Zanzibar 2020 Katibu Mkuu CCM, Dkt. Bashiru ashangaa watu 12 kujitokeza kutaka urais Zanzibar, adai wengine wanatumika na mabeberu kutaka kuvuruga nchi yetu

Zanzibar 2020 Katibu Mkuu CCM, Dkt. Bashiru ashangaa watu 12 kujitokeza kutaka urais Zanzibar, adai wengine wanatumika na mabeberu kutaka kuvuruga nchi yetu

Katibu mkuu wa CCM ashangaa watu ama wanachama 12 kujitokeza ndani ya CCM kuutaka urais.

Anashangaa nafasi ni 1 ya urais watu 12 wanatafta nini? Awatuhumu wengine kua wanatumwa na mabeberu kuvuruga chama na kuleta mvurugano nchini.

Anasema hao wanachama wa CCM 12 wanaoutaka urais wanataka kuvunja umoja wa Chama cha Mapinduzi.

Msikilize hapa.


Naombeni mnielemishe tofauti ya Beberu na Mhisani!
 
Huyu Bashiru ni Professor wa ajabu sana, huo si ndivyo mchakato ulivyo. Wakati wa Awamu ya nne katika mchakato aliopatikana Magufuli, waliochukua fomu walikuwa wengi, hatukumsikia KINANA akipiga kelele au akilalamika, walizipokea fomu zote na kuzipeleka kwenye kikao. Au hiyo ni kutaka kuhakikisha hawapokei fomu za wagombea bara zaidi ya fomu ya Magufuli.
 
Katibu mkuu wa CCM ashangaa watu ama wanachama 12 kujitokeza ndani ya CCM kuutaka urais.

Anashangaa nafasi ni 1 ya urais watu 12 wanatafta nini? Awatuhumu wengine kua wanatumwa na mabeberu kuvuruga chama na kuleta mvurugano nchini.

Anasema hao wanachama wa CCM 12 wanaoutaka urais wanataka kuvunja umoja wa Chama cha Mapinduzi.

Msikilize hapa.


Kwani wamekiuka katiba?
 
Aliefurahisha ni huyu mzee anaetaka kujaribu bahati yake kule alikopelekaga mboga![emoji16][emoji16][emoji16]
EbGeE1BWsAMj2vq.jpg
 
Huyu dokta anatetemeka nini, kwani haijui demokrasia?

Kumbe pamoja na ujuaji wao wanaogopa makundi, lazima yawapasue tu, na kwenye ubunge ndio itakuwa balaa zaidi, si walifurahia kununua wanadamu wenzao kama mbuzi huku wakichekelea, sasa wajiandae kwa malipo.

Kama kuna kipindi atachanganyikiwa basi ni hiki,atapata moto kuliko kipindi cha hapa nyuma alipokuwa akitishia kujiuzulu. Aendelee kushangaa hivyo hivyo sababu ya CCM ye hayajui kwani ni lini yeye aliwahi kuwa mwanaCCM?

Kilichokuwa kinaiokoa CCM miaka yote ni kuwepo kwa miamba mikubwa mingi ambapo hata wavutane kiasi gani kipindi cha mvutano kikipita wanarudi mezani kuunga juhudi, lakini sio kwa upuuzi ambao umekuwa ukiendelea tangu 2015, watu wamenyang’anywa uwezo wamekaa kimya mioyo ikifukuta, ngoja tuone itakuwaje!
 
Kama kuna kipindi atachanganyikiwa basi ni hiki,atapata moto kuliko kipindi cha hapa nyuma alipokuwa akitishia kujiuzulu. Aendelee kushangaa hivyo hivyo sababu ya CCM ye hayajui kwani ni lini yeye aliwahi kuwa mwanaCCM?

Kilichokuwa kinaiokoa CCM miaka yote ni kuwepo kwa miamba mikubwa mingi ambapo hata wavutane kiasi gani kipindi cha mvutano kikipita wanarudi mezani kuunga juhudi, lakini sio kwa upuuzi ambao umekuwa ukiendelea tangu 2015, watu wamenyang’anywa uwezo wamekaa kimya mioyo ikifukuta, ngoja tuone itakuwaje!
Na sasa mwenyekiti kasema inategemea siku hiyo ameamkaje
 
Katibu mkuu wa CCM ashangaa watu ama wanachama 12 kujitokeza ndani ya CCM kuutaka urais.

Anashangaa nafasi ni 1 ya urais watu 12 wanatafta nini? Awatuhumu wengine kua wanatumwa na mabeberu kuvuruga chama na kuleta mvurugano nchini.

Anasema hao wanachama wa CCM 12 wanaoutaka urais wanataka kuvunja umoja wa Chama cha Mapinduzi.

Msikilize hapa.


Duh je amesahau kuwa mwaka 2015 walijitokeza wagombea 38 upande wa bara ??
 
Jecha amewavuruga ccm hata hawajui wanachoongea, hawaamin wanachokiona
 
1. Jecha ameamua kuwakomesha (anataka deal) kwa sababu hawakurudisha hisani baada ya kuwaondolea dhahama ya Maalim Seif 2015.
2. Hussein Mwinyi hakubaliki Zanzibar licha ya kuonekana anabebwa kuwa Makamu II kisha aje kugombea urais wa Muungano 2025.
3. Profesa Mbarawa anayeandaliwa na JPM kuwa Rais wa Zanzibar hakubaliki huko kwa kuwa hana base ya kisiasa Zanzibar.
4. Hao wengine wana-protest mipango ya utawala wa Magufuli kutaka ku-impose surrogate president kisiwani Zanzibar.

Hii ina make sense.
 
Kumbe ndiyo maana ametengeneza form moja tu?
Katibu mkuu wa CCM ashangaa watu ama wanachama 12 kujitokeza ndani ya CCM kuutaka urais.

Anashangaa nafasi ni 1 ya urais watu 12 wanatafta nini? Awatuhumu wengine kua wanatumwa na mabeberu kuvuruga chama na kuleta mvurugano nchini.

Anasema hao wanachama wa CCM 12 wanaoutaka urais wanataka kuvunja umoja wa Chama cha Mapinduzi.

Msikilize hapa.

 
Back
Top Bottom