TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

Umeandika kwa upole sana
 
Mungu amlaze kwema, Kama taifa tunapita pagumu kidogo lakini si punde tutavuka Hali ya kua tupo na uzima.
 
Huyu alilazwa na Diwani tatizo la kupumua (Corona) sasa sijui Kipara ana hali gani na ile betri yake
Cabinet nzima wengi wameupata.

Hao wanaokufa jua imeshindikana kweli, tatizo lao wanataka mfurahisha mtu.
Mungu hajaribiwi
 
Sasa mmeanza kuamini njia za kisayansi badala ya nyungu?
 
Tulikuwa case study kwa dunia jinsi tulivyoishi na huyu mdudu 2020, naona tena tumerudia kuwa case study kama taifa linalovuna lilichokipanda 2021🤔🤔

Tukaze tu mikanda, billgate alijua huyu mdudu n hatari kiasi gan ndo mana alisema tutakuwa tunaokota maiti. Watu waliomwelewa wakaweka mikakati ili kujikinga but sisi tukapuuza, hili ndo litakalotokea tusipo kuwa care😪😪
 
Kujilinda ni jukumu la mtu binafsi. Ina maana huna sabuni? Huna uwezo wa kununua barakoa ya 500? Huwezi kuweka distance kati yako na mtu mwingine? Unataka Rais akushikie kiboko kufanya hayo? Embu tuwe serious kidogo jamani.
..wananchi watavaa vipi barakoa wakati bwana mkubwa anazikejeli, mpaka anasema zinafanana na matiti ya kina mama?
 
Firauni wa misiri alikua na roho ngumu licha ya kuona miujiza yote mungu aliyokua anaitenda kupitia musa, mpaka pale mwenyezi mungu alipoamua kuumpa pigo kali na la mwisho la kuchukua uzao wa kwanza katika familia za wamisiri.

Itoshe tu kusema kuna viongozi wana roho ngumu Kama za farao wanadhani haya mambo yatapita tu bila kuchukua hatua yoyote, sasa haya ndio matokeo yake mficha ugonjwa kifo umuhumbua
 
Naona comments nyingi humu ni ushabiki na bendera fuata upepo.
1. Wote tunakumbuka jinsi mwaka Jana tulivyo pambana pamoja tulishinda
2. Rais kwa kinywa chake kesha sema tuchukue tahadhari zote, hata wizara ya afya imetoa muongozo, kosa la serikali liko wapi
3. Tukumbuke hii ni new variant, je nani kaleta? Is it only for Africa?
Hebu tuchukue tahadhari tukiwa tunajiuliza maswali.
Hata huko kwenye chanjo bado wanakufa in large numbers
Tuache kulaumu Rais bana. Huo ni ushamba
 
Kuhusu mikakati ulishausema na kuandika hapa

Andika tena ushauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…