TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

Wametoka mbali sana toka wakiwa Wizara ya Ujenzi
Kabisa Mama Jescar atakuwa anakazi ya ziada ya kumkanda Mh. Magufuli Mgongo ili arudi katika hali yake ya kawaida maana si kwa upendo ule kwa Marehemu Balozi kijazi huwenda asiwe sawa kwa siku chache hizi.
 
Natamani kuunga hoja yako lakini imejaa shutuma na kutia hofu badala ya kuhamasishana kutii maekekezo ya kujinkinga pasipo shurti.

Pia kudhani Marehemu (RIP) amaondoka kwa ugonjwa huo ni dhana potofu.

Hatua sahihi za kiafya ni kinga badala ya tiba.

Hajaondoka kwa huo ugonjwa bali ameondoka kwa ugonjwa gani, au naye kapata ajali kama yule mbunge? Mtatokeza wote huko mlikojificha kuja kutetea serikali inayokwepa uwajibikaji.
 
Kabisa Mama Jescar atakuwa anakazi ya ziada ya kumkanda Mh. Magufuli Mgongo ili arudi katika hali yake ya kawaida maana si kwa upendo ule kwa Marehemu Balozi kijazi huwenda asiwe sawa kwa siku chache hizi.
Who cares?
 
Nadhani ni wakati muafaka wa kuanza kutafuta contacts za Pfizer na kuwafuatilia kwa karibu zaidi....

Serikali yetu ifanye mazungumzo ya haraka na Serikali ya Uchina watuletee Chanjo fasta - hachana na chanjo za Pfizer nawenzake, hao ndio wametuletea viriant ya pili ambayo inaonekana ni more virulent - hachana na jamaa hawa hawafai, angalio waliko peleka majaribio ya chanjo zao wakishirikiana na chanjo za Oxford, majaribio ya chanjo barani Afrika ilikuwa ni Kenya, Afrika kusini na Nigeria Mataifa na Brazil, mataifa yote tajwa hapo juu ndiko variant ya kovid imehibukia - kwa nini Serikali zenu za Kiafrika na Latin Amerika hazijiulizi ni kwa nini? Tuchukuwe chanjo kutroka Uchina na Urusi, sio za hawa wenye ajenda zao za siri kwa kupitia ndani ya chanjo zao, mpango huu walikuwa nao kwa muda mrefu walisubiri muda muhafaka kutekeleza ndoto zao kuhusu bara la Afrika na nchi nyingine maskini Asia nk, hasa hasa bara la Afrika - ugonjwa unapokuwa pandemic Duninia inakuwa juu ya miguu yao maana kila mtu atahitaji chanjo zao hakuna atakaye kwepa hilo - kumbukeni sana wanao tupa tahadhali kuhusu Bill Gates, msidanganywe na sura yake yenye bashasha, yuko crafty kweli kweli na amedhamilia vilivyo.
 
Unatuumiza macho bure kwa maherufi yako haya
IKIWA WATU WANGU WATAZIACHA NJIA ZAO MBAYA NAMI NITAIPONYA NCHI YANGU

MUNGU YUPO KUIPONYA TANZANIA

MALAIKA RAFAYA YUKO KUWAOKOA WATANZANIA TUSIOGOPE TUSIMAME. NA MUNGU

MUNGU ANAHITAJI WACHACHE KUMLILIA KWA AJILI YA NCHIYETU

MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Chanjo ya china mi sikubali.
 
πŸ’”πŸ’”πŸ’”πŸ’”πŸ’”πŸ’”
Balozi John William Kijazi lala salama baba
Inaumaaaaa
Pole sana kwa familia na wote walioguswa na msiba
Tuendelee kuchukua tahadhari huku tukiomba sana Mungu
Pole Tanzania yangu πŸ’”πŸ™

Kwani kuna korona? Si mpaka mtaani kwako wafe watu ndio inaonekana ipo? Soon tutaanza kuongea lugha moja.
 
Hivii... yale maombi yetu yame-expire???
 
Wizara ya afya wajitathimini njia wanazotumia kupambana na corona kama zinaleta matokeo positive.

Rais akubali tu corona ipo na watu waendelee kuchukua tahadhari na ubaya siku hizi wananchi weng hawajui kinachoendelea wanapata nafasi ya kusikia rais anasema nini vyombo vya habari vimezibitiwa
 
Lahaula!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…