Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iwamalize kabisa mkuu.Asee ipunguze punguze hao wajuu kwanza kabla ya kufika kwetu wanyonge.
Vipi hamtaki wiki ya nyungu tena?Tanzania tumepatikana aisee,Jamani turudie njia za kisayansi
Hata huku chini inapiga ila tu kwasababu siyo maarufu hawatangazwi lkn misiba ni mingi.Mola atusaidieSasa hivi hii kitu inapiga huko juu juu kwanza.
Waweke wazi tu vifo vinavyotokeaUnataka mpaka serikali ikwambie.!!?? Acha utahira hiyo elimu uliyo nayo inakusaidia nn hasa?
Pole Rais Magufuli na familia yote ya Kijazi. Tetesi za Kijazi na Dr. Mpango kuwa wanaugua Covid-19 zimekuwepo kwa siku kadhaa sasa; Ina maana corona imeingia Ikulu. Rais Magufuli anahitaji kuangalia mkakati wake kwani coronavirus haina heshima na haitakoma hadi idhibitiwe kisayansi.
Tupo salamaNaona jahazi upepo umegeuka sasa
Piga nyunguKuchukua tahadhari ndiyo kukoje!!??
Mke wa gates alisema kuwa Afrika tutaanza okota miili mitaaniHatuombei lkn tusipokuwa makini tutavuta kama inziii !
Ova
Tumekosa busara tu mkuuJamani, Jamani sina la kusema. Nchi ya Tanzania tumekosa nini?.
Alafu hii kitu utaizuiaje maana hata uweke ulinziDaaah covid imefika Ikulu...inaonekana Dodoma ni kitovu cha changamoto ya upumuaji
Ikiondoka na huyo covid denial hakika itapendeza.Pole Rais Magufuli na familia yote ya Kijazi. Tetesi za Kijazi na Dr. Mpango kuwa wanaugua Covid-19 zimekuwepo kwa siku kadhaa sasa; Ina maana corona imeingia Ikulu. Rais Magufuli anahitaji kuangalia mkakati wake kwani coronavirus haina heshima na haitakoma hadi idhibitiwe kisayansi.
Pembe la ng'ombe haliwezi kujifichaMficha malazi kifo humuumbua, nasema uongo ndugu zangu?