King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Yaan ndani ya siku noja
Maalim seif.vedasto msungu
Baloz kijaz
Hujasoma heading mkuu, au ndiyo akili za bangi?Nini tena imetokea kwa Kijazi?
Pole Rais Magufuli na familia yote ya Kijazi. Tetesi za Kijazi na Dr. Mpango kuwa wanaugua Covid-19 zimekuwepo kwa siku kadhaa sasa; Ina maana corona imeingia Ikulu. Rais Magufuli anahitaji kuangalia mkakati wake kwani coronavirus haina heshima na haitakoma hadi idhibitiwe kisayansi.
Hujasoma heading mkuu, au ndiyo akili za bangi?
Dawa hakuna lakini chanjo zipo
Yaan ndani ya siku noja
Maalim seif.vedasto msungu
Baloz kijaz
Sio bangi, labda ni ukinga tuHujasoma heading mkuu, au ndiyo akili za bangi?
Pole Rais Magufuli na familia yote ya Kijazi. Tetesi za Kijazi na Dr. Mpango kuwa wanaugua Covid-19 zimekuwepo kwa siku kadhaa sasa; Ina maana corona imeingia Ikulu. Rais Magufuli anahitaji kuangalia mkakati wake kwani coronavirus haina heshima na haitakoma hadi idhibitiwe kisayansi.
HatareeeNaona dubwasha limeanza kuchanganya sasa hii hataree
Utakuwa umeingia inner cycles.Duh sasa hivi hali ishakuwa mbaya kwa kweli
Kabla ya matusi;Katibu mkuu kiongozi,bwana Kijazi ni mzima?Hujasoma heading mkuu, au ndiyo akili za bangi?