Asiye na Chama
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 1,269
- 653
Naombeni mnielemishe tofauti ya Beberu na Mhisani!Katibu mkuu wa CCM ashangaa watu ama wanachama 12 kujitokeza ndani ya CCM kuutaka urais.
Anashangaa nafasi ni 1 ya urais watu 12 wanatafta nini? Awatuhumu wengine kua wanatumwa na mabeberu kuvuruga chama na kuleta mvurugano nchini.
Anasema hao wanachama wa CCM 12 wanaoutaka urais wanataka kuvunja umoja wa Chama cha Mapinduzi.
Msikilize hapa.
Hahaha sasa wasiwasi wa nini, asubirie muda wa kuwakata na awakate aweke amtakaye.Hakuna cha vikao halali huko ccm! Watu wanakuja na majina yao mfukoni
Na sasa hivi Magufuli kasema inategemea ameamkaje siku hiyo! Anaweza akamtoa mshindi wa kwanza akamuweka wa tatu.Hahaha sasa wasiwasi wa nini, asubirie muda wa kuwakata na awakate aweke amtakaye.
Kwani wamekiuka katiba?Katibu mkuu wa CCM ashangaa watu ama wanachama 12 kujitokeza ndani ya CCM kuutaka urais.
Anashangaa nafasi ni 1 ya urais watu 12 wanatafta nini? Awatuhumu wengine kua wanatumwa na mabeberu kuvuruga chama na kuleta mvurugano nchini.
Anasema hao wanachama wa CCM 12 wanaoutaka urais wanataka kuvunja umoja wa Chama cha Mapinduzi.
Msikilize hapa.
Hahaha au akamtoa mshindi wa kwanza na asimuweke yeyote, mpaka atakapojisikia amteue nani kuwa rais wa Zanzibar!.Na sasa hivi Magufuli kasema inategemea ameamkaje siku hiyo! Anaweza akamtoa mshindi wa kwanza akamuweka wa tatu.
Huyu dokta anatetemeka nini, kwani haijui demokrasia?
Kumbe pamoja na ujuaji wao wanaogopa makundi, lazima yawapasue tu, na kwenye ubunge ndio itakuwa balaa zaidi, si walifurahia kununua wanadamu wenzao kama mbuzi huku wakichekelea, sasa wajiandae kwa malipo.
Na sasa mwenyekiti kasema inategemea siku hiyo ameamkajeKama kuna kipindi atachanganyikiwa basi ni hiki,atapata moto kuliko kipindi cha hapa nyuma alipokuwa akitishia kujiuzulu. Aendelee kushangaa hivyo hivyo sababu ya CCM ye hayajui kwani ni lini yeye aliwahi kuwa mwanaCCM?
Kilichokuwa kinaiokoa CCM miaka yote ni kuwepo kwa miamba mikubwa mingi ambapo hata wavutane kiasi gani kipindi cha mvutano kikipita wanarudi mezani kuunga juhudi, lakini sio kwa upuuzi ambao umekuwa ukiendelea tangu 2015, watu wamenyangβanywa uwezo wamekaa kimya mioyo ikifukuta, ngoja tuone itakuwaje!
Duh je amesahau kuwa mwaka 2015 walijitokeza wagombea 38 upande wa bara ??Katibu mkuu wa CCM ashangaa watu ama wanachama 12 kujitokeza ndani ya CCM kuutaka urais.
Anashangaa nafasi ni 1 ya urais watu 12 wanatafta nini? Awatuhumu wengine kua wanatumwa na mabeberu kuvuruga chama na kuleta mvurugano nchini.
Anasema hao wanachama wa CCM 12 wanaoutaka urais wanataka kuvunja umoja wa Chama cha Mapinduzi.
Msikilize hapa.
1. Jecha ameamua kuwakomesha (anataka deal) kwa sababu hawakurudisha hisani baada ya kuwaondolea dhahama ya Maalim Seif 2015.
2. Hussein Mwinyi hakubaliki Zanzibar licha ya kuonekana anabebwa kuwa Makamu II kisha aje kugombea urais wa Muungano 2025.
3. Profesa Mbarawa anayeandaliwa na JPM kuwa Rais wa Zanzibar hakubaliki huko kwa kuwa hana base ya kisiasa Zanzibar.
4. Hao wengine wana-protest mipango ya utawala wa Magufuli kutaka ku-impose surrogate president kisiwani Zanzibar.
ππ½ββοΈππ½ββοΈNa jina lake ni la kiislamu ni Aboubakari Makonda. Utaambiwa jina la Makonda alipewa baada ya kubatizwa
Katibu mkuu wa CCM ashangaa watu ama wanachama 12 kujitokeza ndani ya CCM kuutaka urais.
Anashangaa nafasi ni 1 ya urais watu 12 wanatafta nini? Awatuhumu wengine kua wanatumwa na mabeberu kuvuruga chama na kuleta mvurugano nchini.
Anasema hao wanachama wa CCM 12 wanaoutaka urais wanataka kuvunja umoja wa Chama cha Mapinduzi.
Msikilize hapa.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Magufuli akiamka vibaya siku ya mchujo anawafuta wote hao, anaweka jina la anayemtaka