nkanga chief
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 2,084
- 1,622
Katibu mkuu CCM taifa Kinana anatarajia kujiuzulu mwezi Novemba mwaka huu ambapo mkutano mkuu wa NEC taifa utakaa amesema hayo kufatana na kutoridhishwa na mwenendo wanaofanyika ndani ya chama kutomridhisha.
Alisema muda wingi amekuwa akitoa ushauri lakini haufanyiwi kazi amedai kuwa kuna matatizo mengi ameyafikisha kwenye serikali likiwepo la kusimamishwa ajira waajiriwa wapya walioajiriwa May 2016 lakini halijafanyiwa kazi alidai ameiomba serikali kutatua hatima ya hawa wahanga lakini haijafanya hivyo alisema na migogoro ya watumishi wa umma kuhusu madai hayo na matatizo mbalimbali ambayo jamii inakabiliwa bado hayatekelezwi amedai na amesema hayo ameomba kuachia ngazi ili kuwapa nafasi wengine wajaribu kuongoza hicho chama cha ccm.
Chanzo: Mwanahalisi
Alisema muda wingi amekuwa akitoa ushauri lakini haufanyiwi kazi amedai kuwa kuna matatizo mengi ameyafikisha kwenye serikali likiwepo la kusimamishwa ajira waajiriwa wapya walioajiriwa May 2016 lakini halijafanyiwa kazi alidai ameiomba serikali kutatua hatima ya hawa wahanga lakini haijafanya hivyo alisema na migogoro ya watumishi wa umma kuhusu madai hayo na matatizo mbalimbali ambayo jamii inakabiliwa bado hayatekelezwi amedai na amesema hayo ameomba kuachia ngazi ili kuwapa nafasi wengine wajaribu kuongoza hicho chama cha ccm.
Chanzo: Mwanahalisi