Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Makonda alikuwa jambazi mwenye mamlaka, hayo majengo walikuwa wanajenga GSM na wafanyabiashara wengine kwa kumuogopa Makonda.Ujenzi wa ofisi za chama siyo kazi ya RC. Hii inaonesha jinsi utawala ulivyopita ambavyo ulikuwa haufuati sheria wala miongozo ya kazi.
Wengi hawana kumbukumbu jengo la makao makuu ya Bakwata ni huyohuyo Makonda kawakaba matajili fulani wajenge makao makuu ya Bakwata ni jengo la ghorofa kadhaa ila sijui utekelezaji wake ukoje.
Kama tungekuwa na viongozi wa dini makini wenye hofu ya Mungu wasingekubali huu ufadhili wa Makonda taasisi ya dini kupokea ufadhili kwa pesa ambayo ni haram anakwenda kuporwa kinguvu mtu mwingine.