BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Tuseme ukweli Kenya wana moja ya Katiba Bora kabisa kwa mazingira ya Afrika.
Yaani ukiangalia Mazingira ya Africa yalivyo basi hawa jamaa wana katiba nzuri sana aangalia Kesi ya BBI yao inaendeshwa live kabisa kila mtu anaweza fuatilia mjadala, huku hata kurecord tu hauruhusiwi kinacho uhusiwa ni kupigapiga picha tu.
Ni lini tutakuwa na hata Robo ya katiba ya hawajirani zetu?
Yaani ukiangalia Mazingira ya Africa yalivyo basi hawa jamaa wana katiba nzuri sana aangalia Kesi ya BBI yao inaendeshwa live kabisa kila mtu anaweza fuatilia mjadala, huku hata kurecord tu hauruhusiwi kinacho uhusiwa ni kupigapiga picha tu.
Ni lini tutakuwa na hata Robo ya katiba ya hawajirani zetu?