ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,586
- 3,857
Huo ni uchochezi
Ni ukweli, na ukweli utabaki kuwa ukweli. Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Wagonjwa, wenye matatizo ya moyo, kisukari na mengine wasaidiwe.
Wanaweza kufanya kazi toka nyumbani.
Wakulima, wenye genge, wamachinga, wafanyabiashara tupambane kama kawaida, Mama ntilie, masoko yabaki huru. Tahadhari muhimu. Tusiue uchumi, maisha yetu.
Balancing stuffs.