TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

Huo ni uchochezi

Ni ukweli, na ukweli utabaki kuwa ukweli. Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.

Wagonjwa, wenye matatizo ya moyo, kisukari na mengine wasaidiwe.

Wanaweza kufanya kazi toka nyumbani.

Wakulima, wenye genge, wamachinga, wafanyabiashara tupambane kama kawaida, Mama ntilie, masoko yabaki huru. Tahadhari muhimu. Tusiue uchumi, maisha yetu.

Balancing stuffs.
 
Tutatoa CV sana mwezi huu! Tusibiashane na sayansi haina dini, matabaka, rangi wala utaifa. Kisayansi binadamu wametokana na kitu kimoja. Tusimjaribu Mungu kwa kudanganya au kusema anatupenda sisi Tanzania pekee tutaisha! Tufuate masharti ya kisayansi, tuchanje watu na tutoe siasa kwenye majanga. Tunadanganya mpaka kwenye vifo
 
Hakuna corona acheni umbea wakuu.

Ikiwepo hiyo haihitaji wasemaji yenywe tu itajisemea
 
sio kwamba kuna watu walikimbilia kupga chanjo kisiri Siri,sasa Mambo Yana enda kombo??? nikijaribu kutafakari na kuunganisha dots,ni Kama Ina sound.

Nitafakari tu wakuu.
Chanjo ya mchina haifanyi kazi kwa south Africa's variant of covid19
 
Sasa inabidi tumsubiri meko aseme...maana hakuna aliye salama
 
Kumekucha!!! Hatimae mdudu ametia timu kwenye ofisi ya Mh Rais rasmi!!!

Kocha Magu ajipange apangike kweli kweli, mpaka ikifikia mwezi wa 4 hivi, atakua ameshapoteza "BENCHI LAKE LOTE LA UFUNDI MPAKA SUB ZOTE" kutokana na ule ugonjwa wa kishetani aliosema haupo Tanzania.

Itakua yeye "ANAFANYA UTEUZI" na Sir God nae "ANAFUTA UTEUZI". Kasheshe, Tutaongea lugha moja mwaka huu walai!!!

Mtu unalala huku una mawazo kilo 7 kichwani, mawazo ya kesho sijui utaamshwa na taarifa gani. Ukisikia simu inaita asubuhi asubuhi PRESHA INAPANDA kabla hata ya kupokea, roho ipo juu juu huna amani masaa yote. Ukiingia JF unakuta thread tatu tatu za misiba hujui uanze kutoa pole thread ipi!!!
Mkuu punguza chuki tunapaswa kuishi kwa upendo. Akuna binadamu anayepanga kifo
 
Aseee shetani anataka kufunga Hattrick mwaka 2021 kirahisirahisi nmn hii
 
Wiki hii hii utasikia kaitisha chanjo
Mungu Wangu huyu baba kafariki. Hakika Corona itaondoka na mtu Ikulu.

This is more than breaking News.

Usiku wa leo Mh. Magufuli atalia kwa uchungu mno kwa kuondokewa na rafiki yake kipenzi.

Huwenda akabadili maamuzi yake dhidi ya CORONA.
 
Ulikuwa wapi siku zote hizi kuhamasisha mikakati ya kisayansi? Au ulidhani COVID-19 haitaingia Ikulu hivyo ukaona ni bora upige kimya kuhusu mikakati isiyo ya kisayansi ya kujifanya wababe kutembea bila barakoa maana ukivaa barakoa unampinga na kumdharau jiwe na kuonekana wewe mvaaji ni Chadema!? 😳😳😳
Pole Rais Magufuli na familia yote ya Kijazi. Tetesi za Kijazi na Dr. Mpango kuwa wanaugua Covid-19 zimekuwepo kwa siku kadhaa sasa; Ina maana corona imeingia Ikulu. Rais Magufuli anahitaji kuangalia mkakati wake kwani coronavirus haina heshima na haitakoma hadi idhibitiwe kisayansi.
 
Back
Top Bottom