Pole Rais Magufuli na familia yote ya Kijazi. Tetesi za Kijazi na Dr. Mpango kuwa wanaugua Covid-19 zimekuwepo kwa siku kadhaa sasa; Ina maana corona imeingia Ikulu. Rais Magufuli anahitaji kuangalia mkakati wake kwani coronavirus haina heshima na haitakoma hadi idhibitiwe kisayansi.
Sichungi. Watanzania wanakufa kwa uzembe wa viongozi.tulishindwa nini kuchukua tahadhari tangu mapema? Nyie ccm mtabeba lawama za vifo vya watanzania.Hii Kauli sio nzuri kaka. Chunga sana kinywa chako.
Ndio maana yake usiku wa leo Mh. Magufuli atalia sana sidhani kama atalala usiku wa leo..
Cabinet nzima wengi wameupata.Huyu alilazwa na Diwani tatizo la kupumua (Corona) sasa sijui Kipara ana hali gani na ile betri yake
Tanzania tumepatikana aisee,Jamani turudie njia za kisayansi
Cabinet nzima wengi wameupata.Huyu alilazwa na Diwani tatizo la kupumua (Corona) sasa sijui Kipara ana hali gani na ile betri yake
Sasa mmeanza kuamini njia za kisayansi badala ya nyungu?Pole Rais Magufuli na familia yote ya Kijazi. Tetesi za Kijazi na Dr. Mpango kuwa wanaugua Covid-19 zimekuwepo kwa siku kadhaa sasa; Ina maana corona imeingia Ikulu. Rais Magufuli anahitaji kuangalia mkakati wake kwani coronavirus haina heshima na haitakoma hadi idhibitiwe kisayansi.
Tumkaribie Mungu zaidi! Naomba Mungu azidi kuilinda nchi yetu Tanzania na watu wake, ktk jina lipitalo majina yote, Yesu Kristo, amen!Tanzania tumepatikana aisee,Jamani turudie njia za kisayansi
Unataka mpaka Serikali ikwambie.!!?? Acha utahira hiyo elimu uliyo nayo inakusaidia nn hasa?
unaweza kukimbia kivuli chako?Atakuwa anachanja mbuga saa hizi mbio kwenda kujificha chato kitovuni.
Hakika mkuu. Rais kua na misimamo ya kijinga hivi ni hatariiiii sanaaKenge hasikii hadi apasuke masikio
Tulikuwa case study kwa dunia jinsi tulivyoishi na huyu mdudu 2020, naona tena tumerudia kuwa case study kama taifa linalovuna lilichokipanda 2021🤔🤔Inashtua inatisha. Jamani sisi siyo wajuvi kuliko Dunia nzima.
Tukiri tulifanya makosa, tuwaombe wenzetu waliopitia hii hali, wana uzoefu. Watusaidie. Kuna siku itafiki hata waliosalia watageuka vichaa kwa kuchanganyikiwa.
Corona ni hatari, ni rahisi kama tulivyodhani. Haiwezekani watu wote wasiwe na akili, waogope kisichoogopesha.
Nina hakika hakuna palipo na amani kwa sasa, si ikulu, si jeshini, si mahali popote. Kila mahali ni hofu tupu.
..wananchi watavaa vipi barakoa wakati bwana mkubwa anazikejeli, mpaka anasema zinafanana na matiti ya kina mama?Kujilinda ni jukumu la mtu binafsi. Ina maana huna sabuni? Huna uwezo wa kununua barakoa ya 500? Huwezi kuweka distance kati yako na mtu mwingine? Unataka Rais akushikie kiboko kufanya hayo? Embu tuwe serious kidogo jamani.
Kuhusu mikakati ulishausema na kuandika hapaPole Rais Magufuli na familia yote ya Kijazi. Tetesi za Kijazi na Dr. Mpango kuwa wanaugua Covid-19 zimekuwepo kwa siku kadhaa sasa; Ina maana corona imeingia Ikulu. Rais Magufuli anahitaji kuangalia mkakati wake kwani coronavirus haina heshima na haitakoma hadi idhibitiwe kisayansi.