuwezi kuwa na Chama kinacho ratibu mipango ya kihalifu, halafu kikawa chama cha kudai haki!!!
Chadema kimekuwa kichaka, waovu wamejificha ndani ya chama ili kutekeleza mambo ya kiovu.
kama unakuwa na Chama ambacho na wakala wa MAGAIDI unategemea nini hapo?!
Ukiwa jambazi jwa sasa sehemu nzuri ya kujificha ni CDM, utatetewa na kila mtu
 
Katiba inasema Samia ndo ashike nafasi ya mwenyekiti na Sirro nafasi ka Makamu
 
Yote kwa yote, shutuma za uhaini au ugaidi kwa mbowe na Mandela ni kupitia siasa za mtawala dhidi ya mtu anayedai HAKI.

That's a Political motivated issue, kwasababu watu wanahoji ni kwanini Mbowe asikamatwe kabla na akamatwe saa chache kabla ya lile kongamano la kudai katiba mpya??!!.------ hayo ni mapambano ya kudai haki dhidi ya udhalimu.
Mbowe alipata taarifa atakamatwa, akakimbilia Mwanza ili akikamatwa adai ni sababu ya Katiba. Polisi wamelieleza wazi hilo.
 
Mwezi March mwaka huu CCM haikuwa na mwenyekiti wala Katibu. Na hakuna mtu aliyeanzisha uzi hapa kuwa ccm haina uongozi.

Mkuu uwe na kiasi kidogo
Walichukua muda gani kuziba gap!
 
Uliona juzi maiti ya mwana ccm inamwagiwa risasi karibu 30 . Sijui ni hasira za kukwepa risasi za mwanzo ?!.

Ulitaka waandamane muwalemaze ? . Police kawaida haiwaandami raia bali wawalinde na ndiyo katiba inavyosema
Ulitakiwa umwambie lissu maneno hayo maana amesusa chama kisa hamkumuunga mkono!
 
Mandela alifungwa miaka 27 Rubben Island akiwa kama mkuu wa ANC, je chama kilikufa??!!---- na alipofunguliwa ikawaje ?? kuwafunga viongozi wa vyama ni ishara kwamba saa ya ukombozi ipo karibu na hii ni; last kicks of a dying horse. CCM is a dying horse.
Mkuu, hili swali lina uzito sana ila unalijibu kirahisi rahisi kiasi hakuna majibu yenye uzito yana wakilishwa.

Africa ya Kusini suala zima lilikuwa tofauti sana. Tofauti yake ilikuwa watu 42 million hawaruhusiwi kupiga kura wakati kwa ujumla wao ilikuwa kama asili mia 85 % hawaingii kwenye mchakato wa kupiga kura.

Chadema sio 82% na haitotokea kuwa 82% ya watanzania kwa kuwa hii ni jamii ya Kitanzania ambayo inakaribia kuwa socially homogeneous society.
Kwa hiyo tutagawanyika katika makundi sana matatu (3) lakini yatakuwa miwili tuu makuu.

Uchambuzi wenye kina na maarifa utatusaidia kuelimika na kujua kipi hapana não kipi ndio. Kuliko majibu ya Jumla ya Sukuma Gang ama Nyumbu.

We always talk about human rights but I contend that, the human rights corpus, though well meaning, is a Eurocentric construct for the reconstitution of non-Western societies and peoples with a set of culturally biased norms and practices.

Only a genuine multicultural approach to human rights can make it truly universal hence democracy and ( multi party ) universal suffrage.
 
Ukiwa jambazi jwa sasa sehemu nzuri ya kujificha ni CDM, utatetewa na kila mtu
Magaidi, Majambazi, Wauza madawa ya kilevya, watumiaji, n.k wote wamejificha humo ndani ya CDM.
CDM ni kichaka kinapaswa kifyekwe kabisaa vinginevyo kitaendelea kuzalisha criminals
 
Ni sawa na hawapo tu mwenyekiti yupo mahabusu hatujui atatoboa au ndio Guantanamo, makamo mwenyekiti kaamua kujichimbia ughaibuni kula bata kwa namna ya kipekee,

Je, katiba inasemaje na ni kipindi gani chama kitakaa bila viongozi wakuu?

Makamanda ni matumaini ya wanachama wenu na mashabiki wenu wanataka kujua uchaguzi wa kujaza nafasi utafanyika lini maana mambo yanakwama!
WEwe inakuhusu nini?
Katiba ya CCM inasemaje kuhusu CHAMA kuingilia dini?
 
Back
Top Bottom