Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
i think soWhat happen to Brother Kinana the kingmaker inamaanisha Serikali ya awamu ya tano haitekelezi ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2015.
ww na lizaboni huwa wazee wa kukanusha lete evidence kuwa ni za uongoIzo habari za uongo tu hakuna kitu kama icho hao mwanahalisi ni wanafiki tu
Nyie wamachame mtasubiri sana na lichama lenu hilo.natamani lichama Lao life hata sasa hivi
Tatizo malaika hana skills za uongozi yeye anajua kua mbabe na kukomoa watu,amri amri ndio uongozi.acha wamwache peke yake.Duuuuh, hatare...
Nakumbuka kwenye ile ziara ya mheshimiwa aliyoifanya pale lumumba hivi karibuni kwenye vyombo vya habari vya chama mtu nzima kinana alikuwa akipelekeshwa mbaya kabisa sasa kaona isiwe tabu..
[emoji23] [emoji23] [emoji2] team lizaboniMashinji na Lowassa HAPATOSHI, atishia kujiuzulu kwa madai hajui nani ni bosi wake kwenye chama kwa sasa!
Ukiwa fisadi na mtu wa madili, uwe mbali na JPM. Mwenye macho ambiwi tazama.What I have learnt, ni vigumu sana kufanya kazi na huyu msukuma.
team lumumbaUkiwa fisadi na mtu wa madili, uwe mbali na JPM. Mwenye macho ambiwi tazama.
Amri amri,ubishi,ubabe,kutesa wananchi,kuzuia ajira kwa vijana,kudharau wenzako,kutaka watu wakuogope na kukusujudu na kukimbilia ndege havina nafasi ktk dunia ya leo.hayo ayafanye ktk familia tu.atabaki yy tu aanze kulalamika anahujumiwa mambo hayaendi.Ukiwa fisadi na mtu wa madili, uwe mbali na JPM. Mwenye macho ambiwi tazama.
mmeanza kuja wazee wa lumumba watoto wa lizaboniHalafu gazeti kama hili likifungiwa kwa uongo na uzushi kama huu litasema limeonewa?
Nape Kazi kwako limejileta lenyewe kwenye mdomo wa mamba