TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

Da chuma kimelala, Sasa Hali sio Hali , mungu ipumzishe roho ya marehem pema peponi,
Wapendwa katika bwana, Sasa yatubidi kusimama wima , hapa mtaani Kuna misiba 4 in one
Nishauri serikali kufanya mahamuzi magum ,kutangaza Hali ya hatari ili watu Sasa tukae mguu sawa, tusitishe Mambo mengine KWA mda tupambane na hii changamoto,tutaisha no way
 
Tutaomba poo tu, nyie sunilini, bado kitambo kidg.
RIP Kijazi😪
 
Kwa hiyo mtendaji mkuu ndani ya ofisi ya Rais wa Tz kafa kwa changamoto ya upumuaji?
Tutaelewana tu.
Muda utatufundisha vizuri.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Pole Rais Magufuli na familia yote ya Kijazi. Tetesi za Kijazi na Dr. Mpango kuwa wanaugua Covid-19 zimekuwepo kwa siku kadhaa sasa; Ina maana corona imeingia Ikulu. Rais Magufuli anahitaji kuangalia mkakati wake kwani coronavirus haina heshima na haitakoma hadi idhibitiwe kisayansi.
Umemsahau Diwani
 
Inashtua inatisha. Jamani sisi siyo wajuvi kuliko Dunia nzima.

Tukiri tulifanya makosa, tuwaombe wenzetu waliopitia hii hali, wana uzoefu. Watusaidie. Kuna siku itafiki hata waliosalia watageuka vichaa kwa kuchanganyikiwa.

Corona ni hatari, ni rahisi kama tulivyodhani. Haiwezekani watu wote wasiwe na akili, waogope kisichoogopesha.

Nina hakika hakuna palipo na amani kwa sasa, si ikulu, si jeshini, si mahali popote. Kila mahali ni hofu tupu.
 
Da chuma kimelala, Sasa Hali sio Hali , mungu ipumzishe roho ya marehem pema peponi,
Wapendwa katika bwana, Sasa yatubidi kusimama wima , hapa mtaani Kuna misiba 4 in one
Nishauri serikali kufanya mahamuzi magum ,kutangaza Hali ya hatari ili watu Sasa tukae mguu sawa, tusitishe Mambo mengine KWA mda tupambane na hii changamoto,tutaisha no way
Yule jamaa hawezi kutangaza kamwe, ataogopa ataificha wapi sura yake.
 
Angekua anatupenda angetulinda mkuu.
Kujilinda ni jukumu la mtu binafsi. Ina maana huna sabuni? Huna uwezo wa kununua barakoa ya 500? Huwezi kuweka distance kati yako na mtu mwingine? Unataka Rais akushikie kiboko kufanya hayo? Embu tuwe serious kidogo jamani.
 
Chanjo siyo suruhisho hapa South Africa haisadii na watu tayari wamefukuzwa
Siyo kweli, munapotosha kwa maslahi ua nani?
Chanjo za kwanza zilikua ni kwa Covid 19 ile ya mwanzo, na hizo dawa za Astra Zaneca zilifanya vizuri. Hata hivyo mwaka huu baada ya Virus Mutation, dawa za Astra Zaneca zikawa dhaifu kwa New Variant(Kirus cha Corona kilichojibadili tabia, hivyo South Africa wameagiza mzigo mpya kutoka Kampuni ya Johnson& Johnson ya kutoka Marekani. Hakuna namna nchi itaacha kuleta Chanjo ikawa salama, hicho hakiwezekani, hii kitu sasa imechachamaa, lazima tuwe wakweli.
 
Pole Rais Magufuli na familia yote ya Kijazi. Tetesi za Kijazi na Dr. Mpango kuwa wanaugua Covid-19 zimekuwepo kwa siku kadhaa sasa; Ina maana corona imeingia Ikulu. Rais Magufuli anahitaji kuangalia mkakati wake kwani coronavirus haina heshima na haitakoma hadi idhibitiwe kisayansi.
Makabati? Akaangalie kwanza kwenye yale maghorofa ya NIC alonunua kwa mkopo kwa ml 6 Kule dodoma. Angalie pia usalama wa zile nyumba za umma alizowauzia mahawala wake kina kajala wa kebys pale mwenge?
Huku akijiita yye mzalendo
 
Nje husikii viongozi wakifariki kwa huu ugonjwa.

Hata Kama sio covid-19, hivi vifo vinatilia mashaka sana huduma zetu za afya. Kama viongozi tu wanatangulia kwa kasi hivi ilhali wanapewa first class treatment on everything vp watu wa kawaida?
 
Back
Top Bottom