Zanzibar 2020 Katibu Mkuu CCM, Dkt. Bashiru ashangaa watu 12 kujitokeza kutaka urais Zanzibar, adai wengine wanatumika na mabeberu kutaka kuvuruga nchi yetu

Zanzibar 2020 Katibu Mkuu CCM, Dkt. Bashiru ashangaa watu 12 kujitokeza kutaka urais Zanzibar, adai wengine wanatumika na mabeberu kutaka kuvuruga nchi yetu

Katibu Mkuu wa CCM anaijua katiba ya nchi?

Katiba inawapa haki wananchi kuchagua na kuchaguliwa katika uongozi.

Katibu anatoa kauli hizi kwa ujinga tu, kwamba haijui katiba?

Au anatoa kauli hizi kwa ushenzi tu, kwa kutoiheshimu hiyo katiba?

Huyu mtu ana Ph.D ya Political Science, sidhani kwamba haijui katiba ya nchi.

Inaonekana haiheshimu tu.

Kama watu 12 ni wengi sana, idadi sahihi ni watu wangapi? 10? 5? 1?

Kwa nini?

Na hao wengine watakaokosa nafasi ya kugombea, haki yao ya kikatiba tutasema bado wanayo?
 
Katibu Mkuu wa CCM anaijua katiba ya nchi?

Katiba inawapa haki wananchi kuchagua na kuchaguliwa katika uongozi.

Katibu anatoa kauli hizi kwa ujinga tu, kwamba haijui katiba?

Au anatoa kauli hizi kwa ushenzi tu, kwa kutoiheshimu hiyo katiba?

Huyu mtu ana Ph.D ya Political Science, sidhani kwamba haijui katiba ya nchi.

Inaonekana haiheshimu tu.

Kama watu 12 ni wengi sana, idadi sahihi ni watu wangapi? 10? 5? 1?

Kwa nini?

Na hao wengine watakaokosa nafasi ya kugombea, haki yao ya kikatiba tutasema bado wanayo?
Chupa imeamka na chai
 
20150 JMT walijitokeza 38 bado JK. Kinana na Mangula walimpata JPM

Aache woga, wapo waliochukua kwa sabab za kulinda Mapinduz ya 1964
 
Walete demokrasia ya kweli kwenye uraisi wa JMT uone labda hadi sasa wangefikia 50.
 
Anasema 12 wakati watu wanacheza 20 huko ila wanajisumbua tu mzee maalim si muda mrefu atavichukua visiwa tu
 
Huyu jamaa ni MPUUZI sana. Sasa kwa UJUHA wake yeye alitaka wajitokeze wangapi? Huyo MPUMBAVU kuna kila sababu ya kufanyia UHAKIKI elimu yake kwani msomi hawezi KUROPOKA ujinga kiasi hiki.

Katibu mkuu wa CCM ashangaa watu ama wanachama 12 kujitoleza ndani ya CCM kuutaka urais.

Anashangaa nafasi ni 1 ya urais watu 12 wanatafta nini? Awatuhumu wengine kua wanatumwa na mabeberu kuvuruga chama na kuleta mvurugano nchini.

Anasema hao wanachama wa CCM 12 wanaoutaka urais wanataka kuvunja umoja wa Chama cha Mapinduzi.

Msikilize hapa.

 
Katibu mkuu wa CCM ashangaa watu ama wanachama 12 kujitoleza ndani ya CCM kuutaka urais.

Anashangaa nafasi ni 1 ya urais watu 12 wanatafta nini? Awatuhumu wengine kua wanatumwa na mabeberu kuvuruga chama na kuleta mvurugano nchini.

Anasema hao wanachama wa CCM 12 wanaoutaka urais wanataka kuvunja umoja wa Chama cha Mapinduzi.

Msikilize hapa.


Hahaha hii inathibitisha kwamba hata bara watia nia ni wengi wanatishwa na yeye mtoa form na mwenyekiti wake.
Kila mwana ccm anayo haki kugombea nafasi yoyote, vikao halali vitachuja.
 
Back
Top Bottom