Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
.....
.....Mungu ameshuka kuwakombowa watu wake
.....Mungu ameshuka kuwakombowa watu wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] safari ya wana wa israel.....
.....Mungu ameshuka kuwakombowa watu wake
mkuu sina fikra hizo,ila gazeti hilo ukikumbuka miaka kadhaa iliyopita lilitulisha sumu watanzania juu ya mzee lowassa na hilo hilo likaja kuandika mengine na tofauti ya yale waliyoyaandika mwaka 2007,08,lumumba italea watoto wako acha ukoloni wa akili
.....[emoji23] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] safari ya wana wa israel
lisemwalo lipomkuu sina fikra hizo,ila gazeti hilo ukikumbuka miaka kadhaa iliyopita lilitulisha sumu watanzania juu ya mzee lowassa na hilo hilo likaja kuandika mengine na tofauti ya yale waliyoyaandika mwaka 2007,08,
gazeti pekee la kusoma hapa tz na kuamini wanachokiandika japo hata kwa asilimia 60 ni mwananchi,likifuatiwa na jambo leo,mtanzania na nipashe tu,mengine yote hayo yamejaa uzandiki na unafki wa kisiasa
sio kwa gazeti hilo lenye mihemko kila baada ya nuktalisemwalo lipo
ww kada wa ccm??
KM kapunguzwa makali...alitaka kumfunika boss wake.Tatizo la Kinana ni uchapa kazi
Tatizo la mwenyekiti ni infiriority complex ya kuogopa kufunikwa
....Ila jamani kusema ule ukweli kabisa Kinana ni kiongozi mzuri basi tu...
Ana busara hakurupuki.anafuata utaratibu,sio kuongea maneno meeeengi mpk tushamchoka sasa.Kinana alishawahi kusema sio sahihi kuita watoto wetu vilazza na pia ule mgogoro wa sukari alitia neno
Hivyo naimani sio mtu wa kuyumbishwa wala kuogopa chochote
Besides alishataka kuachia ngazi ila wao ndio wakamng'ang'ania
....lisemwalo lipo
Mimi sio ccm lakini ukweli utabaki kuwa hivyo kwa jinsi hii nchi ilivyokuwa imefikia mahali kubaya hata angeshuka malaika bado mngemwona ni mlaghai kuna watu walikuwa wakiishi kama wao ndio Mungu aliowakabidhi hii nchi na familia zao tu wengine tuliishi kama wakiwa tusie na mahali pa kusaidiwa matatizo yetu hii nchi ilifika mahala ukienda ofisi za serikali kutaka huduma ambayo ni haki yetu mtu ulikuwa ukikaripiwa kama mtoto mdogo tena wengine wakitoa lugha chafu na kuonyesha dharau kama vile umeenda kumwomba akuongezee damu ya kukuongezea siku za kuishi,mawazo uchwara hayoooooo
Mimi sio ccm lakini ukweli utabaki kuwa hivyo kwa jinsi hii nchi ilivyokuwa imefikia mahali kubaya hata angeshuka malaika bado mngemwona ni mlaghai kuna watu walikuwa wakiishi kama wao ndio Mungu aliowakabidhi hii nchi na familia zao tu wengine tuliishi kama wakiwa tusie na mahali pa kusaidiwa matatizo yetu hii nchi ilifika mahala ukienda ofisi za serikali kutaka huduma ambayo ni haki yetu mtu ulikuwa ukikaripiwa kama mtoto mdogo tena wengine wakitoa lugha chafu na kuonyesha dharau kama vile umeenda kumwomba akuongezee damu ya kukuongezea siku za kuishi,mawazo uchwara hayoooooo
....Ana busara hakurupuki.anafuata utaratibu,sio kuongea maneno meeeengi mpk tushamchoka sasa.
Lukuvi mwenyewe wameshamvuruga na issue za mkewe ATCL...kinana ni mtu wa utaratibu,na akiondoka huyo ambaye ndiye muhimili uliobaki wa chama,nina imani ccm itayumba,mtu pekee.anayepamudu hapo ni lukuvi
....Lukuvi mwenyewe wameshamvuruga na issue za mkewe ATCL...