Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona inapiga hodi kwenyewe. This is a wake up call. Kubali kwamba corona ipo. Kubali chanjo. Achana na state ofself-denial. Moment of truth has come!Hadi Afe nani?
Mwenyewe nina mafua hapa
Ww unaona watu wanakufa, kuna msemo wenye nguvu zaidi ya kujionea kifo kwa vitendo? Chukua tahadhari usisubiri matamko.Mmh aiseeee basi serekali iseme watu wachukue tahadhari
Tahadhari tu na sio kingine
Mabeberu walisema mwaka jana kuwa itafikia wakati watu watachoka kwenda kuzika,sasa kipindi kinakaribiaDuh sasa hivi hali ishakuwa mbaya kwa kweli
Bila kumsahau yule Ded wa korogweYaan ndani ya siku noja
Maalim seif.vedasto msungu
Baloz kijaz
Kuna mtu kule moshi aliwavua watu barakoaR.I.P Kijazi. Barakoa ingeweza kusave maisha yako.Too sad. Enough is enough.
Mkuu hii sasa ni noma !Hadi Afe nani?
Mwenyewe nina mafua hapa
Nchi yetu ni salama haina koronaNaona Corona sasa imeamua kujibu.
Inapiga fresh bara na visiwani.
Poleni wafiwa.
Ngoja imnase,imeshamkaribia kabisa.Duuh ila Dereva anadai wasafiri tunaelekea njia Salama [emoji2960]
Ndiyo kwenye upotoshajiSasa hivi hii kitu inapiga huko juu juu kwanza.
Jamaa zangu walioko Tanzania wanasema matangazo ya kifo ya Sauti ya Tanzania Zanzibar yamekuwa mengi mnooo. Hali ni hatariNaona Corona sasa imeamua kujibu.
Inapiga fresh bara na visiwani.
Poleni wafiwa.
Unaogopa wewe.CCM hatuogopiUwii, Ee Mungu mbona hii hali inaogopesha