TANZIA Katibu Mkuu Kiongozi, John W. Kijazi afariki dunia

Huo ujinga umeambikizwa na viongozi
 
Je VIP walio wengi wamepata chanjo ya Korona? Na kama hii ni kweli chanjo imetoa matokeo chanya? Je Korona ipo Tanzania? Na kama ipo ikitangazwa kuwa ipo je itasaidia kuokoa maisha ya watu wengi?
Mwaka jana ilisaidia au haikusaidia?
 
Sijaona popote pale ambapo Mwenyezi Mungu amehidhihakiwa. Mwenyezi Mungu ametupa akili ili tuitumie ipasavyo kwenye mambo mbali mbali ikiwemo kulinda afya zetu. Hivyo unapougua huwezi kujifungia ndani eti huku ukisali na kuomba ili akuponye badala ya kwenda hospital kutafuta tiba muafaka.
Nadhani kwa wale ambao ni wakristo wasimdhihaki Mungu.Tuwaachie hilo wale wasioamini katika Mungu
 
Kujifungia ndani huku ukiwa mgonjwa offcourse huo ni ujinga. Ila kumuomba Mungu atunusuru na Janga hili si jambo la kijinga pia(kwa wale wanaoamini)
 
Katika hiyo tweet ya Lissu sijaona popote alipoandika kumuomba Mungu ni jambo la kijinga.
Kujifungia ndani huku ukiwa mgonjwa offcourse huo ni ujinga. Ila kumuomba Mungu atunusuru na Janga hili si jambo la kijinga pia(kwa wale wanaoamini)
 

Hao uliowataja wote wamekuwa wahanga baada ya serikali kujeukia maombi kama kinga. Serikali yetu ilikuwa serious na huu ugonjwa kama miezi mitatu tu tangu mgonjwa wa kwanza kugundulika.
 
Hapa nakubaliana na Antipas japo naye alipokuja kwenye kampeni alipuyanga hivyo hivyo tu bila barakoa wala nini. Lakini yaliyopita yamepita...it is time to change course and save lives before it is too late...
Hapa nakubaliana na Antipas japo naye alipokuja kwenye kampeni alipuyanga hivyo hivyo tu bila barakoa wala nini. Lakini yaliyopita yamepita...it is time to change course and save lives before it is too late...
is it "before too late" or already too late! Nimemkumbuka waziri mkuu wa Italy alipolia na kusema "tunasubiri msaada toka juu tu'
We may be coming to that level
 
Hao uliowataja wote wamekuwa wahanga baada ya serikali kujeukia maombi kama kinga. Serikali yetu ilikuwa serious na huu ugonjwa kama miezi mitatu tu tangu mgonjwa wa kwanza kugundulika.
Kuna Jambo hulifaham, ni vile unapenda uprove vitu wrong tu ili ujisikie vizr, UVIKO ni zaidi ya social distance na kupeana mikono, it's sthn which it's measures aren't truly equal to what are said being the measures, labda ungetafuta taarifa za kijasusi tu ujue huo UVIKO ni nini hasa, find what COVID is in deep and dark webs, these clear webs haven't spoken the required truth, i love u and my country and can't withstand seeing my generation perishing but it has to coz this is the code and only few who want can read.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…