Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiogope..... ni changamoto ya upumuaji tu, Corona tulishaitokomeza mda sana kwa njia ya maombi.uwiiii twafwaàaaaa
Wamekufa wangapi? Embu acheni kukuza vitu nyie Chadema. Hivi hamna aibu?
Alihamasisha Mange kipindi kile watu wakakaa kimya, juzi mchungaji Mwakulata (Kama sijakosea jina) aliitsha maandamano ya amani kudai Katiba mpya no body showed up to support him. Hiyo uprising ya nchi nzima Nani ataiorganise na nani atajitokeza?Through uprising, the whole country.
Kweri kweri= kweli kweliDada kukuhusu wewe litakuwa jambo moja kati ya mawili haya kukuhusu. Labda:
1. Wewe ni jasiri kweri kweri
au,
2. Wewe ni MPUMBAVU kweri kweri.
Ni moja tu kati ya hayo dada.
Hongera sana!
Zamu yako.Afu leo usiku sijui zamu ya nani???
Ila kabla yake wewe utamtangulia.Zamu yako.
Yeye ametaka kujua zamu ya nani. Mimi ninachojua kila nafsi itaonja mauti, lakini siyo jukumu langu kuanza kupeleleza nani atakufa leo. Hiyo inakuwa uchawi.Ila kabla yake wewe utamtangulia.
Niamini mimi!!!
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Sawa...endelea na nyungu yako Mkuu.so do you have any means.lete Hapa tuone.mkiambiwa still bado hakuna chanjo yenye ufanisi vichwa vigumu Kama nazi.wazungu wenyewe bado inawaumiza kichwa na bado wako kwenye trial &error ,ndio maana malalamiko ya hiz chanjo ni mengi.sasa si bora kuchukua tahadhari mbadala kuliko kulalama humu ujinga!!?? kweli kukosa maarifa ni hasara kubwa.
Hivi Corona Ni ugonjwa wa aibu au?!!! Unazungukazunguka Nini Mkuu?!! Why all this?!!!Nani kakuambia ni Corona? Hakuna Jambo hilo kwenye taarifa tuliyopewa.
Inaelekea ungependa sababu ya kifo iwe Corona! Nasema hivyo kwa sababu unakimbilia huko japo hujapewa taarifa hiyo!
Kusema ukweli hata kama mtu alikuwa na virusi vya Corona, akifa haina maana kuwa ameuliwa na ugonjwa wa Corona! Anaweza kufa kwa malaria japo ana Corona, anaweza kufa kwa typhod japo ana Corona, na anaweza kufa kwa ugonjwa mwingine wowote. Ni madaftari tu ndio wanaweza kusema ni ugonjwa upi uliopelekea kifo chake.
Kwamba kafanyaje, maana kuna nyetisho zinadai kuwa afya yake tia maji tia maji.Mod wanafyekelea mbali baadhi ya nyuzi ...Kuna uzi was
Dk Mpango ...umetolewa fasta...hebu tutulie jamani🤔
Sasa ona maswali ya kijinga ...aki wa tz....lazima serikali itangaze na support ya serikali ianze kufanya kazi immediatelyHi mambo mingine sielewi bhana...
Kwani tunahitaji kutangaziwa ndo tujue ipo?!!