Jinikashkash
JF-Expert Member
- Nov 27, 2020
- 455
- 871
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chibolo....sio chizunga mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].wakati mwngine tufurah..anyway piga nyungu 3times/dayNaona dubwasha limeanza kuchanganya sasa hii hataree
Huyu mtu ni wa Ikulu kwa hiyo tayari imeingia Ikulu imeanza kaziMungu Wangu huyu baba kafariki. Hakika Corona itaondoka na mtu Ikulu.
This is more than breaking News.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Mmmmh unaweza ukaamka kesho ukajikuta nchi nzima upo mwenyew, Rip
R I P. Naona hit after hit...Mmmmh unaweza ukaamka kesho ukajikuta nchi nzima upo mwenyew, Rip
Mmh aiseeee basi serekali iseme watu wachukue tahadhari
Tahadhari tu na sio kingine
Hatariii !!
Tumuombee Apate Afya NjemaNa mkewe nasikia pia hali siyo nzuri pale MNH