Kabisa Mama Jescar atakuwa anakazi ya ziada ya kumkanda Mh. Magufuli Mgongo ili arudi katika hali yake ya kawaida maana si kwa upendo ule kwa Marehemu Balozi kijazi huwenda asiwe sawa kwa siku chache hizi.Wametoka mbali sana toka wakiwa Wizara ya Ujenzi
Si walisema cooona imekimbia??M/Mungu atuepushe. Sio juu tuu huku chini inapiga zaidi ila cc wa upande huu hakuna mwenye muda na cc.
Natamani kuunga hoja yako lakini imejaa shutuma na kutia hofu badala ya kuhamasishana kutii maekekezo ya kujinkinga pasipo shurti.
Pia kudhani Marehemu (RIP) amaondoka kwa ugonjwa huo ni dhana potofu.
Hatua sahihi za kiafya ni kinga badala ya tiba.
Cheka sana, furahia sana ila ujue Mungu anakuona katika hali zoteHahahaaaaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£
Who cares?Kabisa Mama Jescar atakuwa anakazi ya ziada ya kumkanda Mh. Magufuli Mgongo ili arudi katika hali yake ya kawaida maana si kwa upendo ule kwa Marehemu Balozi kijazi huwenda asiwe sawa kwa siku chache hizi.
Nadhani ni wakati muafaka wa kuanza kutafuta contacts za Pfizer na kuwafuatilia kwa karibu zaidi....
Wewe unamjua Mungu wewe. Wacha niongeze balimi hapa kwa mangi barCheka sana, furahia sana ila ujue Mungu anakuona katika hali zote
IKIWA WATU WANGU WATAZIACHA NJIA ZAO MBAYA NAMI NITAIPONYA NCHI YANGU
MUNGU YUPO KUIPONYA TANZANIA
MALAIKA RAFAYA YUKO KUWAOKOA WATANZANIA TUSIOGOPE TUSIMAME. NA MUNGU
MUNGU ANAHITAJI WACHACHE KUMLILIA KWA AJILI YA NCHIYETU
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Chanjo ya china mi sikubali.Serikali yetu ifanye mazungumzo ya haraka na Serikali ya Uchina watuletee Chanjo fasta - hachana na chanjo za Pfizer nawenzake, hao ndio wametuletea viriant ya pili ambayo inaonekana ni more virulent - hachana na jamaa hawa hawafai, angalio waliko peleka majaribio ya chanjo zao wakishirikiana na chanjo za Oxford, majaribio ya chanjo barani Afrika ilikuwa ni Kenya, Afrika kusini na Nigeria Mataifa na Brazil, mataifa yote tajwa hapo juu ndiko variant ya kovid imehibukia - kwa nini Serikali zenu za Kiafrika na Latin Amerika hazijiulizi ni kwa nini? Tuchukuwe chanjo kutoka Uchina na Urusi, sio za hawa wenye ajenda zao za siri.
..ile post yako kuhusu Jpm anavyoshughulikia corona iko wapi? unaweza kuipandisha tena?
ππππππ
Balozi John William Kijazi lala salama baba
Inaumaaaaa
Pole sana kwa familia na wote walioguswa na msiba
Tuendelee kuchukua tahadhari huku tukiomba sana Mungu
Pole Tanzania yangu ππ
Hivii... yale maombi yetu yame-expire???Rais Magufuli ametangaza kwa masikitiko kifo cha Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John William Kijazi ambaye amefariki leo Februari 17 saa tatu usiku, Hospitali ya Benjamin Mkapa, Dodoma akipatiwa matibabu.
WASIFU WA BALOZI JOHN KIJAZI > Wasifu wa Katibu Mkuu Kiongozi mpya Balozi Mhandisi John William Kijazi
CURRICULUM VITAE
NAME: John William Herbert Kijazi
BORN: 18 November 1956
MARITAL STATUS: Married
CHILDREN: Has three sons
EDUCATION
CAREER
- Bachelor of Science (Honours) in Civil Engineering, University of Dar es Salaam, Tanzania
- Masters of Science in Highway Engineering, Birmingham University, UK
LANGUAGES
- 1982 β 1986 Assistant Executiver Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
- 1986 β 1996 Regional Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
- 1996 β 1999 Senior Road Maintenance Engineer, Ministry of Public Works, Tanzania
- 1999 β 2002 Director of Regional Roads, Ministry of Public Works, Tanzania
- 2002 β 2005 Permanent Secretary, Ministry of Public Works, Tanzania
- Jan β Nov 2006 Permanent Secretary, Ministry of Infrastructure Development, Tanzania
- Dec 2006 β Jun 2007 Special Duties, Minstry of Foreign Affairs and International Cooperation HQTS, Tanzania
- Jun 2007 High Commissioner to India
- 27 May 2013 High Commissioner to Singapore
English, Swahili
Lahaula!!Nachojua mimi kwenye ufugaji chanjo huanza kabla ya ugonjwa.
Ukiwapa kuku chanjo ya mdonde kipindi ugonjwa umeingia utawamaliza kuku wote.
Sasa watz tukikubali chanjo tutegemee vifo vingi kisha hali itatulia maana mdudu keshakolea miongoni mwetu ila miili inajitahidi kujilinda.
Imekula kichwa. Aibu tupu. Zile majiambo yooote. Binadamu si kitu.Hapana, hakuna corona Tanzania maana tulifanya maombi na Corona ikaondoka nchini. Ngoja kwanza wananchi wajue wanadanganywa kiasi gani na utawala huu.
Sawa Jane soon tutaanza kuongea lugha moja ,koronya hakuna.Kwani kabla ya Corona watu walikuwa hawafi? Acheni mambo ya ajabu! Eboo
Naona walichelewa sana. Ilikuwa haijaanza kufnya kazi. Huko Idodomy presha inapanda presha inashuka. Na walivyokuwa wanapumuliana sijui itakuwajeHivi yule waziri wa uchina tokea aondoke bongo zimepita week 3?