Tetesi: Katibu Mkuu CCM, Kinana kujiuzulu Novemba 2016?

Tetesi: Katibu Mkuu CCM, Kinana kujiuzulu Novemba 2016?

Status
Not open for further replies.
Ni vizuri kupokezana vijiti sidhani kama CCM ni mtu
 
Habari za uhakika kutoka ndani ya CCM ni kwamba hakuna ugomvi wala mvutano wowote kati ya Kinana na Rais Magufuli. Na kwamba kinachofanyika hivi sasa ni kile kinachofananishwa na tabia ya fisi ya kuvizia mkono wa binadamu uchomoke ili apate kitoweo, jambo ambalo abadan halitakuja kutokea kamwe. Kwa wasiojua ni kwamba gazeti la MwanaHalisi linamilikiwa na mbunge wa Chadema Ubungo Saed Kubenea. Wakiandika Kuwa CCM kumetulia na kuna amani basi hilo gazeti litakuwa limepoteza sifa ya Kumilikiwa na mbunge wa Chadema. Naamin ndoto hiyo ni ya msimu.
 
Habari za uhakika kutoka ndani ya CCM ni kwamba hakuna ugomvi wala mvutano wowote kati ya Kinana na Rais Magufuli. Na kwamba kinachofanyika hivi sasa ni kile kinachofananishwa na tabia ya fisi ya kuvizia mkono wa binadamu uchomoke ili apate kitoweo, jambo ambalo abadan halitakuja kutokea kamwe. Kwa wasiojua ni kwamba gazeti la MwanaHalisi linamilikiwa na mbunge wa Chadema Ubungo Saed Kubenea. Wakiandika Kuwa CCM kumetulia na kuna amani basi hilo gazeti litakuwa limepoteza sifa ya Kumilikiwa na mbunge wa Chadema. Naamin ndoto hiyo ni ya msimu.
acha zako ww wa lumumba lisemwalo lipo
 
ww kada wa ccm??
Hizo Habari na za kizushi
Gazeti lenyewe kwanza MWANAHALISI (mtu kamwagiwa tindikali halafu kaenda tibiwa bure ni shukrani gani anataka,,,)
Huwezi achia pepo halafu ukarudi Uraiani muulizeni Mangula.
Kinana ni mpaka 2017 Novemba atakapomaliza kupanga safu zote kuanzia matawi mpaka Taifa.
kwa sasa muda wa siasa umeisha hata Ole Sendeka anajua na kapumzika.
mpelekeeni Mwanahalisi kuwa hilo chama kubwa ni zaidi ya miaka 10 ijayo kutetereka
labda ACT wanaweza sigea lakini hawa wagonjwa wengine wapo ICU
 
Magu awezi kukataa ushauri wa chama ilo gazeti lengo lake n kutaka kuwa chonganisha kiongozi yoyote awezi kukipinga chama chake kwa kuwa ndio kina cho muweka madarakani pia kinana ana heshima ya pekee na amesaidia sana kurudisha imani kwa wana nchi kuhusiana na ccm pia nchi yetu inaongozwa na serikali ya chama cha mapinduzi ivyo awawezi kuumiza wananchi mwana halisi n waongo
 
mengi yanakuja subirini muone naskia hata yule masai mpiga domo wao nae yuko mbioni.....
Yuko mbioni kufanyaje Kujiudhulu? AAAAH WAPI mtu anaefikiri kwa kutumia Utumbo itakuwaje kwake kujiudhuru
 
Kujiuzuru sio kitu cha mchezo....hakuna anayeweza kujiuzuru ccm ....familia itakula nn
 
Hizo Habari na za kizushi
Gazeti lenyewe kwanza MWANAHALISI (mtu kamwagiwa tindikali halafu kaenda tibiwa bure ni shukrani gani anataka,,,)
Huwezi achia pepo halafu ukarudi Uraiani muulizeni Mangula.
Kinana ni mpaka 2017 Novemba atakapomaliza kupanga safu zote kuanzia matawi mpaka Taifa.
kwa sasa muda wa siasa umeisha hata Ole Sendeka anajua na kapumzika.
mpelekeeni Mwanahalisi kuwa hilo chama kubwa ni zaidi ya miaka 10 ijayo kutetereka
labda ACT wanaweza sigea lakini hawa wagonjwa wengine wapo ICU
mzee wa lumumbaaaa
 
Kinana hatojiudhuru.ni sawa na fisi anayesubiri mkono wa mtu uanguke.
 
HILO GAZETI SIO LA KUAMINI HATA NUKTA MOJA,HABARI ZAKE ANAZODAI NI ZA UCHUNGUZI NI ZA KUTUNGA TUNGA TU,BORA WAANDIKEGE HABARI ZA PRESS ZA ALISEMA ALISEMA TU
 
Kinana ameona mambo hayaeleweki na anajua yakiharibika zaidi zigo lote la lawama litamuangukia yeye.
 
Labda nae atarudi baadae kwa baraka za msajili
 
HILO GAZETI SIO LA KUAMINI HATA NUKTA MOJA,HABARI ZAKE ANAZODAI NI ZA UCHUNGUZI NI ZA KUTUNGA TUNGA TU,BORA WAANDIKEGE HABARI ZA PRESS ZA ALISEMA ALISEMA TU
lumumba italea watoto wako acha ukoloni wa akili
 
Katibu mkuu CCM taifa Kinana anatarajia kujiuzulu mwezi Novemba mwaka huu ambapo mkutano mkuu wa NEC taifa utakaa amesema hayo kufatana na kutoridhishwa na mwenendo wanaofanyika ndani ya chama kutomridhisha.

Alisema muda wingi amekuwa akitoa ushauri lakini haufanyiwi kazi amedai kuwa kuna matatizo mengi ameyafikisha kwenye serikali likiwepo la kusimamishwa ajira waajiriwa wapya walioajiriwa May 2016 lakini halijafanyiwa kazi alidai ameiomba serikali kutatua hatima ya hawa wahanga lakini haijafanya hivyo alisema na migogoro ya watumishi wa umma kuhusu madai hayo na matatizo mbalimbali ambayo jamii inakabiliwa bado hayatekelezwi amedai na amesema hayo ameomba kuachia ngazi ili kuwapa nafasi wengine wajaribu kuongoza hicho chama cha ccm.

Chanzo: Mwanahalisi
dcdb0ef5e5f3ebe3f460df9df758a7af.jpg
Rais Magufuli go hakuna kugeuka nyuma usijekuwa jiwe la chumvi sauti za kukubeza, kukuzomea, kukusengenya zitakuwa nyingi tena zitaongezeka kadri siku sitakapo kwenda lakini nakusihi kamwe usigeuke nyuma huko kuna walaghali, wafilisi, mafisadi, wenye jicho la husda wabinafsi wenye roho mbaya wahujumu uchumi songa mbele kwenye nchi ya ahadi na Mungu atakutangulia amini hivyo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom