Kama kaiba aelewe tu, hakuna dhulma inayoshinda.Ni mpuuzi, anadhani kama alikua na ubabe wake kwa waliokua chini yake ndio utafanya kazi kila sehemu??
Kwa namna yoyote hii game haitaisha vizuri upande wake...
Kuiba kaiba, haina ubishi, anachotafta ni kufukuliwa makaburi..
Lakini hata wakiamua wamkomeshe kibabe pia hawashindi.
Lazima uheshimu mamlaka, nenda nchi yoyote Ile hii kitu ipo tu.Ndiyo hiyo. Ila ni vizuri ili watu wazidi kujifunza na kuacha kuwa vibaraka wa serikali. Hivi vyama vya wafanyakazi badala ya kutetea wafanyakazi viongozi wake wamegeuka vibaraka wa serikali. Hakika kila mtu ataonja balaa la utawala huu mbovu, unaokomoa kila mtu anayekwenda kinyume nao mpaka tujikubali kuwa tatizo ni CCM na tuungane kuiondoa.
Soon CAG atakuja na ripoti nzito dhidi ya matumizi mabaya ya ofisi, na uhujumu uchumi. Ajiandae Kwa mawakili wa kumtetea, takukuru, tra watakuwa kwake kila kukicha. Kwa kifupi hana pakutokea huyo.Huyu Sio kama hajui, ameamua kujifukuzisha kazi analijua hilo, na hata hao viongozi wanajua,
Issues ni kwamba Jee wataishia hapo?
Tz imelaaniwa tangu lini!? Acha makasiriko na upotoshaji usio na maanaMbona huyo Dinna waliyegoma naye kwenda kuapishwa yeye haadhibiwi? Hii ni double standard. Nchi ya kipuuzi sana hii inayopenda kulipiza kisasi ndio maana imelaaniwa kwa sababu za kishetani kama hizi.
Serikali gani ya kuitega, hii ambayo ni mwendo tu wa vimemo, subiri uone anavyotaka kutolewa kamasi Tena ni SukumaGang, Nape lazima acheze naye huyu kwanza kwenye mediaSasa akama amekataa uteuzi kwa sababu hiyo na amegoma kwenda kazini adhabu yake auawe au afukuzwe kazi? Hebu tuambie sheria za kazi zinasemaje? Kutorudi kazini kwa mujibu wa sheria kuna uhusiano gani na ung'ombe wake na maokoto ya CWT?
Ameishajua mahali serikali walikosea naye anawatega wamfute kazi awaburuze mahakamani. Uidhani yeye bwege kama yalivyo mabwege ya CCM.
Mwacheni Mwl..acheni kutia Aibu...Ndiyo ufanyike uchunguzo ijulikane analo au hana kosa.
Mpuuzi kweli ww..Serikali gani ya kuitega, hii ambayo ni mwendo tu wa vimemo, subiri uone anavyotaka kutolewa kamasi Tena ni SukumaGang, Nape lazima acheze naye huyu kwanza kwenye media
Aanze kwanza na hizi Bilioni 75...Soon CAG atakuja na ripoti nzito dhidi ya matumizi mabaya ya ofisi, na uhujumu uchumi. Ajiandae Kwa mawakili wa kumtetea, takukuru, tra watakuwa kwake kila kukicha. Kwa kifupi hana pakutokea huyo.
Haya maneno ya "hamna kitu mtamfanya" yamewaponza wengi sana, mmoja wapo yule mchungaji wa Mbeya, mliitukana Govt na kusema Haina kitu itafanya naye akajaa ujinga, Sasa hivi huyoo kala mvua tatu mmepiga kelele siku mbili tu mnaendelea na maisha yenu uraiani wakati mwenzenu yupo ndani.Mpuuzi kweli ww..
Hamna kitu mtamfanya.
Siku tano zikishapita hujang'aa kituoni umejifuta kazi..
Mnahangaika nini naye!??
Si ndiyo tunadili nayo hivyo. Au huelewi kuwa huyu ni lazima achunguzwe kwa kuifilisi nchi?Mwacheni Mwl..acheni kutia Aibu...
Dilini na mambo yenu ya aibu kuifilisi nchi..
Bilioni 75 mlizopiga kipumbavu zinawaondolea uhalali wowote wa kusimamia raia wa nchi hii.
Sasa akama amekataa uteuzi kwa sababu hiyo na amegoma kwenda kazini adhabu yake auawe au afukuzwe kazi? Hebu tuambie sheria za kazi zinasemaje? Kutorudi kazini kwa mujibu wa sheria kuna uhusiano gani na ung'ombe wake na maokoto ya CWT?
Ameishajua mahali serikali walikosea naye anawatega wamfute kazi awaburuze mahakamani. Uidhani yeye bwege kama yalivyo mabwege ya CCM.
Manyovu hukooo Bujumbura Masaa mawili tuAkirudi ana kuta barua mezani ya uhamisho kwenda swekeni kama sio tukuyu Au huko nkasi basi mabamba mpakani na burundi [emoji23][emoji23][emoji23]
kwahio mnamkomoaHuyo inatakiwa wasiishie hapo, awe mfano kwa wengine wenye tabia kama zake.
Ila ni kweli nchi ina watu wapumbavu hii!!Nafikiri sheria za utumishi wa umma, usiporejea kazini ndani ya saa 72 bila ruhusa unakuwa umejifukuzisha kazi. Hapo hakuna haja ya kupoteza hela ya walipa kodi kuanza kumzungumzia mtumishi wakati Sheria zipo straight. Afukuzwe kazi serikalini basi
Hahaha eti mabamba 😂mabamba