mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Kwamba mpaka katibu mkuu anajichanganya kiasi cha kuwa katika risk.Nchi ipo kwenye crisis, handling ya Corona inatupeleka pabaya mno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba mpaka katibu mkuu anajichanganya kiasi cha kuwa katika risk.Nchi ipo kwenye crisis, handling ya Corona inatupeleka pabaya mno.
Mmh aiseeee basi serekali iseme watu wachukue tahadhari
Tahadhari tu na sio kingine
Huo ni uchocheziPoleni familia, Wahamasishe watu wachukue tahadhari sana. Wanaotaka kujifungia wajifungie, wengine tahadhari kubwa.
Rais kubali Chanjo za Pfizer zitapunguza vifo.
Hospitalization.
ipi hiyo!!!Tanzania tumepatikana aisee,Jamani turudie njia za kisayansi
Dawa ni kujilinda mwenyeweJamani, Jamani sina la kusema. Nchi ya Tanzania tumekosa nini?.
Tupo salama sana maana maombi ya mwaka jana yalifanikiwaPoleni Ndugu , Jamaa na Marafiki.
Duh sasa hivi hali ishakuwa mbaya kwa kweli
Sisi tunamtegemea munguNchi ipo kwenye crisis, handling ya Corona inatupeleka pabaya mno.
kiburi kipi tena!!!Inatakiwa wafe hawa viongozi ili akili ziwakae sawa na kuacha kiburi. Sasa John ajiandae anaondoka.
Itakuwa kutokana na jografia yake pale ilivyoDaaah covid imefika Ikulu...inaonekana Dodoma ni kitovu cha changamoto ya upumuaji
Tupo salama sana maana maombi ya mwaka jana yalifanikiwa
Naona inapiga hodi kwenyewe. This is a wake up call. Kubali kwamba corona ipo. Kubali chanjo. Achana na state ofself-denial. Moment of truth has come
Utasababisha Mzee wa watu akeshe akijifukiza, nina hakika maabara ya mabibo inafanya kazi kubwa kwa kupima wote wanaoishi ikulu kila sikuHalafu Kijazi muda mwingi yupo na MEKO kwenye uapizaji.
Mdudu amechachamaa!Suala linazidi kuchukua sura mpya!
Apumzike kwa amani.
ondoa hofu, hiyo ndio dawa yakeR I P. Naona hit after hit...
Nna mwanangu wa miaka 12 just now alikua ananiambia 'mama mie naona kama ntakufa mwaka huu. Maana naona mwaka huu watu wengi wanakufa' Mola atupe umri wa kheri.