Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Bara na visiwaniHuyu mtu ni wa Ikulu kwa hiyo tayari imeingia Ikulu imeanza kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bara na visiwaniHuyu mtu ni wa Ikulu kwa hiyo tayari imeingia Ikulu imeanza kazi
Aisee Mkuu hali inatisha sanaMmmmh unaweza ukaamka kesho ukajikuta nchi nzima upo mwenyew, Rip
Chanjo siyo suruhisho hapa South Africa haisadii na watu tayari wamefukuzwa
Hii inapiga KO mpaka walinzi wenye mafunzo yaoAlafu hii kitu utaizuiaje maana hata uweke ulinzi
Anapenyaa
Ova
Wanao ikahidi ndiyo inaanza nao kupigaNdo kusema dunia inawasafisha ili waje ama.
Maana vifo si vifo.
Wanafukuzwa wapi!?Chanjo siyo suruhisho hapa South Africa haisadii na watu tayari wamefukuzwa
Sir God anaeza mteua akaongoze malaika.Kumekucha!!! Hatimae mdudu ametia timu kwenye ofisi ya Mh Rais rasmi!!!
Kocha Magu ajipange apangike kweli kweli, mpaka ikifikia mwezi wa 4 hivi, atakua ameshapoteza "BENCHI LAKE LOTE LA UFUNDI MPAKA SUB ZOTE" kutokana na ule ugonjwa wa kishetani aliosema haupo Tanzania.
Itakua yeye "ANAFANYA UTEUZI" na Sir God nae "ANAFUTA UTEUZI". Kasheshe, Tutaongea lugha moja mwaka huu walai!!!
Mtu unalala huku una mawazo kilo 7 kichwani, mawazo ya kesho sijui utaamshwa na taarifa gani. Ukisikia simu inaita asubuhi asubuhi PRESHA INAPANDA kabla hata ya kupokea, roho ipo juu juu huna amani masaa yote. Ukiingia JF unakuta thread tatu tatu za misiba hujui uanze ku comment ipi!!!
Hukuona alichofanyiwa yule Profesa wa OUT alipochukua tahadhari yeye mwenyewe na chuo chake? Wanafiki sana nyie matagaKuchukua tahadhari hadi uambiwe na serikali? Are u serious?
Sawa sawa, mambo ya ajabu eeeh!Kwani kabla ya Corona watu walikuwa hawafi? Acheni mambo ya ajabu! Eboo
Changamoto imegonga malangoni kwa baba sasaDuh sasa hivi hali ishakuwa mbaya kwa kweli
..Raisi na Waziri wa Afya wajitokeze na kuwaomba radhi wananchi.
..watu wanakufa kutokana na taarifa potofu walizopewa na viongozi kwamba covid19 si ugonjwa hatari.
Kuchukua tahadhari hadi uambiwe na serikali? Are u serious?
Kwani kabla ya Corona watu walikuwa hawafi? Acheni mambo ya ajabu! Eboo