Hivi hakuna maisha nje ya uteuzi? Hawa vijana wanajilemaza sana.
Sijatukana ila nimechangia kutokana na mchango wako, kumsifia mtu ambaye utendaji wake ulitawaliwa na udikiteta ni hatari ndio maana tunahitaji taasisi imara na sio watu strongOk! Kwa mtazamo wako iko hivyo! Hivi kweli unafikiri taasisi imara na zinazojitegemea zitatokana na mifumo na tawala zilizopo? Huyu alitumia udikteta maana alijua watu walijengewa tabia ya rushwa! Kumbuka anayeuza unga ni bilionea , kupoteza ushahidi ni rahisi mno!
Hata Amerika inasumbuliwa na wauza unga pamoja na taasisi zao imara!
Uasitukane! Jadili!
Chongolo yuko SMART sana.Anamuweka sawa ili ainue kichwa
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Daniel Chongolo amesema aliyekua Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda alifanya kazi kubwa wakati akiwa Mkuu wa mkoa ya kujenga Ofisi za Chama hicho Kinondoni na Kigamboni.
“Ni lazima tutambue kuwa aliyekuwa Mkuu wetu wa Mkoa wa Dar es salaam (Paul Makonda) alifanya kazi kubwa sana, tusiwe wanafiki, mnajua na ni lazima tuseme, yeye ndiye alianzisha ujenzi wa Ofisi hizi za Chama hapa Kigamboni na alifanya na Kinondoni, lazima tumpongeze” Daniel Chongolo, Katibu Mkuu wa CCM
My Take
Katibu mbona umemzungumzia upande mmoja tu. Waambie watu na upande mwingine, kama huna habari kazipate GSM, Clouds Media au kwa Kubenea. Hata wewe pia nimekuwekea video hapo juu jinsi ulivyoonja jeuri ya huyu kijana
Sio rahisi nyodo zake zimemponzaNa soon Dogo atalamba uteuzi...
Argue with your keyboard
🤣🤣👍Mwambie huyo na Bila kusahau hata mkuu wa wilaya
Ni ngumu sana kutofautisha ccm na serikali..ndiomana tukisema tunataka katiba mpya muwe mnatuelewa.Mkuu wa Mkoa hatakiwi kuanzisha ujenzi wa ofisi za chama.
Kaona kamsifia, kumbe kaonesha udhaifu.
Unajuaje mimi siwezi kukuelewesha wewe zaidi na mimi ndiye wa kukuelewa wewe?Ni ngumu sana kutofautisha ccm na serikali..ndiomana tukisema tunataka katiba mpya muwe mnatuelewa.
#MaendeleoHayanaChama
Independent institution ni kwa nchi za watu wastaarabu siyo kwa wapumbqvu kama nyie!Ufikiri wa kipumbavu, na haya ndio matokeo ya elimu ya kipumbavu tunayopewa, hayo yote uliyoyasema yanaamuliwa na mahakama za kisheria, nitajie hata kesi moja ya drug iliyokwenda mahakamani?au maintenance court?,ule ulikua udikiteta uchwara, nchi inahitaji strong &independent institutions!
Makonda ndio alikuwa msimamizi wa kudhurumu haki za watu kuishi.Ulitakiwa utoe ishahidi! Sio unaedit vipicha vyako! Acha uongo wako
Ndio maana unatumia Infinix [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Magufuli oyeee
Makonda oyeee
Viongozi wazuri TU Ila makonda Nampa 67% uchapakazi
Magufuli Nampa 80%
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hawa watu sometimes wanaogopana ..... Kwa jinsi watu walivyopanda na kushuka na kupanda tena kwa muda wa miaka 6, watu wameaanza kuogopana ..... Yaani kwa jinsi alivyodhalilishwa na DOGO ni aibu kuja na sifa kama hizo. Angeweza kuuchuna tu na kuongelea ujenzi wa chama bila kutaja jina ......!!
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Daniel Chongolo amesema aliyekua Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda alifanya kazi kubwa wakati akiwa Mkuu wa mkoa ya kujenga Ofisi za Chama hicho Kinondoni na Kigamboni.
“Ni lazima tutambue kuwa aliyekuwa Mkuu wetu wa Mkoa wa Dar es salaam (Paul Makonda) alifanya kazi kubwa sana, tusiwe wanafiki, mnajua na ni lazima tuseme, yeye ndiye alianzisha ujenzi wa Ofisi hizi za Chama hapa Kigamboni na alifanya na Kinondoni, lazima tumpongeze” Daniel Chongolo, Katibu Mkuu wa CCM
My Take
Katibu mbona umemzungumzia upande mmoja tu. Waambie watu na upande mwingine, kama huna habari kazipate GSM, Clouds Media au kwa Kubenea. Hata wewe pia nimekuwekea video hapo juu jinsi ulivyoonja jeuri ya huyu kijana
Bashite ni kijana wao, He served in Magu's era for a purpose..
Alikuwa alambe mama akatahadhalishwaNa soon Dogo atalamba uteuzi...
Argue with your keyboard
Mengi alifanya kwaajili yakuern trust kutoka kwa late. Mengine aliyafanya kwaajili yakujijenga yeye mwenyewe.Purpose gani ya KUWA jambazi wa kudhurumu mali za watu? Je hicho ndio anachotaka Samia ahusishwe nacho? Bashite zero brain is a liability to any sane politician!
Acha uongo uwe huru!Makonda ndio alikuwa msimamizi wa kudhurumu haki za watu kuishi.
Rejea kauli zake za mara kwa mara za kutuhakikishia kurejeshwa kwa yoyote aliyetekwa kipindi Cha awamu ya mauwaji ya magufuri.